nyumba

  1. Acha kuteseka na umeme kwenye nyumba za kupanga

    Submita kata umeme inakuwezesha Kutumia umeme wako mwenyewe, Acha kuokota fundi mtaani. Ukihitaji Submita nitakuuzia na kukufungia. Pia nitakupa Elimu namna yakuitumia Submita hiyo. Wengi wamekuwa wakipata changamoto namna ya kuitumia na wakati mwingine kutaka hata kuzifungua...
  2. Nyumba Inauzwa Temeke Chang'ombe

    House For Sale. Location: Temeke Chang'ombe. -100 meters from National Stadium. - Corner House. Features: -3 Bedrooms(1 Master Bedroom). -1 Kitchen. -1 Public Toilet. -3 Medium Size Warehouse(Stoo). -Large Parking. -Borehole(Kisima). Size: SQM 375. Starting Price: Tzs 450 Million which is...
  3. faida za kumtumia fundi kukujengea nyumba ambaye ni mkazi wa mbali na eneo lako hasa mkoani

    Ingawa wengi hupendelea mafundi wa karibu, kutumia fundi kutoka mbali kunaweza kuwa na faida maalum kulingana na mahitaji na mazingira ya mradi wako. Hapa kuna baadhi ya faida zake: 1. Utaalamu wa kipekee – Fundi kutoka mbali anaweza kuwa na maarifa au uzoefu wa kipekee ambao haumpati fundi wa...
  4. faida za kumtumia fundi kukujengea nyumba ambaye ni mkazi wa jilani na eneo lako

    Habari naitwa Eng James ni mtaalamu wa ujenzi wa nyumba za kisasa ,Ramani za nyumba ,BOQ N.K Wewe endelea kufatilia maandiko yangu utajifunza mengi kuhusu ujenzi na kupata ubora mkubwa sambamba na kupunguza ghalama. Njoo tukujengee tukukabidhi funguo 0743257669 ofisi tupo ukonga dsm Kumtumia...
  5. Picha: Nyumba kali ya Mwl Mkuu Itilima; ''Mama hatumdai''

    Nyumba ya Mwalimu Mkuu, Shule ya Msingi Dasina, Kata ya Nkoma, Jimbo la Itilima Mkoa wa Simiyu. Hakika Mama Hatumdai ila yeye ndio anaeyetudai..
  6. Nyumba inauzwa Dodoma

    NYUMBA INAUZWA IPO DODOMA MNADA MPYA KARIBU NA ZAHANATI 🏞Kiwanja 450 sqm vyumba 3 (1master) ▶Sebule ▶Jiko ▶Dininig ▶Store ▶Public toilet 💸💸💸Bei=50M 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  7. Nyumba Inauzwa Goba Kwa Robert

    Nyumba Inauzwa Goba. Mahali: Goba Kwa Robert. Sifa za Nyumba: *Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu. *Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles. *Madirisha ni pvc. *Ina fence(uzio). *Ina vyoo(toilets)5. *Umeme na maji yapo. *The house is new, no one has lived in...
  8. Mwanaume una mke na watoto lakini unaishi kwenye nyumba ya mwanaume mwenzio eti umepanga!?

    Halafu unakuja hapa kutubeza sisi tusiokuwa na gari ila tumejenga unaatuona ni malofa ila wewe unayeishi kwenye nyumba ya mwanaume mwenzio unajiona ni mwamba sana. Kwanza hapo huna mamlaka hata ya kumgombeza mkeo mwenye nyumba anaweza kutoka kifua wazi na kukukoromea kuwa hapa sitaki ugomvi...
  9. Nyumba Inauzwa Goba Kwa Lilian Kibo

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  10. Nyumba inauzwa Argentina Morogoro Road

    Habari wakuu. Nyumba inauzwa Argentina mkabala na ofisi Za Mabasi ya Shabibi Line. Nyumba inatazama Morogoro Road Eneo Lina ukubwa wa sqm 480 Hati Safi Bei ni Milion 600 Maongezi ni wewe mnunuzi na mwenye nyumba. Hakuna mgogoro wowote. Unaweza kuvunja na kuweka uwekezaji mwingine.Maamuzi...
  11. A

    Bati gauge 26 inafaa kuezekea nyumba ya kuishi

    Wanabodi kama mada inavosema,nimepitia maoni mengi kuhusu uezekaji na gauge pendekezwa ni 28,lkn binafsi nataka kutumia gauge 26,naombeni ushauri wenu wa kitaalamu nipate elimu na kufanya maamuzi
  12. Kwa mahitaji ya kununua nyumba au kiwanja Dar Es Salaam

    Salamu matajiri. Namba zangu hizo hapo dalali ambaye Sina mkuu lakini Kazi zangu zimenyooka. Ukitaka nyumba ya kununua au kiwanja basi nahakikisha kila kitu Kipo Sawa. Hakuna mgogoro wa kiserikali au kifamilia. sikutozi Hela ya kukupeleka kuona eneo Ila utalipia usafiri WA kukupeleka sehemu...
  13. Nyumba Inauzwa Goba Kwa Robert

    Nyumba Inauzwa Goba. Mahali: Goba Kwa Robert. Sifa za Nyumba: *Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu. *Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles. *Madirisha ni pvc. *Ina fence(uzio). *Ina vyoo(toilets)5. *Umeme na maji yapo. *The house is new, no one has lived in...
  14. Huyu fundi umeme kaacha alama kwenye nyumba hii

    Sija jua jina la fundi ila nimeona kaacha alama ndani ya jengo.
  15. Nyumba Inauzwa Goba

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  16. J

    Je Kuna Uhalali wowote Kusalia Mbele ya Nyumba ya Ibada ya Dini Nyingine?

    Hicho ndicho kilichotokea wakati wa Eid Al Adha huko Montreal Canada. https://x.com/realMaalouf/status/1932453119792685440 Na bado Waziri Mkuu wa Canada katika salamu zake za Eid, alimwaga sifa kemkem kwa Waislamu. Swali jingine mtu anajiuliza je this love affair baina ya viongozi wa kisiasa wa...
  17. Wataalamu wa ujenzi nyumba kama hii niandae sh. Ngapi na mimi niamie kwangu?

    Wataalamu msaada wenu tafadhali nimechoka kupanga nina kaeneo kangu ka miaka nenda rudi, na mimi nataka niamie kwangu. Bei gani hii nyumba nataka niamie ndani ya siku mbili hizi.
  18. L

    Leo John Heche Anawadharau Watanzania waliopanga Nyumba?

    Ndugu zangu Watanzania, Nimesikitishwa sana ,kuchukizwa sana ,kushikwa na hasira kali sana na kumchukia sana Heche niliposikia akitoa kauli za dharau na kejeli kwa susan Kiwanga kwa sababu tu aliishi kwenye nyumba ya kupanga. Hii maana yake nini? Maana yake ni kuwa Heche na CHADEMA kwa ujumla...
  19. Huyu mwenye nyumba sasa anatunyanyasa. Rais/Serikali iingilie kati jambo hili wanaichonganisha na wananchi

    Nyumba ya kupanga tupo hapa Buguruni Mnyamani ni shida sana. Ni manyanyaso kwa sisi ambao ni mambo safi. Maana naona vijana hapa tunashindana sana kuweka madish ya visimbusi mbalimbali. Na kutumia masabuwufa ya sauti kubwa. Tuliwasha jioni hatusikilizani na hatuna shobo na mtu. Mi nimenunua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…