Kama kanali pole pole ameamua kukinukisha nadhani system imeona ni Bora yona atoswe kuliko damu mbichi na taifa lichafuke October!
Halafu ni kwa muda mfupi mno kiasi kwamba imewapa homa..Hakuna kipindi kigumu kwa viongozi wa hii nchi kama sasa!! Huko kwenye corridors sijui wanaangaliana vipi.
Watanzania Hawa wa Leo wamechange vibaya mno. Hawacheki na kima tena!!
Ikifika kesho kuanzia saa 3 somewhere tutaanza kusikia milio.. watu wanaenda kuzibuliwa masikio yaliyoziba.. oya ongeza ulinzi hilo ni tamko la kanali.. muda umeisha ongezeni ulinzi mkiweza wekeni vifaru majumban mwenu kabisaHalafu ni kwa muda mfupi mno kiasi kwamba imewapa homa..
Hakuna kitu kitatokea, yule kelele nyingi sana.Ikifika kesho kuanzia saa 3 somewhere tutaanza kusikia milio.. watu wanaenda kuzibuliwa masikio yaliyoziba.. oya ongeza ulinzi hilo ni tamko la kanali.. muda umeisha ongezeni ulinzi mkiweza wekeni vifaru majumban mwenu kabisa
Muda sio rafiki... masaa 24 ndio yanaishia hivyo kashawaandaa wanawaze na mazaga washaamsha akili usiku mzima kesho utaanza kuambiwa kuna raia wa kigeni wamevamia msoga gangHakuna kitu kitatokea, yule kelele nyingi sana.
Hahaha,