Kuna watu jana mmenifurahisha sana pale baada ya kipenga cha mwisho kupigwa. Na England 🏴 kupoteza dakika za jioni mbele za Argentina 🇦🇷.
Wengi wenu mmekuja na nyuzi eti Messi is ndiye MBUZI 🐐. For sure, huo ni ukweli Mchungu sana. Tena kwa mashabiki wa soka wasio na upande, he is one of...