Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 572
- 2,548
Katika kipindi hiki cha teknolojia ambapo kila mtu anamiliki simu yenye camera na kunampa uwezo wa kupiga picha kitu chochote, wakati unaojisikia, Ni muhimu na vema kujitahidi kuelewa kuwa kuna umuhimu sana wa kuuliza wazazi/ walezi wa mtoto, hasa mtoto mdogo ambaye hawezi hata kusema ndio au hapana kama wanaridhia mtoto wao kupigwa picha na kuacha ukae nazo/ kusambaza kwa watu mitandao ya kijamii.
Kusema ukweli, binafsi hii kwangu ni moja ya vitu vinanikwaza sana sana! Mfano, mtu anakuja kukutembelea na anamuona mtoto - mara unashangaa ameanza kumpiga moto picha/ videos bila ruhusa. Ni ukiukwaji wa haki za watoto. Lakini zaidi ni disrespect!
Hata kama wewe ni ndugu, jamaa, rafiki, jirani - kwa mahusiano yoyote uliyonayo na wazazi/ walezi wa mtoto.
Mfano, unafanya kazi kama msaidizi wa familia, baby sitter na kazi nyingine zinazofanana na hizo, just because you have access to the baby - it doesn't mean that you can take a photo of that baby anytime you want
Ask to the parents if they are okay with that. I Don't do this with my baby, or any other out there. Zaidi, usipige picha mtoto kwa siri, ukitegemea wazazi/walezi hawakuoni.
Ask for permission.
Na hata kama wazazi wameridhia na kuamua wao wenyewe wataweka picha za mtoto/ watoto wao kwenye mitandao ya kijamii - a screenshot and sharing assuming it ia okay is disrespect.
A simple can I share it wouldn't hurt!
Respect boundaries
Kusema ukweli, binafsi hii kwangu ni moja ya vitu vinanikwaza sana sana! Mfano, mtu anakuja kukutembelea na anamuona mtoto - mara unashangaa ameanza kumpiga moto picha/ videos bila ruhusa. Ni ukiukwaji wa haki za watoto. Lakini zaidi ni disrespect!
Hata kama wewe ni ndugu, jamaa, rafiki, jirani - kwa mahusiano yoyote uliyonayo na wazazi/ walezi wa mtoto.
Mfano, unafanya kazi kama msaidizi wa familia, baby sitter na kazi nyingine zinazofanana na hizo, just because you have access to the baby - it doesn't mean that you can take a photo of that baby anytime you want
Ask to the parents if they are okay with that. I Don't do this with my baby, or any other out there. Zaidi, usipige picha mtoto kwa siri, ukitegemea wazazi/walezi hawakuoni.
Ask for permission.
Na hata kama wazazi wameridhia na kuamua wao wenyewe wataweka picha za mtoto/ watoto wao kwenye mitandao ya kijamii - a screenshot and sharing assuming it ia okay is disrespect.
A simple can I share it wouldn't hurt!
Respect boundaries