nyumba nafuu

  1. ndege JOHN

    Kuna watu hawana hela wanajenga, kuna watu tuna hela ila hatujengi

    Nahisi shida ni moja tu sisi wenye hela tunatamani kujenga kumpita fulani wakati asiye na hela hawazi anajenga vyovyote, anakwenda kisebule na chumba na kistoo na choo kisha anakuja kukupangisha wewe mwenye hela zako; unampa hela anaenda kununua tena kiwanja anajenga nyingine safari. 2023...
  2. Impimpi

    SoC01 Miradi ya nyumba nafuu za kiutamaduni na kiasilia itaimarisha utalii na pato kwa shirika la nyumba na real estates companies na Taifa kwa ujumla.

    Sio siri kuwa miradi mingi ya nyumba za makazi na biashara hushindwa kuliteka soko kwa Watanzania wengi hasa wa kipato cha chini na badala yake nyumba nyingi zimebaki tupu bila wapangaji ama wamiliki ( wanunuzi) kwani miradi hio hukosa uhalisia wa maisha ya watu wa chini. Makampuni hudhani kuwa...
Back
Top Bottom