nida

National Identification Authority (NIDA) /Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ni chombo cha kusimamia Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania.
  1. Kama mgombea uraisi tume inampa gari kwa ajili kuomba kuchaguliwa na sisi tushajua mna NIDA zetu tulipeni

    Mambo ya kwenda burundi tukikuuliza kodi,tukifa unasema kifo ni kifo mpaka wale wanaotuambia sijui oktoba watatiki sawa si mnajua. Kwa sasa NIDA yangu kama utalazimisha kuwa nilikuchagua thamani yake ya kukuchagua ni bilioni 23 za kitanzania. Hii kesi nimepata wazo ili wajuwe CCM oktoba...
  2. GE2025 Mifumo ya Chadema imeungwa na NIDA, ushahidi huu hapa, je na wao wanaitumia kuiba kura?

    Kumekuwa na kelele za mfumo sijui imeungwa na nini. Hata mifumo ya chadema imeungwa na NIDA. Je wanaitumia kuiba kura?
  3. B

    TLS, Mwabukusi: "Mweleweni Polepole kwenye hoja yake ya mifumo ya CCM, INEC na NIDA kuhusiana na wizi wa chaguzi kiufundi."

    Palikuwa na uzi humu: Soma: Polepole kuitisha mifumo ya uchaguzi na NIDA kuhusiana na CCM kukaguliwa, ili kujiridhisha ina maana gani kiufundi? Uzi huo ulikuwa na maelezo ya kina katika lugha rahisi kuhusiana na alichosema Polepole na kuibiwa uchaguzi alikokuangazia. Ikumbukwe anayeweza...
  4. Wenye NIDA tukutane Uwanja wa Mkapa - Uapisho (November 2025)

    Wenye kitambulisho cha NIDA tuna furaha zaidi hivyo basi tukutane kwenye uapisho Uwanja wa Mkapa
  5. Kila mwenye NIDA anapeleleza Ilani

    Kila mwenye kitambulisho cha NIDA anapaswa kuwa Afisa kipenyo kwa utekelezaji wa Ilani ya Chama katika ngazi husika (Kata, Jimbo na Taifa).
  6. Yani kwa kifupi Kama una namba ya NIDA oktoba UTATIKI upende Usipende

    Hiki ndio tunachomaanisha tunaposema mfumo umeunganisha INEC=NIDA=CCM
  7. Waya hauwezi kutoka NIDA kwenda bank accounts za CCM na sisi tupate ya soda?

    Ni dhahiri sasa huu uchaguzi sio tena kwa ajili ya kuchagua wawakilishi wa wananchi. Ni dhahiri sasa hawa CCM hawapo tena kuhakikisha ustawi wa Tanzania. Wewe umeona wapi mtu anatumia gharama kubwa na mbinu za aibu eti kwa ajili ya kutaka kukuwakilisha? Huu ni uchaguzi kwa ajili awamu nyingine...
  8. K

    HAYA YA POLEPOLE KUWA MIFUMO YA NIDA, INEC NA CCM INASOMANA. JE NI YA KWELI?.

    Nimeona mjadala huu ukishika kasi ya kutisha. Mimi siyo mtalaam wa IT. Kwa wale walio na ujuzi wa masuala haya ninaomba mnipe elimu jinsi mfumo huu unavyoweza kusomana na athari zake kwa wapiga kura. Nawasilisha.
  9. Hivi ndivyo INEC wananavyoweza kuchakachua kura kupitia NIDA

    Imeandikwa na Dr Calipso, X HII INAFANYIKAJE . Kwenye mfumo kuna kitu kinaitwa query, unaicommand query in run ikuvutie taarifa Fulani muhimu then unaweza kuzi intergrate na mifumo mingine wataalamu wa CTC2 Database inayo inayotunza taarifa za Ukimwi mnaelewa. Mfano waliojiandikisha kihalali...
  10. R

    Uchambuzi wa AI wa kisheria kuhusu kimachosemwa kuwa ushirikiano kati ya NIDA, INEC na CCM

    Kumekuwa na tuhuma zinazodai kuwa mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) umeunganishwa au unashirikishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) pamoja na Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa nia inayotazamwa/hisiwa kuwa ovu na inayokiuka haki za faragha na usawa wa kisiasa. Uhalali wa jambo...
  11. GE2025 INEC: Mfumo wa TEHAMA wa INEC umeunganishwa (Interphase) na Mfumo wa NIDA ili kuboresha utendaji

    Mwezi March 2025 wakati wa mkutano wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Wadau, Mkurugenzi wa TEHAMA-INEC (Stanslaus Mwita) alinukuliwa akisema " Tumefanya maboresho kwa kufanya maunganisho ya kimfumo kati ya mfumo wa kupiga kura wa INEC na Mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)."
  12. Hii fomu ya kujisajili na CCM mbona kama inasomana na NIDA?

