KERO Shekilango NHC Maghorofani tunalipa hela ya taka lakini hali ilivyo inatisha

KERO Shekilango NHC Maghorofani tunalipa hela ya taka lakini hali ilivyo inatisha

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
491
Reaction score
781
Mimi ni mkazi wa Shekilango NHC maghorofani. Kwa kweli hali ni mbaya sana kwa sasa. Tumekuwa tukilipa fedha za usafi kila mwezi kama inavyotakiwa, lakini cha kushangaza, huduma ya ukusanyaji taka haipo kabisa.


Taka zimekuwa zikizagaa hapa kwa takribani mwezi mzima sasa. Harufu ni kali, mazingira siyo salama tena, na tunahofia hata magonjwa yanaweza kuanza kuongezeka kutokana na hali hii.
 
Back
Top Bottom