Nyumba Inauzwa Goba.
Mahali: Goba Kwa Robert.
Sifa za Nyumba:
*Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu.
*Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles.
*Madirisha ni pvc.
*Ina fence(uzio).
*Ina vyoo(toilets)5.
*Umeme na maji yapo.
*The house is new, no one has lived in...
Na: Mjumbe wa Nafsi za Watu
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikijiuliza swali moja: Hivi ni lini tutaanza kuwajibika kwa maamuzi yetu binafsi, hasa yale ya kiuamuzi kabisa kama kuingia kwenye ndoa, au kuiacha?
Nikiwa mtaa mmoja hapa jijini Dar es Salaam, ubuyu ukamwagwa. Ubuyu si wa kawaida. Ni...
Tunachoambulia ni kuinunua hio ziada kwa kukopa juu ya kukopa, tukitegemea tutachukuliapo kidogo kutoka kwenye akiba ila kiuhalisia tunajikuta tunaanza kuimega na faida pia maana ziada ya kuinunua ni tamu ina gharamas sana.
Kinachoendelea ni sisi kubaki katika rotation ya mzunguko wa pesa ambao...
Naishije haya maisha kwani nahisi kuchanganyikiwa. Mimi ni mama wa watoto 5, niliolewa lakini nimedai talaka na imetoka sina hata shilingi mia kaka. Iko hivi, mume wangu ni mfanyakazi wa serikali, ana kipato kikubwa na mara nyingi yuko bize sana kazini, alinifungulia biashara na katika hii...
Wakuu, leo ngoja nitembee kivingine leo mimi nitaongelea kidogo japo kwa uchache kuhusu Baba km nguzo imara na msingi wa Familia Imara.
Ni kwamba Familia yoyote chunguza km unaweza kuchunguza Familia inayoongozwa na Baba inakua haiteteleki wala kupata misukosuko maana Baba likitokea lolote la...
#houseforsale
Nyumba ya gorofa tatu
ground floor
1) 1 bedroom en-suite
2) kitchen with separate dish washing room
3) kitchen pantry
4) laundry room
5) computer room
6) entertainment room
7) combined dining room area and sitting room area
8) separate sitting room
9) common toilet
first floor...
HOUSE FOR SALE:
LOCATION: BAHARI BEACH
SQM: 1,200
Nyumba Ina vyumba vinne
PRICE: 450 Million negotiable.
Hati ipo.
Hii unfinished house ina
Sitting room: 1
Modern windows, ✅
Kitchen, ✅️
Dining room, ✅️
Parking,✅️
Garden, ✅️
Good neighbourhoods, ✅️
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717...
Kama umeishi kwenu au ulikuwa na kwenu penye familia yenu hadi ukaondoka kwenda kuanza maisha yako shukuru sana, watu wengi sana huwa mnachukulia poa kuwa na kwenu lakini ni utajiri mkubwa sana. kuishi nje ya kwenu "YATAKA MOYO" ni bahati kwenda sehemu isiyo kwenu na ukaishi vizuri.
Unakaa...
Ukiingia nyumba ya wageni yeyote na popote fanya yafuatayo kwa usalama wako:
1️⃣Kagua uvunguni kwa umakini usije kutana na kamera, kichwa cha mtu-matunguri au msukule.
2️⃣Toa shuka kitandani, kagua godoro, chaga na mto wa kulalia ili kuepuka kulalia mikojo, vinyesi au hirizi kwene...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
leokunasehemu nimeshinda nimerudi saamoja jioni nakuta nyumba iko pekeyake shemeji yenu hayupo😐
nimesubiri hadi saa tatu ndio akarudi nimekasirika kishenzi.
Namuuliza umetokawapi haeleweki nimempiga vibaya sana nakesho namtimua nyumbani kwangunilitaka nimuone nimeahirisha hilozoezi
sijui...
Habari Shirika la Bima la Taifa (NIC) !
Naomba kuwauliza. Je, mnajua jamii na Taifa letu Tanzania wananchi waunguliwa nyumba zao, wanapata mafuriko nyumba zinaharibika, upepo na majanga ya asilia yanaathiri makazi ya watu na nyinyi mpo tu ?. Mmekufa ?
Nawaomba ikiwapendeza; wekeni pendekezo la...
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MADALE (Kontena)
Ipo Madale, kilomita 1 tu kutoka barabara kuu.
Imejengwa kwenye kiwanja chenye ukubwa wa sqm 500.
Nyumba ina vyumba vinne (4) –
1 ni master bedroom
3 ni self-contained
Sebule kubwa ya kisasa
Jiko zuri la kisasa
Dinning, store, na choo cha wageni...
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – GOBA KWA AWADH
Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa eneo la Goba kwa Awadh, Dar es Salaam. Ipo karibu sana na barabara kuu ya Goba – umbali wa mita 200 tu!
Nyumba ina
Vyumba 4 vya kulala
Vyumba 3 vina bafu na choo ndani (self-contained)
Choo cha wageni (public toilet)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.