nuclear

A nuclear weapon is an explosive device that derives its destructive force from nuclear reactions, either fission (fission bomb) or a combination of fission and fusion reactions (thermonuclear bomb), producing a nuclear explosion. Both bomb types release large quantities of energy from relatively small amounts of matter.
The first test of a fission ("atomic") bomb released an amount of energy approximately equal to 20,000 tons of TNT (84 TJ). The first thermonuclear ("hydrogen") bomb test released energy approximately equal to 10 million tons of TNT (42 PJ). Nuclear bombs have had yields between 10 tons TNT (the W54) and 50 megatons for the Tsar Bomba (see TNT equivalent). A thermonuclear weapon weighing as little as 600 pounds (270 kg) can release energy equal to more than 1.2 megatonnes of TNT (5.0 PJ).A nuclear device no larger than a conventional bomb can devastate an entire city by blast, fire, and radiation. Since they are weapons of mass destruction, the proliferation of nuclear weapons is a focus of international relations policy. Nuclear weapons have been deployed twice in war, by the United States against the Japanese cities of Hiroshima and Nagasaki in 1945 during World War II.

View More On Wikipedia.org
  1. Jesus Mlokozi

    Mpango wa Iran Kutengeneza Slaha za Nuclear Kujihami dhidi ya Israel

    Kwa sasa Iran ipo na kila sababu ya kuwa na slaha za Nuclear kwa lengo la kujihami. Kila Israel wanavyozidi kuwashambulia wenye wanazidi kuwa na sababu ya ku milki silaha hizo. Israel anazidi kupunguza ushawishi dunianyi kila siku. Kuna taarifa hii How close is Iran to having nuke weapons...
  2. ward41

    Hatuko mbali na ww3, nuclear war

    Kwa jicho la kawaida unaona ni Mambo ya kawaida. Ukweli ni kwamba WW3 Inakaribia. Kinachoendelea Middle East sio cha kawaida. Ukweli ni kwamba dunia inaenda kudondoka. Mwisho wake umefika. Siraha zilizopo duniani zinatisha. Dunia haina miaka kumi mbele. Kuna hatari kubwa mbele yako
  3. ward41

    Tusishabikie Vita, kuna hatari kubwa sana mbeleni

    Kwa Mara ya kwanza mabomu ya nuclear yalitumika mwaka 1945 pale Hiroshima na Nagasaki Athali zake zilikuwa kubwa sana. Watu walikufa, miundombinu iliharibika. Lakini cha ajabu, pamoja na madhara makubwa wa haya mabomu, wanadamu wameendelea kuyatengeneza na kuyaboresha Haya mabomu...
  4. Manyanza

    the Football, au Nuclear Football

    THe FOOTBaLL Kuanzia mwaka 1960 hadi Leo hii, Marais wote wa Marekani wamekuwa wakiambatana na mlinzi ('boardguard') maalum ambaye huwa anabeba mkoba, yaani ('briefcase') Briefcase hii ni shurti iwe karibu na rais popote pale anapokuwa, hivyo ni wajibu wa mlinzi huyu kuwa sambamba na Rais...
  5. M

    Kwanini Israel iruhusiwe kuwa na silaha za nyuklia?

    Waziri Mkuu wa Uturuki amesema kuwa nchi za Magharibi zinaendesha siasa za nyuso mbili katika suala zima la silaha za nyuklia. Recep Tayyid Erdogan amesema hayo alipohojiwa na televisheni ya CNN na kuongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ndio utawala pakee unaomiliki silaha za nyuklia...
  6. Lycaon pictus

    Kipupwe cha Nuclear

    Miaka milioni 65 iliyopita Kimondo kikubwa sana kiliipiga dunia. Wakati huo dinosaurs walikuwa wanaishi duniani. Mgongano wa kimondo hicho na dunia ulisababisha mlipuko mkubwa uliorusha mawe na moto maelfu ya kilomita kila upande. Moshi, majivu, vumbi na mawe yalirushwa juu angani. Viumbe hai...
  7. M

    Meet Putin’s bodyguard ‘Mr Button’ who carries his nuclear briefcase and could be the man who triggers World War 3

    Meet Putin’s bodyguard ‘Mr Button’ who carries his nuclear briefcase and could be the man who triggers World War 3 the-sun.comDec 13, 2023 1:17 PM VLADIMIR PUTIN'S bodyguard dubbed Mr Button could literally hold the fate of the world in his hands at all times as he carries Vlad's ultimate symbol...
  8. Mhaya

    Tanzania tuna safari ndefu na ngumu sana chini ya CCM

    Wakati Tanzania tukiwa na mawazo ya KIJINGA kufikiria kukamata wanaotumia VPN kisa huduma ya internet bongo ni mbovu na TZ inazuia baadhi ya mitandao ya kijamii kupatikana nchini bila sababu za msingi. Wenzetu wanajenga vinu vya nyuklia kwaajili ya nishati ya umeme. Juzi kati serikali ya...
Back
Top Bottom