Actually mi nasikiliza mziki wowote mzuri ila 95% ya nyimbo ninazosikiliza ni kutoka Marekani na Tanzania
Kwa hapa Tanzania nasikiliza Bongo Flava, na singeli chache sana
Kuna stereotype imejengwa kuhusu singeli kuwa ni mziki wa wahuni, usio na maadili na hauna mashairi mazuri
Well, kwa baadhi...