Ninatafuta ofisi hapa Dar es Salaam ambazo naweza kusambazia chakula cha mchana 🥗 🥘
Nina Wali, Pilau, Ugali & Ndizi kwenye MENU . (Ila unaweza kuhitaji kingine ambacho hakipo kwenye MENU na ukatengenezewa)
Sample ipo kwenye picha hapo chini 👇🏿
Bei zangu ni 3,000/- TZS tu
Call/Text/WhatsApp...