nbc

The National Broadcasting Company (NBC) is an American English-language commercial broadcast television and radio network owned by Comcast. The network is headquartered at 30 Rockefeller Plaza in New York City, with additional major offices near Los Angeles (at 10 Universal City Plaza), and Chicago (at the NBC Tower). NBC is one of the Big Three television networks, and is sometimes referred to as the "Peacock Network", in reference to its stylized peacock logo, introduced in 1956 to promote the company's innovations in early color broadcasting; it became the network's official emblem in 1979.
Founded in 1926 by the Radio Corporation of America (RCA), NBC is the oldest major broadcast network in the United States. At that time, the parent company of RCA was General Electric (GE). In 1932, GE was forced to sell RCA and NBC as a result of antitrust charges. In 1986, control of NBC passed back to General Electric (GE) through its $6.4 billion purchase of RCA. GE immediately began to liquidate RCA's various divisions, but retained NBC. After the acquisition by GE, Bob Wright became chief executive officer of NBC; he would remain in that position until his retirement in 2007, when he was succeeded by Jeff Zucker.
In 2003, French media company Vivendi merged its entertainment assets with GE, forming NBC Universal. Comcast purchased a controlling interest in the company in 2011, and acquired General Electric's remaining stake in 2013. Following the Comcast merger, Zucker left NBCUniversal and was replaced as CEO by Comcast executive Steve Burke.
NBC has thirteen owned-and-operated stations and nearly 200 affiliates throughout the United States and its territories, some of which are also available in Canada and/or Mexico via pay-television providers or in border areas over the air; NBC also maintains brand licensing agreements for international channels in South Korea and Germany.

View More On Wikipedia.org
  1. Mtini

    JamiiForums Tanzania Vinara wa kupachika mabao ligi kuu ya NBC hadi leo tarehe 27.10.23

    1. Aziz K- 6 2. Max - 5 3. Baleke- 5
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wadau wengi wa Mpira wanasema leo hawatopoteza muda wao kutazama mechi ya Wakuja?

    Binafsi kama GENTAMYCINE sitoiangalia kwakuwa tayari Matokeo yake ninayo, ambapo Wakuja watafungwa Goli 3 au 4 au 5 na hata 6 kama wakilegea kwa Spray ya vyumbani na kwa Muamala uliofanyika kwa baadhi ya wachezaji iliyopitia kwa Mchezaji aliyeondolewa Timu hiyo na kwenda kwa Wakuja FC kutokana...
  3. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Tukiwarudisha akina Makonda, Sabaya, na Happy chamani siasa inakwenda kuwa tamu kuliko ligi ya NBC

    Kuwarejesha akina Makonda, Sabaya na Happy kwenye chama cha CCM kunaweza kubadilisha mwelekeo wa siasa nchini. Historia inatufundisha mengi kuhusu nguvu ya umoja katika kufanikisha malengo makubwa. Wakati mwingine, inachukua uamuzi wa busara na mageuzi ya kimkakati kuimarisha msimamo wa chama...
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kweli Dunia haiko Fair yaani Mwenzako anayejua anacheza AFL na asiyejua anacheza NBC Maporini Mbagala

    Inauma sana Kiukweli yaani Wenzako wakiwa Wanaongozwa na Ving'ora kwenda Estadio Du Lupaso Wengine wanakatiza tu Mitaani, Majarubani huku Wakikanyaga Nyanya za Watu, wakigonga Makopo ya Mkaa na kupigia Kelele Wakazi wakiitafuta Mbande Mbagala Kucheza na Waliofeli Wenzao. ANGALIZO Ukijijua tu...
  5. Kilimbatz

    JamiiForums Tanzania Beki wa kulia kisiki Kouassi Yao Attohoula aongoza kwa assists katika mechi tano za NBC PL zilizochezwa mpaka sasa

    Beki huyu kisiki ndiyo litmus paper ya nini na vipi beki wa kulia anavyotakiwa acheze Anakaba,ana dribble,anafanya interceptions za mashambulizi ya wapinzani,anashuka na kupanda kirahisi kwenye flank yake bila kumhatarisha kipa wake. Yao Yao ndo SI Unit ya beki wa kulia aweje...
  6. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Yanga sc na Kmc watauana kugombea nafasi ya tatu Nbc premier league.

    Kama msmaimo unavyoonekana kumeibika mapigano makali kati ya Kmc na yanga kugombania nafasi ya tatu.
  7. uran

    JamiiForums Tanzania FT: Singida Fountain Gate 1 - 2 Simba SC | NBC Premier League | CCM Liti Singida | Oktoba 8, 2023

    Match Day 📅 October 8, 2023. ⚽ NBC Premier League Singida Fountain Gate vs Simba Sc 🏟️ CCM Liti, Singida. ⏰ 4:00Pm. Haya, kumekucha vyema. Baada ya michezo ya jana ya ligi kuu Tanzania Bara kupigwa, Tukishuhudia Yanga kutoa kipigo kwa Geita Gold cha 3-0 Huku Ihefu akizamishwa na KMC kwa 1 -...
  8. uran

    JamiiForums Tanzania Coastal Union 0 - 1 Azam SC| NBC Premier League | Mkwakwani Stadium | 06.10.2023

    Haya!! Baada ya mjadala mzito wa Makundi, Turudi kwenye ligi yetu pendwa, inayojizolea mashabiki wengi kila kukicha. Game Day. 06.10.2023 FT: Tabora FC 2 - 1 Dodoma Jiji. Next Match, ni mechi ya kisasi. Coastal Union Vs Azam Muda ni saa Moja jioni. Tukutane Saa 1:00 Azam.
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mzunguko wa pili wa NBC Premier League walipokaa kileleni walitamba mno mbona sasa mzunguko wa nne wako kimya?