    Hapo nilipozungushia duara red, kuna mjadala aisee 🤣🤣🤣
  13. M

    Media za Bongo mnaandikaje utetezi wa INEC na NIDA wakati hamkutuhabarisha kilichosemwa na Balozi Polepole?

    Wasaaalamu Kama kichwa cha habari kinavyojieleza inakuwaje media za kibongo zinatupa habari za NIDA na INEC wakati hazikutuhabarisha habari zilizosemwa na Mheshim8wa Balozi mstaafu Humphrey Polepole??? Hii imenifanya nikumbuke Former President H E Benjamin Mkapa (rip)alivyowahi kusema hakuna...
  14. Kwanini NIDA, INEC na CCM ghafla wamepanic na kuropoka ovyo ovyo kimfanano baada ya Pole pole kumwaga siri zao?

    Kama wewe ni mdadisi wa kutaka kupima hisia za ukweli wa tuhuma fulani, basi angalia kwanza mrejesho wa mwanzo wa yule aliyetuhumiwa (yaani Reaction ya mtuhumiwa). Baada ya Pole Pole kuzilipua CCM, NIDA na INEC, ghafla ziliibuka taarifa nyingi za makada wa CCM kujaribu kujibu hoja za Pole...
  15. D

    Naomba haya maswali yajibiwe na INEC na NIDA kama kweli Polepole kasema uongo vinginevyo Inatia mashaka

    Nilimsikiliza vizuri Polepole aliposema mifumo ya CHAMA inasomana na Taarifa za NIDA na Tume ya UCHAGUZI Baadae Tumesikia majibu ya kukanushwa Taarifa hiyo kutoka INEC na NIDA! WAMEKANUSHA kwamba hiyo mifumo haisomani! Majibu haya ndiyo yamenishitua kabisa kuliko hata TUHUMA za POLEPOLE...
  16. INEC: Kuhusu upotoshaji wa kuunganishwa kwa mfumo wa uchaguzi na mifumo mingine

    Kumekuwepo na taarifa za uongo na upotoshaji zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa: Mfumo wa Data za Uchaguzi unaotumiwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) umeunganishwa na mfumo wa NIDA na Mfumo huo umeunganishwa na chama kimoja cha siasa, na kwamba zoezi la kupiga kura...
  17. GE2025 Polepole: Mwaka huu hakuna uchaguzi, ni CCM VS CCM, CCM na ACT-Wazalendo ni kitu kimoja!

    Humphrey Polepole, amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu hauna ushindani wa kweli, kwa kile alichodai kuwa kinachoonekana ni “CCM dhidi ya CCM.” Polepole ameeleza kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) na chama cha upinzani ACT-Wazalendo haviwezi kuonekana kama wapinzani wa dhati, akisisitiza kuwa vyama...
  18. Utetezi wa NIDA/ INEC ni Wa kipuuzi, njia pekee ni Vyama/NGOs kuruhusiwa kukagua Mifumo Kwa kutumia Wataalam wao wa Ndani au Nje ya Nchi !!

    Yaan nayenyewe yanajitokeza hadharani Et 'Polepole ni muongo, sio kweli ". Hoja za Polepole, zinakua proved wrong Kwa kutoa tangazo hili 'NIDA/INEC inawaalika Vyama vya SIASA, WATETEZI WA DEMOKRASIA , TAASISI ZA KIDINI , WATETEZI WA HAKI , NCHI MARAFIKI ULAYA NA MAREKANI , NA WADAU WA...
  19. R

    INEC, NIDA CCM VEN DIAGRAM showing their interaction in the election

    X= CCM Y = INEC Z= NIDA Qn: Define the function and importance of each union interaction in the ven diagram among the three players in election rigging
  20. Je, unaifahamu historia ya kuanzishwa kwa vitambulisho vya taifa (NIDA)?

    Historia ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) 1986 – Wazo lilizaliwa katika kikao cha ‘Interstate Intelligence Gathering’ ambapo iliazimiwa Tanzania na Uganda kutoa vitambulisho vya taifa kama ilivyokuwa kwa Kenya na Zambia ili kuimarisha mahusiano ya kiusalama yanayozingatia Utawala wa Sheria...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…