nyumba

  1. Dalali_wa_kimataifa

    House4Sale House for sale, located at Mbweni mpigi Daressalaam Tanzania,price tsh 670m

    #houseforsale GOROFA LINAUNZWA INA VYUMBA VITANO VYA KULALA NA BYCOTA ENEO SQMT 1200 OFFER MILLION (670) MAONGEZ HAT IMENYOOKA LOCATION LOCATED AT MBWEN MPIGI 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  2. radhiya

    Nyumba Inauzwa Goba Lilian Kibo

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  3. Wizara ya Ardhi

    Tanzania ina uhitaji wa zaidi ya nyumba milioni 26 ifikapo 2050

    Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tanzania inauhitaji mkubwa wa nyumba kutokana na kasi ya ukuaji wa miji nchini ambapo inakadiriwa kuwa na mahitaji ya nyumba 26,840,909 ifikapo 2050 ili kukidhi mahitaji wa watu milioni 118.1. Akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kufungua semina...
  4. Mpwayungu Village

    ChatGPT sio wakuwaamini, kwamba nyumba ya mfalme wa Saudia imegharimu trillion 1.5 US Dollars??? 😳

    Au wamechanganyikiwa kumbe ndonimeanza kuamini kuwa sio Kila kilichopo mitandaoni cha kuamini nahisi hizi figure Wali wrong. Haiwezekani nyumba tu iwe bei mara tano ya utajiri wa Elon Musk. Hivi wanaijua dollar trillion hawa 🤣🤣🤣 Kwa maana hiyo ni matajiri Sasa kuliko Elon Musk ambae ni tajiri...
  5. Intelligent businessman

    Tusio na nyumba tukutane hapa

    Mimi kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao hiki cha dharura. Lengo la kuitisha kikao hiki ni kujua idadi ya ma jobless tusio na nyumba , maana humu jf kila niki zunguka kila mtu ana nyumba au mjengo mkali na wa maana. tuki ijua idadi yetu, tuna weza tuka ungana kuweka...
  6. Hharyson

    MTEJA AMETUPIGIA NA KUWA ANAHITAJI NYUMBA KUBWA (6BEDROOMS)NA YENYE MUONEKANO WA KISASA AMBAO SI SIMPLE SISI TUMEMPA HIZI OPTION 3 WEW UMEPENDA IPI ?

    6BEDROOMS SEBULE KUBWA NA NDOGO JIKO 2 (WET KITCHEN AND DRY KITCHEN) DINING WITH PATIO MASTER WITH PATIO TUPIGIE KWA HUDUMA NZURI 0624004650 TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
  7. A

    Naombeni mchanganuo wa kupaua hii nyumba

    Ramani
  8. B

    Nyumba inauzwa Tanga, Magomeni

    Wakuu habari za majukumu ya kifamilia,kijamii na kitaifa! Natumai hamjambo. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,kuna nyumba huku tanga mjini mtaa wa magomeni A inauzwa,iko na 3 bedrooms,1 master room,sitting room kubwa na store. Pamoja na vumba vitatu vya nje. Bei, million 40.
  9. Mstahiki Mea

    Wapenzi wa Maua yakupamba nyumba : Artificial

    Wale wapenzi wa maua ya kupamba nnyumba Haya yako kibao huko alxpes kwa kianzia 5000 Aliexps link 👉🏻31/37 cm künstliche Schlangenpflanzen, gefälschte Sukkulenten, Kunststoff, Tigerfellpflanze, tropische Sansevieria für Büro, Zuhause, Tischdekoration - AliExpress 15
  10. Loading failed

    Ukitoa rangi, ni upi muonekano mzuri wa nyumba kwa nje ambao hautozeeka haraka wala kupitwa na wakati

    Ndugu zangu . Kama kichwa cha habari kinavyosema Ni upi muonekano mzuri wa nyumba kwa nje ukitoa rangi.
  11. radhiya

    Nyumba Inauzwa Kimara Temboni

    Nyumba Inauzwa Kimara. Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja. Sifa za Nyumba: •Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro. •Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko. •Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi. •Ina eneo kubwa mbele. •Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
  12. Hharyson

    UNAWEZA UKAJENGA NYUMBA NZURI BILA LANDSCAPE NZURI INAPOTEZA MVUTO KARIBU TUKUPE DESIGN NZURI NA UTEKELEZAJI PIA 0624004650

