note

  1. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa tatizo la touch ya Samsung Note 5 haifanyi kazi

    Wakuu msaada . Simu yangu samsung note 5 touch yake hairespond na hata pen yake haifanyi kazi. Je kwa wazoefu tatizo kama hili linatokana na nini na linatatulikaje? Gharama zake inaweze kuwa kiasi gani?
  2. Kibosho1

    JamiiForums Tanzania Picha: Hizi ndio noti zetu mpya, usipoangalia vizuri unaweza kusema ni bandia

    Kadiri miaka inavyozidi kwenda na uboreshaji wa noti zetu za Tanzania unazidi kupungua. Hii note kama ni gizani unaweza kusema bandia. Ukiangalia hizi noti unaweza kusema ni bandia huu mstari ndio uneniondolea was was. Kwanzia noti za JK kufikia hizi mpya zina makasoro mengi sana. Angalia hii...
  3. Ryzen

    JamiiForums Tanzania Galaxy Note 5 "No service"

    Niaje wakuu, niliflash simu yangu aina ya galaxy note 5 N9200 (HongKong version).. hii simu baada ya kuflash haioneshi network.. yaani line haipandishi mtandao.. No service/no network connection. Nimejaribu kuchange sim cards kadhaa, ku reflash na baadhi ya hatua kadhaa lakini bado. Je hili...
  4. hp4510

    JamiiForums Tanzania Samsung note 4 LTE sipati 4G

    Wakuu naomba maujanja ya app au technical kuhusu hii simu yangu Hii simu ni note 4 nilinunua India sasa kwa kule nilikuwa napata 4g vizuri but kwa hapa bongo nashindwa kupata 4g kabisa sijui shida ni nn Kwa yoyote mwenye uelewa pls msaada tafadhali
  5. Masokotz

    JamiiForums Tanzania This is not a suicide note

    closed
  6. Randy orton

    JamiiForums Tanzania Hii Samsung Note 4 inapata moto balaa

    Nimebadilisha battery mara 2, lakini bado inapata moto hatari, japokuwa siitumii sana ila nikiiwasha tu inapata moto mno. Nimeweka apps kama Wake Lock nk lakini bado tu, tusaidiane wakuu.
  7. bioto

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada jinsi ya ku-flash Infinix Note 3

    Wakuu heshima kwenu, Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni msaada tafadhali nimetumia zile njia za kikamanda kubonyeza power button na volume button Kwa wakati mmoja imefikia sehemu sasa inataka niunganishe Wi-Fi nimekwama hapo. Msaada tafadhali
  8. lucky lefty

    JamiiForums Tanzania REDMI NOTE 7 64GB FOR SALE (BRAND NEW)

    JIPATIE BRAND NEW XIAOMI REDMI NOTE 7 YA GB 64 KWA 500,000 YA GB 128 KWA 600K. CAMERA - 48 MP RAM - 4 -6 GB BATTERY - 4000mAh WITH FAST CHARGER USB TYPE C BIDHAA ZOTE ZIKO SEALED NA MAELEWANO YAPO. Contact : 0738985904
Back
Top Bottom