ndugai

  1. evangelical

    Kumbe Marehemu Ndugai Alikuwa na Wake Wawili?

    Kuna mama amejitambulisha yeye ndiye mke halali wa marehemu ndugai tena walifunga ndoa ya kanisani. Anaitwa Stella Mmasi ,halafu kuna Dr fatma Mganga Halafu moderators acheni dictatorship ya kuondoaondoa nyuzi zangu ================= Stella Mmasy, mke wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Simbachawene: Uamuzi kujiuzulu kwa Ndugai ulitoa fundisho kwamba kiongozi unapojiuzulu kwa maslahi ya Umma sio udhaifu bali ni kujenga heshima

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene amesema uamuzi wa Ndugai kujiuzulu Uspika wa Bunge mwaka 2022 iliweka heshima na ushujaa wa pekee katika siasa za Kiafrika Simbachawene ametoa kauli hiyo alipofika kuhani msiba nyumbani kwa...
  3. SSH2025_2030

    Peter Msechu hapoi, haboi-amlilia Ndugai

    King of Condolences -Peter Msechu tayari kashafyatua wimbo wa maombolezo wa Mheshimiwa Spika Mstaafu DrJob Ndugai. Soma Pia: Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia
  4. britanicca

    Anna Tibaijuka: Ndugai aliniambia kwamba suala la Lissu ni “Maelekezo”

    Spika Ndugai. Tunaokufahamu tunakulilia kwa WEMA WAKO. RIP. Familia. Poleni. Suala la Lissu kufukuzwa Bungeni liliniuma sana. Jioni nikamfuata Spika Ndugai nyumbani kwake Kisasa kumuuliza kulikoni? Mwenzetu wote tunajua yaliyompata?. Utasemaje hujui alipo?Spika akanieleza kwa utulivu...
  5. Erythrocyte

    Dodoma: Serikali yakiri Watu kushangilia Kifo cha Ndugai, ila yasema itawaeleza vijana kwamba hilo si jambo zuri

    Hivi ndivyo alivyoeleza Mkuu wa Wilaya ya Kongwa. Zaidi huyu hapa Swali letu ni hili, unadhani kwanini kifo cha Ndugai kimeshangiliwa badala ya kuwa Huzuni kama Marehemu wengine wanapofariki akiwemo Maalim Seif na Ally Kibao? ====================== Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Saimon Mayeka...
  6. J

    Kumbukumbu alizoacha hayati Ndugai ni lile Soko la Ndugai na Mtaa wa Salasala kwa Ndugai

    Kwa haraka hizi ndio alama za kumkumbuka hayati Job Ndugai Pale Salasala Ndugai na Mbowe mwanajeshi ndio walikuwa Watu maarufu zaidi Na Dodoma Jiji kuna Soko ambalo Shujaa Magufuli alilibatiza kuwa Solo la Ndugai Rip Job Ndugai
  7. Stuxnet

    Walioonja shubiri ya maamuzi mabaya ya Hayati Ndugai, kama una clip pandisha hapa

    Siyo nia mbaya bali kwa kuwakumbusha wanadamu kuwa "tuishi maisha humble" kwa kuwa hatujui siku wala saa ya kutwaliwa. Tuwataje waliopitia maamuzi mabovu ya Job NDUGAI alipokuwa Spika wa Bunge;: 1. Chilongani alipigwa fimbo akazimia kwenye kura za maoni za CCM mwaka 2015 2. John Mnyika...
  8. Carlos The Jackal

    Dkt. Bashiru, usomapo andiko hili mara moja hapo Msibani kwa Ndugai, chukua hatua mara moja za kulinda uhai wako

    Mzee, wewe ni moja ya watu muhimu sana waliobakia katika taifa hili tunapozungumzia suala la uzalendo. Nimekuona hapo msibani kwa Ndugai, nashindwa kukutumia ujumbe wa SMS kupitia simu yako. Jambo unalotakiwa kulizingatia sana sana: wanamtandao wamemtafuta Ndugai ili kuwapata wengine, kama...
  9. Knock life

