Kamnyomo
Senior Member
- Apr 4, 2020
- 124
- 183
Habarini...
Kuna kijana mzoefu na mchapakazi sana mwenye ujuzi wa kilimo cha kisasa cha mazao ya mbogamboga pamoja uzoefu wa kutosha katika ufugaji wa kuku wa kienyeji,
Anatafuta mdau mwenye shamba wafanye project au mwajiri wafanye kazi pamoja.
Yupo tayari kufika popote now yupo Kibaha.
Kuna kijana mzoefu na mchapakazi sana mwenye ujuzi wa kilimo cha kisasa cha mazao ya mbogamboga pamoja uzoefu wa kutosha katika ufugaji wa kuku wa kienyeji,
Anatafuta mdau mwenye shamba wafanye project au mwajiri wafanye kazi pamoja.
Yupo tayari kufika popote now yupo Kibaha.