Project Chaumma haikufanikiwa na haitafanikiwa

Project Chaumma haikufanikiwa na haitafanikiwa

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,587
Reaction score
14,911
Project Chaumma haikufanikiwa na haitafanikiwa kwasababu moja tu imejaa watu ambao hawaja jenga imani kwa Watanzania wa kawaida kuwa ni wazalendo.

Hamuwezi kushindana na watu ambao hawana kashfa ya rushwa, wamefugwa na kupigwa na risasi kwasababu ya kupigania haki. Kwa upande mwingine Chauma imejaa viongozi ambao walikuwa wanaenda mahakamani kushitaki wake zao!!!!

Covid 19!!! hata kwa pesa gani Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Kuwazuia Chadema haina maana ndiyo kuwapandisha Chaumma!. Jamma watapiga pesa na kuondoka.
 
Project Chauma haikufanikiwa na haitafanikiwa kwasababu moja tu imejaa watu ambao hawaja jenga imani kwa Watanzania wa kawaida kuwa ni wazalendo. Hamuwezi kushindani wa watu ambao hawajawahi kuuwa na kashfa ya rushwa, wamefugwa na kupigwa na risasi kwasababu ya kupigania haki. Kwa upande mwingine Chauma imejaa viongozi ambao walikuwa wanaenda mahakamani kushitaki wake zao!!!! Covid 19!!! hata kwa pesa gani Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Kuwazuia Chadema haina maana ndiyo kuwapandisha Chauma!. Jamma watapiga pesa na kuondoka.
Kushindana na watu walioweka imani ni ngumu sana.

Taliban waliishinda USA pamoja na kumiliki madrones. 2010s Marekani ilinyosha mkono.
 
Chaumma kwa jinsi inavyopendwa huko majimboni ndicho chama cha pili kitakacho beba majimbo mengi zaidi katika uchaguzi huu.
 
Project Chaumma haikufanikiwa na haitafanikiwa kwasababu moja tu imejaa watu ambao hawaja jenga imani kwa Watanzania wa kawaida kuwa ni wazalendo.

Hamuwezi kushindani watu ambao hawana kashfa ya rushwa, wamefugwa na kupigwa na risasi kwasababu ya kupigania haki. Kwa upande mwingine Chauma imejaa viongozi ambao walikuwa wanaenda mahakamani kushitaki wake zao!!!!

Covid 19!!! hata kwa pesa gani Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Kuwazuia Chadema haina maana ndiyo kuwapandisha Chaumma!. Jamma watapiga pesa na kuondoka.
Mbowe amefuata njia ya mpumbavu Zitto kobe....mbowe afanyi tena siasa za kupigania UZALENDO wala HAKI sasa hivi anafanya siasa za kupigania BUYU LA ASALI TU😁
 
Timu kukusanya mastaa tupu na wote kuanza kwenye mechi moja ni ngumu kushinda........ asilimia kubwa taasisi/kampuni yoyote wanaoijenga kuwa imara ni wale ambao hawaonekani
 
Project Chaumma haikufanikiwa na haitafanikiwa kwasababu moja tu imejaa watu ambao hawaja jenga imani kwa Watanzania wa kawaida kuwa ni wazalendo.

Hamuwezi kushindani watu ambao hawana kashfa ya rushwa, wamefugwa na kupigwa na risasi kwasababu ya kupigania haki. Kwa upande mwingine Chauma imejaa viongozi ambao walikuwa wanaenda mahakamani kushitaki wake zao!!!!

Covid 19!!! hata kwa pesa gani Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Kuwazuia Chadema haina maana ndiyo kuwapandisha Chaumma!. Jamma watapiga pesa na kuondoka.
Kwa jina lingine kinaichwa CHAUMWA
 
Project Chaumma haikufanikiwa na haitafanikiwa kwasababu moja tu imejaa watu ambao hawaja jenga imani kwa Watanzania wa kawaida kuwa ni wazalendo.

Hamuwezi kushindana na watu ambao hawana kashfa ya rushwa, wamefugwa na kupigwa na risasi kwasababu ya kupigania haki. Kwa upande mwingine Chauma imejaa viongozi ambao walikuwa wanaenda mahakamani kushitaki wake zao!!!!

Covid 19!!! hata kwa pesa gani Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Kuwazuia Chadema haina maana ndiyo kuwapandisha Chaumma!. Jamma watapiga pesa na kuondoka.
tulisema
 
Back
Top Bottom