Nimebadilisha battery mara 2, lakini bado inapata moto hatari, japokuwa siitumii sana ila nikiiwasha tu inapata moto mno. Nimeweka apps kama Wake Lock nk lakini bado tu, tusaidiane wakuu.
Wakuu heshima kwenu,
Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni msaada tafadhali nimetumia zile njia za kikamanda kubonyeza power button na volume button Kwa wakati mmoja imefikia sehemu sasa inataka niunganishe Wi-Fi nimekwama hapo.
Msaada tafadhali
JIPATIE BRAND NEW XIAOMI REDMI NOTE 7
YA GB 64 KWA 500,000
YA GB 128 KWA 600K.
CAMERA - 48 MP
RAM - 4 -6 GB
BATTERY - 4000mAh WITH FAST CHARGER USB TYPE C
BIDHAA ZOTE ZIKO SEALED NA MAELEWANO YAPO.
Contact : 0738985904
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.