nguvu

  1. D

    Miaka 30+ hupoteza nguvu za kiume kwa ugonjwa wa kisukari

    Kisukari na Nguvu za Kiume Ugonjwa wa kisukari ndio sababu kubwa ya kupungua au kupotea kabisa kwa nguvu za kiume. Tafiti zinaonesha kuwa kati ya asilimia 35–75 ya wagonjwa wa kisukari, hupitia changamoto hii. Wanaume wenye kisukari huanza kupata tatizo hili miaka 10–15 mapema zaidi...
  2. Griss

    The Power of Catholic church in TANZANIA

    Huwa hawakurupuki kufanya Jambo lao Ni kanisa lililojaa majasusi mpaka wavaa baragashia. Hawa ndio serikali kubwa kuliko zote duniani. Hawana ndio wanashikilia uchumi wa dunia kupitia kupitia mifumo ya kibenki wakishilikiana pamoja na Israel. Je wajuwa ndio usimika Ma-Rais wa nchi zote...
  3. R

    Nguvu ya kicheko kwa Afya yako ya Akili na Mwili

    Nguvu ya Kicheko kwa Afya Yako Je, unajua kwamba kicheko siyo tu ishara ya kufurahia jambo? Utafiti unaonyesha kuwa kucheka husaidia kupunguza msongo wa mawazo, kuimarisha kinga ya mwili na kuboresha mzunguko wa damu, jambo linalosaidia afya ya moyo. Dakika chache za kicheko pia hupunguza...
  4. U

    Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme.

    Mithali 31:3
  5. U

    Je, ni sababu zipi zilizosababisha kampeni ya No Reforms No Election kupungua nguvu na kupoteza mvuto ndani ya kipindi cha muda mfupi ?

    Wajuzi wa sayansi ya siasa karibuni
  6. F

    Watanzania tusipoikataa CCM kwa nguvu zote tutaendelea kuchezewa na kutwezwa

    Watanzania tumefika mahali pa kuonekana hatuna akili nzuri na majirani zetu. Juzi nimekutana na mtu kutoka taifa jirani anashangaa sana kwa jinsi siasa za Tanzania zinavyoendeshwa kibabe huku Watanzania wakiwa hawana la kufanya mbele ya kikundi kidogo cha wanasiasa. Kwa kweli tuliongea mengi...
  7. B

    Ujio wa Polepole kuongeza nguvu kwenye jitihada zilizokuwapo, ukombozi unakuja, saa imefika, Mungu ameruhusu!

    Ashukuriwe Mungu wa mbinguni bwana wa majeshi kwa kutupenda mno sisi hata ikampendeza machungu yetu hatimaye kufikia mwisho labda tena kwa salama. Tulipo hatuko mbali na tunakopahitaji yaani kwenye Tanzania ya haki. Haipo siri Tena, adui zetu wànajulikana vyema zaidi. "Wapumzike kwa amani...
  8. Think2

    “Vipi kama Mungu angekupa siku 3 kuwa na nguvu zake na kuchukua udhibiti wa kila kitu kabisa? Ungefanya badili nini

    For my side, ningewaangamiza mashetani na majini wote ◇ Ningebadili me na ke wote wale kwa jasho zao ◇ Wanamtandao wote waliotajwa na polepole ningewapoteza kwenye uso wa dunia. Je wewe ungefanta nini tz and world wide?
  9. M

    Utukuzwe Mungu mkuu na Mungu mwenye nguvu.

    Ni siku nyingine tena ninapokuja kwako Mungu mkuu nikikuomba uitendee mambo makuu Nchi yetu Tanzania, hasa mwaka huu uliojaa dhuluma. Nakuomba Mungu mkuu, Mungu mwenye haki na Mungu usiye na upendeleo mwaka huu usipite bila kutuma jeshi la malaika zako kuja kuikomboa Nchi hii kutokana na Dhuluma...
  10. M

    Mungu Mkuu na Mungu mwenye nguvu

    Tunakushukuru, tunakusifu, tunakuabudu na kukutukuza Mungu mkuu. Tunaomba Mungu mkuu na Mungu mwenye haki, uitazame kwa macho yako yenye huruma Nchi yetu Tanzania na Watanzania wote. Tunakuomba kwa mateso ya wateule wako walio mstari wa mbele wa mapambano ya ukombozi wa kweli wa Nchi...
  11. GENTAMYCINE

    Polepole una uhakika ulijipanga na Karata zako nazo ulizipanga vizuri dhidi ya 'Muhuni' mwenye Nguvu na Taarifa za kila Kitu?

