plan

A plan is typically any diagram or list of steps with details of timing and resources, used to achieve an objective to do something. It is commonly understood as a temporal set of intended actions through which one expects to achieve a goal.
For spatial or planar topologic or topographic sets see map.
Plans can be formal or informal:

Structured and formal plans, used by multiple people, are more likely to occur in projects, diplomacy, careers, economic development, military campaigns, combat, sports, games, or in the conduct of other business. In most cases, the absence of a well-laid plan can have adverse effects: for example, a non-robust project plan can cost the organization time and money.
Informal or ad hoc plans are created by individuals in all of their pursuits.The most popular ways to describe plans are by their breadth, time frame, and specificity; however, these planning classifications are not independent of one another. For instance, there is a close relationship between the short- and long-term categories and the strategic and operational categories.
It is common for less formal plans to be created as abstract ideas, and remain in that form as they are maintained and put to use. More formal plans as used for business and military purposes, while initially created with and as an abstract thought, are likely to be written down, drawn up or otherwise stored in a form that is accessible to multiple people across time and space. This allows more reliable collaboration in the execution of the plan.

View More On Wikipedia.org
  1. Off Plan Apartments For Sale at Mikocheni Ursino Street

    Commercial and residential units for sale. Experience a luxury Seaview city living in our stylish and modern project located at Mikocheni Ursino st. Our prime location offers easy access to restaurants, shops and entertainment venues. Prices starting from Studio: USD 86,111 - 48.65sqm. 2...
  2. H

    Pendekezo la Mfumo wa Action Plan na Uwajibikaji kwa Viongozi Wakuu wa Serikali.

    Katika kuimarisha utawala bora, uwajibikaji wa viongozi, na ufanisi wa utekelezaji wa sera za maendeleo, inapendekezwa kuanzishwa kwa mfumo rasmi wa Action Plan Governance Framework utakaoweka wajibu wa wazi kwa viongozi wanaoingia madarakani, hususan Rais au Mawaziri. Mfumo huu utalenga...
  3. Mpaka sasa CCM hawana Plan ya kueleweka kuendelea kushika Dola kwa ridhaa. Wana Missing systems za kutosha

    Hamjambo wote! 1. Kwenye mambo ya Intelligence(ujasusi, ushushushu, unjangu) kuna kitu inaitwa Missing System/s. 2. Kitu hii ukikosa hata MTU binafsi mambo yako yanakuwa hatarini, usalama wako unakuwa mashakani. 3. Missing System ni uwepo wa ombwe la kimkakati, mfumo muhimu ambao unapaswa...
  4. M

    Kinyozi darasa la 7 anaingiza 30-70k kila siku, tuache kukazania watoto kusoma tu, tuwape na ujuzi wakihitimu degree na wakikosa ajira wawe na PLAN B

    Elimu ni wajibu, si urithi. kumsomesha mtoto hadi ngazi ya shahada ni haki yake ya msingi. Hata hivyo, hilo pekee halitoshi. Ni muhimu pia kumpa nafasi ya kujifunza ujuzi wa ziada, ujuzi wa vitendo na ubunifu utakaomsaidia kujitegemea pale ambapo hana uhakika wa ajira rasmi alizosomea. Kwa...
  5. Plan B yakuokoa Hasara kwenye Hisa

    Kuna watu wanasema mtu asubiri hisa ishuke kwanza ndio anunue mfano kama hisa ya CRDB ikiwa 1500 mtu anasema ngoja ishuke tena iwe chini ya 1000 ndio anunue , swali la kujiuliza je isiposhuka tena hatanunua? na je ikiendelea kupanda ikafika 5000 wakati wewe unasubiri iwe buku ? Ushauri wewe...
  6. Matola Aliwaambia wachezaji ukiona goli we piga tu. Au chenga wote kafunge. Hakuwa na plan yoyote ya attacking

    Mpanzu na Joshua mutale walifundishwa wakishika mpira wapenye safu ya azam na chenga kama madenge kwenye gazeti la sani na wanashot gool. Wale morisoni, Mukwala na wengine waliambiwa wakiona goli tu walenge shoot gool. Ukiona timu ilivyocheza unaona kabisa uwezo wa matola. Viongozi...
  7. Hivi huyu amorim hana back up plan? Hata katimu kadogo hivi anaanza na mabeki watano

  8. Busness proposal na busness plan

    Samahani Wana janvi Kama Kuna mtu anafahamu anayejua kuandika busness plan and busness proposal naomba aniunganishe naye. WhatsApp 0626063600
  9. Usiruhusu jamii ikupumbaze ukakubali kuwa retirement plan.