    WE DO DESIGN AND BUILD CALL/WHATSAP +255624004650
  13. Minjingu Jingu

    Nyumba za kulala wageni Kurasini ni Changamoto sana

    Wadau siku ya pili hii natafuta nyumba ya kulala wageni eneo la Kurasini ni shida. Sijafanikiwa kuna wageni wangu wanataka fikia huku shughul zao zipo ukanda huu. Gharama ya chumba iwe tsh 40,000 mpka 60,000 kwa siku. kuwe sehemu tulivu na yenye chakula (hotel) kusiwe na fujo.. Nahitaji...
  14. Mwislam by choice

    Serikali ya Zanzibar Yashindwa Kulipa Fidia kwa Nyumba Zinazotakiwa Kupisha Barabara – Maendeleo Yakwama

    Ndugu wanajamvi, Napenda kuibua hoja kuhusu jambo linaloumiza wananchi wengi – suala la kutolipwa fidia kwa nyumba zinazotakiwa kupisha upanuzi wa barabara visiwani Zanzibar. Mfano halisi ni barabara ya kuelekea Paje (Unguja Kusini). Kuna nyumba moja imebaki katikati ya ujenzi wa barabara, hali...
  15. E

    Nyumba yetu ya familia imepigwa X ya kijani?

    Naomba anayefahamu kuhusu maana ya X ya kijani ni Nini? Maana hapo mwanzo mwaka 2006 nyumba yetu ilivunjwa sehemu yote ya mbele lkn safar hii wamekuja kuweka X ya Kijani. Nyumba yetu hipo barabara kuu eneo la riverside.
  16. Kinoamiguu

    Nyumba zinapangishwa, magomeni mwembe chai. Dk 5 toka morogoro road

    Ni nyumba za kisasa ( apartments) mpya kabisa. Zipo magomeni mwembe chai. Zipo tatu 1. Self ina room mbili za kulala ( master) na inajitegemea 2. Self na zinajitegemea Maji uhakika kabisa ( reserve tanks zipo Car parking na gates Dalali ni mm mwenyewe Karibu Bei ni Ml 1.2 mwezi Laki 600000/=...
  17. Kitomai

    Nyumba nzuri ya GHOROFAni (Apartment) INAPANGISHWA UPANGA

    **🏡 -ina gharama nafuu! Vyumba 2 vya kulala (kubwa na zenye nafasi). Bafu na Choo: *Jiko * Sebule: Sebule ya kupumzika/wageni. (ceiling fans) na *Air Conditioner (viyoyozi) (AC) kwa ajili ya joto. ✨ FAIDA ZAIDI: - Bei nafuu: TSh 1,000,000 tu kwa mwezi malipo ya miezi 6 Kwa pamoja ✉️...
  18. M

    H Polepole: Serikali ni kama nyumba isiyo na mwenyewe

    Balozi msitaafu Humphrey Polepole amewaomba watanzania wasimuhukumu kwa kushindwa kutoa matokeo mazuri kwenye kazi yake ya Ubalozi wa Tanzania nchini Malawi na baadae nchini Cuba kwa sababu alikuwa hapati ushirikiano wa kutosha kutoka kwa watendaji wa Serikali ya Rais Samia kwani wengi...
  19. N

    Nyumba zinanazo Jengwa Syria,Gaza, na Israel ni nzuri sana.

    Huwa naangalia video za vita hizo nchi wanajenga nyumba nzuri sana na kwa mpangilio mzuri sana. Wana ma-vita yasiyoisha lakini wanaonekana ni watu wenye mipango mizuri sana hasa kwenye Ujenzi. South Afrika nayo wanajitahidi sana, Hapa kwetu unaona majengo mapya lakini hayana mpangilio mzuri...
  20. Joshua Mbezi

    Nyoka Baada ya kuchomoza ndani ya Nyumba

    Bila shaka ule mwendo ulimtisha kila mmoja aliyekuwa ndani ya Nyumba Licha ya jitihada zilizotumika kumtafuta nyoka bila mafanikio Leo Kuna watu watalala masikio yote yakiwa nje wakisikia kila kitakacho gonga juu ya bati ili wawahi kutoka nje kuokoa nafsi zao 😂😂
Back
Top Bottom