Pamoja na kuwa inshu ya shaidi kuingia na note book Kizimbani ijumaa wiki iliyopita Jaji alihaidi kuwa mahakama itaifanyia maamuzi Jumatatu hii. Yani ataanzia na objection ya kina kibatala.
Jumatatu mahakama haikukumbuka ata si kuianzia tu maana ndipo walipoishia. Pia nikiamini pingamizi Hilo...
Accusing a witness of “lying.”
The older lawyers also taught me that I must never directly accuse a witness or a party of “lying” while I was questioning them. Yet every week I hear lawyers doing this. This is usually done by the lawyer asking the accusative rhetorical question:
“Sir, you do...
Habari Wanajamvi,
Nauza simu yangu mwenyewe ni Samsung Galaxy Note 10+. Ina mwezi mmoja tangu niinunue, ina risiti niliyonunulia na boksi lake
Bei ni laki 8.5, inapungua kidogo sana
Kwa aliye serious anifuate DM
Location, nipo Dar es salaam
Kwa kweli simu nilizoamini ni nzuri ni pamoja na Samsung lakini kwangu imekuwa tofauti, mwanzoni simu ilikuwa vizuri lakini sasa hivi natamani kurudi kwenye tecno na infinix, maana nikiwa safarini nawaona wenzangu wakivinjari kwenye mitandao ya kijamii mwanzo mwisho wa safari lakini hili la...
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mkubwa mwenendo wa kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu. Nafuatilia kwa kwenda mwenyewe Mahakamani. Hata sasa nipo Viunga vya Law School of Tanzania ilipo Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi kwa ajili ya...
THE SUICIDE NOTE THAT NO ONE READ
“I am trying to be strong and fight these demons but no matter how hard I try, their voices are stronger and my pace is nothing compared to theirs. Why do I feel so empty so lost, I am tired of holding onto broken pieces of a mirror that used to mirage my life...
Members msaada, nahitaj kuapdate mannual samsung note 4 ifike android 6, kwenye web ya samsung ukitaka kidownload wanataka uchague nchi ila tanzania haipo, nichague nchi ipo hapo au yoyote tu maana kwa africa naons south africa (vodafone)
Naitaji Samsung Note 10 yenye hali mzuri no michubuko, ambayo imetunzwa vizuri.
Bajet yangu ni laki sita na nusu.
Niko Dar es Salaam.
Mwenye nayo tafadhali npm tufanye biashara.
Inasemekana nyimbo nyingi zinazoimbwa hasa kwenye nyumba za ibada zinakuwa na mpangilio maalum ambao mtu yeyote akiufuata anaweza kuimba.
Sasa kuna huu wimbo una maneno kama ifuatavyo.
"Parapanda italia parapanda,
Parapanda italia parapanda"
Mwenye kujua au mtaalamu wa nyimbo anisaidie...
Wadau habari zenu.?
Nilikuwa natumia Samsung A30, ambayo nilinunua mwaka juzi ,nilipanga mwaka huu ninadilishe..
bahati mbaya jana nikiwa na mashkaji tunapiga mambo niliidondosha, haifanyi kazi kwenye screen, ofcourse huwa situmii screen protector hivyo tangu muda imepasuka kioo, ila jana kioo...
Habar wadau,
Nimeipenda simu ya xiaomi redmi note 8 pro ila ni china version
Bei yake 450,000
Kabla ya kufanya manunuzi napenda kufahamu China version ya xiaomi itashika band za Tanzania?
Pia bei hio ni reasonable kwa simu hio
Ushauri wadau.
Habari wadau,
Kwanza nianze kwa kusema hii si mara yangu ya kwanza kuokota hela kama ambayo naamimi hata wewe msemaji huenda umewadia kuokota hela pengine zaidi ya mara moja.
Katika hali ya kawaida(kwani naamini ni kwa wengi), nimekuwa nikiokota hela ndogo ndogo(shilingi 1000,2000,500, n.k)...
Nataka tusaidiane na tupeane maarifa na ujuzi kuhusu Simu za samsung hasa hizi flagships za miaka ya nyuma kama S6, S8, Note 8 na S9 ambazo zinauzwa hapa Tanzania miaka kadhaa baada ya uzalishaji kupita!
wauzaji wengi wanadai hizi simu wanazouza ni mpya.. yaani wameimport brand new phones kutoka...
Nauza Redmi Note 7 Blue.
Brand New and straight From Xiaomi
Global ROM (Ina full google apps pamoja na google playstore + ni multilanguage)
ROM ni 64GB
RAM 6 GB
6.3'' inch display
Snapdragon 660 Processor
48 MP Camera
Line mbili na inasupport 4G mitandao yote Bongo
Battrey kubwa 4000 Mah (It...
Wakuu msaada . Simu yangu samsung note 5 touch yake hairespond na hata pen yake haifanyi kazi.
Je kwa wazoefu tatizo kama hili linatokana na nini na linatatulikaje? Gharama zake inaweze kuwa kiasi gani?
Kadiri miaka inavyozidi kwenda na uboreshaji wa noti zetu za Tanzania unazidi kupungua. Hii note kama ni gizani unaweza kusema bandia.
Ukiangalia hizi noti unaweza kusema ni bandia
huu mstari ndio uneniondolea was was.
Kwanzia noti za JK kufikia hizi mpya zina makasoro mengi sana.
Angalia hii...
Niaje wakuu, niliflash simu yangu aina ya galaxy note 5 N9200 (HongKong version).. hii simu baada ya kuflash haioneshi network.. yaani line haipandishi mtandao.. No service/no network connection.
Nimejaribu kuchange sim cards kadhaa, ku reflash na baadhi ya hatua kadhaa lakini bado.
Je hili...
Wakuu naomba maujanja ya app au technical kuhusu hii simu yangu
Hii simu ni note 4 nilinunua India sasa kwa kule nilikuwa napata 4g vizuri but kwa hapa bongo nashindwa kupata 4g kabisa sijui shida ni nn
Kwa yoyote mwenye uelewa pls msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.