    Alivyokua 20's, kwenye kilele chake cha uzuri, bado hajaguswa. Wanaume wenye malengo na wanaothamini thamani yake walimfuata, lakini jamii iliwasakama wanaume hao kwa kuwaita fataki, wahalibifu na kusema kwamba binti uyo bado mdogo. Huku binti mwenyewe akisema hayupo tayari kuolewa anataka...
  10. Wale Wanaopanga kumiliki magari used ya bei Nafuu: Tazama plan Yetu bila Riba

    Habari zenu wakuu. Baada ya kukutana na vijana kadhaa wanatamani wamiliki gari used kuwahi shughuli zao ila bajeti haitoshi, Yaani ni kazi kukusanya milioni 5 au 4 kwa pamoja. Naielewa vyema hali hiyo nami nilipitia nikianza maisha ya kujitafuta. Sasa nimekuja na plan kuwawezesha kutimiza...
  11. Ikitokea umefukuzwa kazi au kufirisika ghafla! Plan B yako ni ipi kupambana na maisha?

    Habari wakuu! This is a lateral thinking question!(picha kutoka mtandaoni; chanzo stock photos) Ikitokea umefukuzwa kazi ghafla, au umefilisika ghafla ! Plan B yako ya kunyanyuka tena kiuchumi ni ipi?
  12. Nitahakikisha kunakuwa na Tanzania master plan model na kuanzia balozi, mwenyekiti, afisa mtendaji, wakuu wa wilaya na mikoa watakuwa na hardcopy

    Nikiwa Rais wa Tanzania ntahakikisga nchi nzima inapimwa, na hii kazi ya kupima nchi nzima watapewa waholanzi, wakimaliza Tanzania master planning itakuwa kwenye three dimension na hardcopy watapewa mabolozi, wenyeviti wa mitaa, wakuu wa wilaya, na wakuu wa mikoa ili mwananchi akitaka kujenga...
  13. R

    Natafuta mhandisi mwenye sifa kuandaa michoro ya plumbing kulingana na house plan ya vyumba vitatu. Plan imeshapata kibali cha ujenzi.

    Kama una huo ujuzi tuongee. Hata kama huna degree ya engineering ili mradi una uzoefu wa kutosha
  14. Treasury to sell Safaricom stake in Sh149bn plan

    Nairobi, Kenya - The Kenyan government is signaling its intent to sell a portion of its stake in the highly profitable telecommunications giant, Safaricom. The move, aimed at raising a substantial Sh149 billion ($1.15 billion) for the 2025/26 fiscal year, is poised to be one of the largest...
  15. JIBU KWA MSHANA JR:Hii Ndio Plan B Ya Walio(WANAO) Mchafua SASHA

    Siku kadhaa nyuma member mwenzetu Mshana Jr aliibua hoja nzito akiuliza kwa namna gani wataweza kumsafisha??sababu kaharibu pakubwa sana, image yake imeharibiwa vibaya.mikataba,ukatili,Mauaji,uhuru wa kutoa maoni,ugomvi na viongozi wa dini,matumizi mabaya ya serikali,Kesi ya Lissu n.k,. Mambo...
  16. Wamefanikiwa kumchafua mpaka hauziki tena! Je wana plan B? Ni ipi?

    Watoto wa mjini wana usemi wao unasema... Ukijua hivi.. Sisi tunajua vile..! Ukijifanya unazijua sana shotikati za mjini.. Utaingizwa kwenye chocho refu ambalo linaishia chooni kwa mtu ama magetoni kwa masela! Hapo uamuzi ni wako kunyoa ama kusuka, kwakuwa yote mawili hayatawezekana kwa wakati...
  17. Nipeni business plan ya biashara ya vifaa vya umeme??

    BEI Za Vifaaa na Faida yake katika kila kigaa
  18. Off plan apartments for sale in Masaki

    Model homes now open. Experience a luxury Seaview living in our stylish and modern project located at Masaki, Chakechake rd. Make your ideal life a reality at Manhattan Court, nestled in the heart of Masaki, offering immersive comfort. Prices starting from USD 220,000. 2 and 3 bedrooms...
  19. Kocha wa Simba ndio tatizo na hakika hatutofuzu, hana plan B kabisa, wachezaji wa kuamua mechi unawaweka benchi

    Ndio sijakosea, ni kocha anaye tabirika, Al Mary sio timu ya kutisha kivile ila wenzetu walishamsoma kocha Hana mbinu mbadala. Hata kikosi chake kinatabirika na nitakutajia Camara KAPOMBE ZIMBWE Chamoue Hamza Ngoma Kagoma Kibu Ahoua Ateba Mpanzu Akibadilisha mchezaji hata mmoja hapo nipo...
  20. A

    Simba leo mnaingia uwanjani na Game plan ipi?

    Kama Simba Sc itaingia uwanjani kwa Game plan ya kujihami mwanzo mwisho simply ipo ugenini itaaibika.. Hii Game plan iliwa-cost Simba dhidi ya Constatine kule Algeria.. Ile mechi Simba sc haikustahili kufungwa..ulikuwa ni uzembe.Laiti Simba angekuwa na wazoefu wake wa zamani angeshinda. Mambo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…