Explainer
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 516
- 504
Habari wakuu. Kama kisomekavyo kichwa cha habari, binafsi nimeanzisha shughuli ya kutangaza utamaduni na maisha ya Tanzania nikitia ndani vivutio vyote, watu na kila kitu.
Kwa sasa nimekumbana na changamoto nyingi ikiwemo kuzuiwa kupata picha za mnato kwenye baadhi ya maeneo ambapo kwa macho yangu sioni kama ni kosa kupiga picha maeneo hayo.
Hivyo wakuu, kama kuna vibali maalumu vya ruhusa ya kufanya hivyo tafadhali naomba nijuzwe hapa.
Ahsante.
Kwa sasa nimekumbana na changamoto nyingi ikiwemo kuzuiwa kupata picha za mnato kwenye baadhi ya maeneo ambapo kwa macho yangu sioni kama ni kosa kupiga picha maeneo hayo.
Hivyo wakuu, kama kuna vibali maalumu vya ruhusa ya kufanya hivyo tafadhali naomba nijuzwe hapa.
Ahsante.