polepole

Humphrey Polepole is a Tanzanian politician serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary and Member of Parliament appointed by President John Magufuli. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district for five months and earlier Polepole also served as District Commissioner for Musoma District for two months.

View More On Wikipedia.org
  1. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa hiyo ndio tumeshamsahau ndugu yetu Humphrey Polepole?

    Eti ndugu zangu ndio tumeshamsahau na kumbe ukitaka kukomboa taifa unasahaulika mapema hivi?
  2. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Akimaliza Hotuba yake bila kusema yuko wapi Polepole, Soka, Mdude na wengine hotuba yake ni batili

    Anajifanya anarudi nyuma baada ya kuuwa wananchi sababu ameshikwa pabaya. Dunia imemshika pabaya. Yuko kwenye maji ya moto sasa hivi. Dunia imegoma kutambua Urasi wake. So now anajaribu kucheza na akili zetu.
  3. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Hivi kaka yake Humphrey Polepole ni mwanajeshi kweli wa NATO? Mbona mikwara imekuwa mingi

    Asubuhi hii nimeona video ya huyu jamaa anasema yupo Tanzania na tarehe 9 wataanzia Masaki mpaka Mikocheni Sasa najiuliza huyu jamaa ni mwanajeshi kweli wa NATO maana hata sijawahi kumuona na gwanda tena anajitambulisha Kwa cheo Cha canal au mkwara mbuzi tu maana maneno yamekuwa mengi sana...
  4. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Mkikubali maridhiano ina maana kweli nyie ndo mlikuwa nyuma ya GenZ na mna kesi ya kujibu, huo ni Mtego Polepole alikataa Maridhiano

    Kuna mtego. Mkikubali maridhiano, mjue mmekubali kuwa nyie ndiyo waandaaji wa vijana wa GenZ. Oktoba 29 kesi zimewekwa pending, mkikosea kidogo wanawarudisha ndani na mtapata kesi ya kujibu tena. GenZ ni nguvu ya umma, maridhiano yanaweza kuwa mtego wa kuwanasa. Chadema, kuweni makini. Polepole...
  5. JOANNA

    JamiiForums Tanzania "General Mkunda wewe ndio uliyebakia" - Augustino Polepole

    Augustino Polepole ambaye katika jumbe zilizopita amejiwakilisha kama Kanali wa NATO, amemtumia ujumbe General Mkunda. Katika taarifa yake amezungumza mambo mengi ya binafsi na yamkini mengine ni codes ambazo hatuwezi kuzielewa. Lakini ninafikiri sauti yake ni muhimu katika kipindi hichi kigumu...
  6. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kama ulikuwa hujamuelewa Polepole kuhusu uhuni

    Nyerere alisema mtu yeyote anayetaka kwenda ikulu kwa kutoa pesa anataka kwenda kufanya biashara ikulu. Tuliona Mbowe mwenyekiti wa chadema akiingia ikulu kukutana na rais Samia akiwa mifuko ya gwanda lake la chadema bapa. Kutoka picha zikaonesha mifuko ya gwanda la chadema limetuna. Mara...
  7. figganigga

    JamiiForums Tanzania Polepole ni mzima ila anaumwa

    Kaka wa Polepole kadai kwamba Polepole ni Mzima ila anaumwa. Kwangu Mimi kusikia Polepole ni mzima hata kama anaumwa ni faraja kubwa. Uchaguzi umeisha. Namuomba Samia Amuachie huru. Baddo naamini Balozi Humphrey Herson Polepole soon atakuwa Uraiani
  8. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Hatutanyamaza mpaka wakina Polepole waachiliwe

    Kesho tutakinukisha mpaka wakina Polepole waachiliwe hakuna kufungua huduma zozote tutasimamisha nchi hatutarudi nyuma
  9. Agent-47

    JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na usalama wa watu waliotekwa kama Polepole

    Kuwaachia wawe huru ni vigumu sana maana wanaogopa watawataja. Na mtu kama Polepole hawezi kaa kimya. So, option inayobaki kwa hawa madhulmati ni kuwamaliza watu wetu na kuwaficha kabisa wapotee moja kwa moja. Tuwaombee sana aisee. Wako hatarini
  10. M

    JamiiForums Tanzania KUMBUKIZI: Ushauri alioutoa Humphrey Polepole kwa Samia ukapuuzwa

    Hebu tujikumbushe:
  11. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania JE KATIBA MPYA IKIPATIKANA, LISSU, HECHE NA POLEPOLE WAKIACHIWA, MAANDAMANO YATAKOMA?

