Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema "tuko njiani kupata ushindi".
Akitembelea kambi ya anga ya Israel, alirejelea madai ambayo tumesikia kutoka Israel leo - kwamba "inadhibiti anga ya Tehran".
"Tuko njiani kufikia malengo yetu mawili: kuondoa tishio la nyuklia na kukomesha tishio...