MTOTO NDANI YA GIZA JEUSI.
Mimi ndio taifa la kesho kweli kwa haya uliyonitendea?
Nikifiwa na wazazi wangu sina amani tena ya kesho, wazazi wakinipeleka shule za hosteli nikiwa bado mdogo sina raha kwa vitendo vya ulawiti na ubakaji ninavyofanyiwa na kaka zangu, nikiwa nyumbani na babu yangu...