uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 7,583
- 10,819
Haya!!
Baada ya mjadala mzito wa Makundi,
Turudi kwenye ligi yetu pendwa, inayojizolea mashabiki wengi kila kukicha.
Game Day. 06.10.2023
FT: Tabora FC 2 - 1 Dodoma Jiji.
Next Match, ni mechi ya kisasi.
Coastal Union Vs Azam
Muda ni saa Moja jioni.
Tukutane Saa 1:00
Azam.
Baada ya mjadala mzito wa Makundi,
Turudi kwenye ligi yetu pendwa, inayojizolea mashabiki wengi kila kukicha.
Game Day. 06.10.2023
FT: Tabora FC 2 - 1 Dodoma Jiji.
Next Match, ni mechi ya kisasi.
Coastal Union Vs Azam
Muda ni saa Moja jioni.
Tukutane Saa 1:00
Azam.