    Tafadhali naomba mwenye Jedwali la Msimamo wa Ligi Kuu yetu ya NBC aniwekee hapa tafadhali ili tujikumbushe na tusisahau au tusijisahaulishe kwa Makusudi.
  10. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Msimamo wa NBC: Timu lako lipo nafasi gani?

    Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
  11. uran

    JamiiForums Tanzania FT: Tanzania Prisons SC 1-3 Simba SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | October 5, 2023

    Kumekucha tena, Kivumbi leo. Uwanja wa Sokoine Mbeya. Simba ya Dar es Salaam itaumana na Tanzania Prison ya Mbeya. Muda ni Saa 10 Jioni kwa Saa za Afrika Mashariki. Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Tanzania Prisons, Oktoba 5, 2023 Updates. Mchezo umenza 12' Tanzania Prisons Wanaongoza...
  12. Mad Max

    JamiiForums Tanzania FT: NBC Premier League: Kagera Sugar 1 - 1 Namungo FC | Kaitaba Stadium

    Kuanzia saa 1 jioni, hawa wanapambana.
  13. uran

    JamiiForums Tanzania FT: NBC Premier Ligi | Dodoma Jiji 0 - 0 Azam FC Jamhuri Stadium | 03/10/2023

    Game On Dakika ya 23. Dodoma Jiji 0 - 0 Azam
  14. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania NBC Bank, what is this?

    Sijui ni nani tu huwa anawaandikia hayo maelezo! Whoever that person is, he or she ought to get a pay cut. The grammatical sloppiness in the above screen grab is blasphemous. “After you have been created”…….seriously NBC? Fukumean by that? Improper use of articles. How does such a text...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Baleke Ndiye Mfungaji Hatari zaidi Kwa Sasa NBC League!

    Baada ya Mechi hizi za raundi ya tatu za Ligi ya NBC. Imejidhihirisha Jean Othos Baleke ndiye mchezaji Hatari Zaidi kwenye safu ya Ushambuliaji Kwa Sasa Nchini Tanzania. Sio kwamba wengine hawapo, Ila Yeye ndiye Kiumbe Katili zaidi ndani ya 18 akiwa na mpira ukilinganisha na Wengine kwenye...
  16. Tembosa

    JamiiForums Tanzania FT: Azam FC 2 - 1 Singida Fountain | NBC Premier League | Azam Complex | 21.09.2023

    Azam Football Club vs Singida Fountain Gate START : 1900 2ND :Azam FC 1-1 Singida FG 2nd Half.
  17. Suley2019

    JamiiForums Tanzania FT: Simba 3-0 Coastal Union | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 21.09.2023

    Leo saa 10:00 jioni Simba SC itakuwa kibaruani kucheza dhidi ya Coastal Union katika dimba la Uhuru Dar es Salaam. Ni mchezo wa raundi ya tatu ya NBC Premier League ambapo kila timu inahitaji alama tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi. --- Kikosi cha Simba kinachoanza...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Benki ipi nzuri kukopa kati ya Absa, NBC, NMB, na CRDB?

    ipo hivi mimi ni mwalimu, mfanyabishara na mkulima , mimi ni mkopaji mzuri sana , nilikuwa na mkopo kupitia salary nilikopa 2019 NMB, nimekuwa na mkopo wa biashara nimekopa CRDB, kwa sasa nimemaliza deni nadaiwa na bodi tu ya mikopo, nina uhitaji tena wa pesa kama milioni mia moja tu. Nipeni...
  19. Forgotten

    JamiiForums Tanzania Hii ni NBC Amateur League

    Habari wana-JF. Mimi ni mpenzi mkubwa na mfuatiliaji wa soka ila ligi ya Tanzania ilinishinda kwa namna inavyoendeshwa kishkaji. No professionalism kama wanavyojinadi kwa kusaini mikataba kwa mbwembwe. Ligi ya bongo sifuatilii maana sina hata timu ila leo nineona habari kuwa NBC wameongeza...
  20. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Max Nzengeli anaweza kuwa mchezaji mkongwe kuliko wote ligi ya NBC 2023-24

    Katika uchunguzi wangu WA AWALI nimeanza kupata mashaka na umri sahihi wa huyu "Polepole" wa Yanga, Maxi Nzengeli. Kuna vitu kadhaa nimevichunguza vinavyonipa mashaka na umri wake sahihi. Nikiangalia mitandaoni wanasema huyu ni "mtoto" wa 2000, yaani eti ana miaka 23. Kuna watu baada ya game...
Back
Top Bottom