Mtakumbuka Serikali ya Tanzania kupitia TASAF III Shilingi bilioni 43.5 zilitolewa moja kwa moja kwa kaya maskini kama ruzuku na malipo ya walengwa.
Faida Kuu za TASAF kwa Wananchi ni
Kupunguza umasikini wa kipato
Kaya maskini hupokea ruzuku ya fedha ili kukidhi mahitaji ya msingi kama...