    Jana Wananchi wa Tanzania waliamua kufanya maandamano ya kupinga Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa mwaka 2025. Miongoni mwa vitu wanavyodai ni KATIBA MPYA ya WARIOBA Iliyopendekezwa na Wananchi, PIA kuachiwa huru kwa TINDU LISSU, HECHE NA POLEPOLE, Huko Arusha nimeona wamebeba...
  12. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Maandamano yaliyoanza leo ni mwanzo tu hayatakuwa na kikomo mpaka haki itendeke na waliopotea wapatikane

    Huu ni mwanzo tu
  13. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Agustino Polepole alisema atarudi lakini wapi? nini kinaendelea?

    Jamaa alisema atakuja kusema ukweli lakini wapy? Watu ni kama wamefungwa? Kuna namna hawa akina Mafwele wamefanikiwa kudhibiti baadhi ya mambo.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Polepole kutelekezwa na wenzake wakina Bashiru, Butiku na Warioba inasikitisha

    Polepole kutelekezwa na wenzake wakina Bashiru, Butiku na Warioba inasikitisha. Sasa na wenyewe wanaogopa kutekwa! yaani hata kusema kitu kuhusu mtu ambaye Mama yake anaenda kulia mahakamani! Kesho nani atakuwa salama
  15. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa Akaunti ya DAUDI T BALALI pale X ni Mwanamtandao, Alihusika Kumteka BALOZI POLEPOLE , Leo katwt Samia ANASHINDA 83%

    Wakuu, Mnakumbuka huyu Mpuuzi Daudi Balali ,alitoaga Twiti yake alisema 2030 Uchaguzi utakua usotabirika Kwa CCM. Ni hivi huyu jamaani Mwanamtandaoo, na Ndie aliyemteka Mh Polepole . Tarehe 21/8/2025 Huyu Jamaa alisimamia Mpango wa kumteka Mh BALOZI POLEPOLE, baada ya kujihakikishia kua...
  16. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Huyu ni nani anayetoa siku 3 Polepole awe ameachiwa?

    Kila siku wanaibuka watu wapya kuililia haki kwenye nchi yetu Tanzania. Naomba kumfahamu huyu mzalendo anaemlilia Polepole jembe letu. Ni nani huyu? Katoa amri sio ombi. Mungu bless Tanzania. Tunaweza tusitoke ila mwanga upo.
  17. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania Mo29-Oktoba29 Tunatoka siku 3!

    Number 3 is a magical number 🔥 Bafo siku 3 na nina imani kila mtanzania amejiandaa ni mwendo wa #OktobaTunatoka #MO29 is a movement 💪🏽
  18. R

    JamiiForums Tanzania Narudia: Polepole, you made a very big mistake, a very big One!

    Sasa ona sterling amekufa na "movie" imeishia hapo. Ulijiaminishaje kuwa hapa? Mimi nilidhani uko kambi ya "jeshi" inakulinda...... Kumbe uko kwa Mtogole Machozi yangu yanakulilia! Pumzika kwa Amani huko uliko...kwa Mungu au kwa Lolimu au Lefema! You made a very regrettable mistake!
  19. Agent-47

    JamiiForums Tanzania Kwa war strategist tunasema hii wiki ndo ilikuwa fursa nzuri kwa Polepole na Tesha.

    Mie mwanafunzi wa Sun Tzu, military general maarufu sana kutoka China. Katika kitabu chake cha “The art of War”, Sun Tzu anasema: “Attack when the enemy is unprepared” . shambulia wakati adui hategemei/hajajiandaa. “Avoid wars with lengthy campaigns” epuka vita inayodumu muda mrefu Kama...
  20. U

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna nchi inayoendelea kwa kuwaweka think tank wao pembeni?

    .
Back
Top Bottom