picha

Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.

View More On Wikipedia.org
  1. Majibu ya Juma Lokole kwa Baba Levo

    ====== Watangazaji wa kituo cha wasafi Baba Levo na Juma Lokole wamezua sintofahamu baada ya kurushiana maneno yanayo hashiria kuhusika na vitendo vya kishoga na ufiraji ambavyo ni kinyume na maadili ya kitanzania! Baada ya picha za mtoto wa Kajala kusambaa kwenye mitandao ikidhaniwa kuwa...
  2. Historia ya TANU Katika Picha Mbili 1955 na 1993

    HISTORIA KATIKA PICHA MBILI 1955 NA 1993 Picha hizo mbili hapo chini zimepishana miaka 38 kwa mkato na kifupi unaweza kusema zimepishana miongo minne yaani miaka 40. Picha ya kwanza ni mkutano kwa kwanza wa mwaka wa TANU Ukumbi wa Ghandhi, Hindu Mandal Dar es Salaam na picha ya pili ni kumbi...
  3. Wale wapenzi wa liquor (whiskey and spirits) tukutane hapa. Tupia picha ukiwa unaenjoy kinywaji chako

    Chat na picha ya kinywaji🥂
  4. PICHA: Feisal akila ugali sukari Yanga

  5. Wasanii wa kike wote waliotoka wako na skendo za picha za ngono/ video za ngono na serikali inafumbia macho

    • WemaSepetu • Aunt Ezekiel • Nandy • Lulu diva • Amber lulu • Amber Ruty • Gigy money • Divadeboss • Jackline Wolper • ....... 📌 Msanii ni kioo cha jamii, ila sio kwa sanaa ya kipindi hichi aisee. Asilimia kubwa wasanii wengi wanapotosha jamii na kwakuwa wao ni maarufu ndo kizazi kinazidi...
  6. Nyota wa zamani wa Yanga afungua kijiwe cha mishkaki

    Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Singida United Kipanya Malapa amefungua biashara ya mishikaki na kachori maeneo ya nyumbani kwao Buguruni. Kipanya anamshukuru sana mchezaji mwenzie wa Yanga Said Maulidi Kalikula kwa kumuunga mkono na kuomba wadau wengi wapite maeneo ya Buguruni Kona kupata...
  7. Ila Fei Toto kapitia mateso makali sana. Jionee hii picha mwenyewe

    Hapa kavalishwa Jacket la Suit ya Mwakalebela. Zito limemvaa. Anajitahidi kusimama wima. Unamwona tu kachoka. Huyu dogo ameteswa sana. na miwani ya welding anasema hapo alikuwa hata haoni vizuri mbele. Ila ndo aliambiwa avae hivyo apendeze Sielewi kwa nini walikuwa wanamfanyia hivi. Hapo bado...
  8. Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

    Huyu askari kadharirisha jeshi la polisi kiukweli . Serikali inafumbia macho masuala haya why? huyu yuko na familia na watoto . Kuna watu wanasema tunamchafua kwani alikuwa kaelewa kusema labda kabakwa au katekwa amejitakia mwenyewe na unaonekana amejirekodi . Video ya pili anaonekana anapigiwa...
  9. Katika Picha hawa ni PMC Wagner Group, kikundi tishio kwenye medani za vita.

    Ukiona hiyo nembo popote duniani ujue upo nao eneo hilo au ukute kijana wako kavaa gwanda lao labda kanunua mtumbani ujue anawakilisha hao wajuba. Wanakula kiapo cha utiifu kabla ya kuingia kazini. Wakiwa kazini na behind ni baada ya kumaliza attack two. Mission za hawa jamaa kuna nchi...
  10. M

    Picha: Msanii wa bongo movie akiwa ametokelezea na mwenzake. Ila sasa🙄

  11. Sisi wakongwe picha kama hii inatufikirisha sana

    Wesley Snipe 60, Will Smith 54, Eddie Murphy 61, Martine lawrence 57.
  12. Weka picha yoyote ya movie wakutajie majina

    Mimi naanza na hizi hapa nitajieni majina.
  13. Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

    Wazazi tuombeana sana. Na tuwaombee sana watoto wetu, vijana wetu kuna walakini mkubwa sana kwenye ile kampeni ya wakataa ndoa. Tuwe karibu mno na vijana wetu wa jinsia zote wakike na wakiume. Wote wanaharibika. Wote wanaharibikiwa jamii inaingia kwenye mtanziko mkubwa. Kizazi kijacho kiko...
  14. Kabla haujaweka Picha au Video ya Mtoto asiye wako Mtandaoni, omba Kwanza Ruhusa kwa wazazi wake

    Katika kipindi hiki cha teknolojia ambapo kila mtu anamiliki simu yenye camera na kunampa uwezo wa kupiga picha kitu chochote, wakati unaojisikia, Ni muhimu na vema kujitahidi kuelewa kuwa kuna umuhimu sana wa kuuliza wazazi/ walezi wa mtoto, hasa mtoto mdogo ambaye hawezi hata kusema ndio au...
  15. House4Sale Nauza nyumba kibaha Picha ya ndege 45 ml

    NYUMBA INAUZWA Milioni 45 tu(45,000,000/-) Ilipo kibaha picha ya ndege. Kilomita moja kutoka main road. ENEO UKUBWA 20*25 VYUMBA VITATU KIMOJA MASTER SEBULE KUBWA JIKO LA NDANI Nyumba ni nzuri sana mawasiliano 0783985530 karibuni sana
  16. B

    CHADEMA Tunduma katika Picha Kazi ipo

    Leo ilikuwa siku nyingine. Nani aliwandanganya hawa ndugu? Hii ndiyo CHADEMA Tunduma leo. Chama baba lao. Tunataka katiba mpya sasa.
  17. G

    Nitakufundisha kupiga na kuedit picha

    Habari, Watu kadhaa wanapenda kuanza kazi ya kupiga picha, au wengine ndio wanaanza. Kuwa na ujuzi ni jambo zuri linaloweza kukusaidia iwe unataka picha za binafsi au mpiga picha kibiashara. Basi kama unahitaji kujifunza skills kadhaa unaweza wasiliana na mimi tusaidiane. Na tunaweza...
  18. Msaada kuna vibali vya upigaji picha maeneo ya mijini?

    Habari wakuu. Kama kisomekavyo kichwa cha habari, binafsi nimeanzisha shughuli ya kutangaza utamaduni na maisha ya Tanzania nikitia ndani vivutio vyote, watu na kila kitu. Kwa sasa nimekumbana na changamoto nyingi ikiwemo kuzuiwa kupata picha za mnato kwenye baadhi ya maeneo ambapo kwa macho...
  19. Picha zinazohuzunisha zaidi (sad pictures )

    Tumekuwa na picha nyingi zinazotutafakarisha vingi vingi, lakini tumekuwa interest zaidi na picha zenye kupendeza, kufurahisha, kuhamasisha, kujifunza na kuburudisha. Hii itakuwa thread maalum ya picha za kuhuzunisha na kutafakarisha juu mienendo yetu mibaya hapa duniani na athari zake kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…