    Ngoja nijiandae Kusikitika tu kuanzia leo!!!!!
  12. M

    Utukuzwe Mungu mkuu na Mungu mwenye nguvu

    Hapa tulipofikia katika Nchi hii, tunaomba Mungu mkuu na Mungu mwenye nguvu, utume jeshi la malaika zako kuja kuikomboa Nchi hii kutoka kwenye mikono DHALIMU. Amina.
  13. Y

    Naombeni mawazo juu ya kazi yenye kutumia mtaji wa nguvu na akili

    Habari zenu wanajamii. Penye wengi pana mengi, Naombeni mnisaidie mawazo au ushauri, nina degree (I graduated last year). Nimepambana kwenye ajira ila naona wakati wangu bado japo sija give up sichoki kuapply. Kwa hiyo nkaona its better kuendelea na Plan B, Sasa hapa kuna biashara nmeifanyia...
  14. FK21

    Jimbo la Kwimba uyu dogo nguvu anatoa wapi?

    Amekuwa akiletewa Zengwe na wenzake wagombea kuwa anamwaga sana pesa (ruswa) Kiasi cha kukoswa koswa kukamatwa mara kadhaa. Je uyu bwana mdogo COSMAS BULALA ni nani na pesa ya takrima kwa wajumbe anaitoa wapi?
  15. Meneja Wa Makampuni

    Hizi ndizo nguvu na uwezo wa Ajabu aliokua nao Adam baada tu kuumbwa

    NGUVU NA UWEZO WA AJABU WA ADAMU Adamu, akiwa kiumbe wa kwanza kabisa kuumbwa na Mungu, alipewa mamlaka makubwa na uwezo wa kipekee juu ya viumbe wote wa duniani. Tofauti na wanadamu wa leo, Adamu hakuwa na hofu wala upungufu wa nguvu. Biblia inasema: “Kisha Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa...
  16. F

    Nguvu ya Umoja

    Hapo zamani za kale, katika msitu mdogo uliokuwa umejaa matundu ya panya na majani mabichi, aliishi paka mmoja mjanja na mwenye hila nyingi. Paka huyu alijulikana kama Bwana Koma, na alikuwa tishio kubwa kwa panya wote wa msituni. Kila alipohisi njaa, alijificha kimya kimya na kuwinda panya...
  17. Dennis Robert Shughuru

    Wanachofanya NASA ni jambo la kijinga sana na linatakiwa kupingwa kwa nguvu zote

    Ni ukweli usiopingika NASA wamefanya mambo mengi sana mazuri ila hili la kutaka kutengeneza mazingira ya MARS hapa duniani na kuwaweka astronauts ili wazoee mazingira yake kwa lengo la kuja-kuwapeleka MARS naamini ni moja ya jambo la kijinga sana na kutaka kutumia shortcut kwenye mambo ambayo...
  18. and 998 others

    Nguvu ya Kamati Kuu inazidi Mahakama ya Rufaa

    Pamoja na Kura za Mchongo za Wajumbe. Kamati Kuu ndio mwamuzi wa Mwisho. Na hakuna kitu mtafanya.
  19. ELI COHEN

    Kweli nimekubali "SEX SELLS"

    Matangazo yenye taswira za ngono au binti kujiweka kuvutia matamanio ya ngono lazima yaruke na akili za watu, kuweka attention hapo na hata kuishia kununua bidhaa ambayo imetangazwa. Mara nyingine inatumika kama propaganda ya mamlaka ili kuwapunguzia scrutiny, ili kuwatoa watu katika jambo...
  20. Damaso

    Vanguard na BlackRock: Utajiri usioonekana na nguvu kuu ya Kiuchumi Duniani

    Katika karne hii ya 21, vita vya kiuchumi havipigwi tena kwa silaha wala bunduki, bali kwa mitaji, hisa, na ushawishi wa kifedha. Katika anga hiyo, kuna mapacha mawili waliojitokeza kwa nguvu ya ajabu: Vanguard Group na BlackRock Inc. Haya si makampuni ya kawaida – ni taasisi za usimamizi wa...
Back
Top Bottom