    Ndugai alikaa miaka 25 Bungeni ila barabara za Jimboni kwake zilimshinda

    Kiufupi Ndugai hajaacha Legacy yoyote . Miaka 25 Bungeni , miaka saba Kama Speaker wa Bunge Ila hakuna alichoacha kwao Kongwa . TAIFA halina cha kujivunia . Naipa pole familia yake. Pia soma >> TANZIA - Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia
  10. P

    Nalia na wanasiasa na watendaji serikalini: Kwa heri Ndugai

    Kila nikiangalia ni kwa kiasi gani hii nchi ikebarikiwa rasilimali ila wananchi wanaishi maisha duni na ya dhiki, moyo unauma. Ila najua shida zote tunazopitia wananchi ni zakutengenezwa na kikundi cha watu wachache wasiokuwa na huruma hata punje. Watu hawa WANATUFANYIA ROHO MBAYA UTADHANI...
  11. L

    Rais Samia asikitishwa sana na Kifo Cha Ndugai. Aomba Watanzania kumuombea kwa Mungu

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amepokea kwa masikitiko Makubwa sana , uchungu mkubwa sana na huzuni kubwa sana juu ya taarifa za kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge letu Tukufu Mheshimiwa Jobu Yuston...
  12. Damaso

    Vifo vya Utata: Pumzika Job Yustino Ndugai

    “Alikuwa na afya njema na tulipata naye chakula cha mchana. Alikuwa mcheshi sana. Siku moja tu akapoteza fahamu, wiki moja baadaye – baada ya kumpeleka hospitali akawa marehemu.” Mnamo tarehe 12 Aprili 1984, taifa la Tanzania liligubikwa na majonzi makubwa kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri...
  13. R

    Utabiri wa Godbless Lema juu ya Ndugai

  14. Tanzaniavate

    Taarifa ya Kifo cha Job Ndugai: Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania Afariki Dunia

    Taarifa ya Kifo cha Job Ndugai: Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania Afariki Dunia “Uongozi ni wito wa kutumikia watu — si nafasi ya kujitukuza.” Maisha ya Job Ndugai kwa Ufupi Jina kamili: Job Yustino Ndugai Tarehe ya kuzaliwa: Januari 22, 1960 Eneo alilotumikia: Mbunge wa Jimbo la...
  15. S

    Swali: Mbona taarifa ya kifo cha Ndugai iko kimya kuhusu chanzo cha kifo chake?

    Hii inawezekana vipi kwa mtu aliekuwa na hadhi ya Uspika wa Bunge? 1. Kafia nyumbani? 2.Kafia hospitalii? 3. Kafariki ghafla?
  16. DuaZaMama

    GE2025 Ndugai apitishwa na wajumbe ubunge Jimbo la Kongwa Dodoma

    Spika wa zamani wa bunge la Tanzania job ndugai amepitishwa na wajumbe kuwa Mgombea ubunge CCM jimbo la Kongwa kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika October 29, 2025
  17. Fanfa

    Ndugai: Ndugu wajumbe nichagueni mimi kwasababu ni mke wenu mkubwa

    Katika kampeni zake za kuomba kura kwa wajumbe Ndugai kasikika akisema yeye ni mke mkubwa. Swali ambalo najiuliza bila kupata majibu. Je, mme wake ni nani mwenye wake wengi na kwamba yeye anajivunia ndo mke wa kwanza? Naomba ufafanuzi kwa hili jambo.
  18. mdukuzi

    Job Ndugai amesahau nini bungenj,waafrika hatuna akili

    Ulikuwa spika,umeshaandaliwa mafao yako ya mstaafu. Pumzika kwa heshima hutaki bado unataka kurudi mjengoni Umesahau nini huko Mtu mwenyewe mgonjwa na mfumo haukutaki tena Shame on you
  19. Ileje

    Job Ndugai: Mimi ndiye mke wenu mkubwa

    Ndugai amwaga radhi katika harakati za kusaka ubunge!
  20. DuaZaMama

    GE2025 Wananchi Kongwa wameendelea kumbana aliyewahi kuwa spika Job Ndugai

    Wananchi wa jimbo la Kongwa mkoani dodoma wameendelea kumbada kwa maswali mazito, Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai, ambaye ni Mtia Nia wa Ubunge jimbo la Kongwa mkoani Dodoma akijinadi mbele ya Wajumbe kuomba kura. Chanzo: Jambo Tv
Back
Top Bottom