ndugu zangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Ndugu zangu watanzania tuibadilishe hii katiba. Yaani Rais alitaka kuchoma shamba la mikorosho halafu hafanywi chochote?

    CCM msijione mko salama sana na hii katiba. Hamuijui kesho yenu. Yaani Askofu amesema kuwa aliishi kama Digidigi nchini kwake na kunusurika kuuawa mara tatu malipo yake inakuwa Ni kumhoji? Aliyesababisha hayo haguswi?! Zitto amesema mashamba yake ya korosho yalitaka kuchomwa moto na jiwe...
  2. RWANTANG

    Mgeni miye naomba mnipokee

    Habari wana jamiiforums. Mgeni miye naomba mnipokee kwa mikono miwili
  3. 4

    Kama Mungu kanigusa,nami ngoja nishiriki na ndugu zangu wote wa jamii forum

    WATU wa Mungu jf niwasalimie kila mtu kwa imani yake Bila jali mitazamo yetu tofauti ila ni imani Yangu sie ni Ndugu tu, Usiku wa kuamkia leo nimeguswa na yule ajuaye nini makusudi yake kunifanya niwe hai leo, na nini kusudio lake kunileta duniani ,nami ni vyema share nanyi baraka hizi Ni...
  4. Cathy Diwani

    Heart beat disorder inanimaliza, naombeni msaada ndugu zangu

    Nilipata tatizo la panick attacks na anxiety disorder kiasi cha miaka mitatu iliyopita hali iliyopelekea kuwa na mapigo ya moyo kwenda kasi, kuruka na moyo kupiga kwa nguvu kwa baadhi ya nyakati. Nilifanya vipimo vya moyo (ultra sound, ECO, na AKG lakini moyo ulikuwa normal kabisa, sikuonekana...
  5. K

    Ombi: Trafiki wabuni tochi kwa ajili ya kudhibiti bodaboda

    Kama mliweza za magari nadhani hata bodaboda mtaweza. Hizo spidi zao kwakweli ni za kufa mtu!
  6. J

    Wanaume tupendane, tusiharibiane ndoa

    Leo naomba niongee na wanaume wenzangu. Kwanini sisi wanaume hatupendani? Tunawalaumu wanawake kuwa hawapendani ilihali na sisi pia hatupendani. Nitaeleza kwanini nasema hivi. Unakuta mtu kwa makusudi anafahamu kuwa huyu mwanamke ni mke wa mtu. Mwanaume mwenzangu kamtolea mahari, kajipiga...
  7. K

    Naweza kuendelea kutumia akaunti ya Benki ya CRDB niliyositisha matumizi yake kwa miaka minne?

    Nina Account yangu sijaitumia sasa huu mwaka wa nne. Tafadhali, nifanyeje ili nianze kuitumia?
  8. 100 others

    Ndugu zangu kuna nini kinaendelea?

    Kwa kawaida nikiingia google huwa naweza kujua nini kinatrend Tanzania kwa sababu ya ile algorithm yao ya google autocomplete , nilikuwa nataka kusoma habari za raisi wetu lakini sijaelewa kipi kinachoendelea, hivi nini kinaendelea?
  9. DALA

    Je, nimekosea kuwapotezea baadhi ya ndugu zangu? Naomba ushauri tafadhali

    Nawasalimu nyote! Moja kwa moja kwenye mada, historia yangu ina changamoto nyingi. Naamini kila mmoja ana changamoto yake. Kwa kifupi ni kwamba nimezaliwa kwenye familia ya wake wawili. Mama yangu ni mke wa pili kwa Mzee. Aliolewa na Mzee baada ya mamkubwa kufariki miaka ya sabini. Nikiwa...
Back
Top Bottom