The Premier League on NBC and Premier League on NBCSN is the blanket title for broadcasts of the Premier League by the networks of NBC Sports. NBC acquired rights to the Premier League in 2013, and reached a six-year extension in 2015.
Patashika ya ligi kuu kuendelea leo, kwa kukutanisha wekundu wa Msimbazi dhidi ya wazee wa Mapigo na Mwendo baada ya futari. Muda ni saa mbili na robo usiku, Azam complex
Kikosi
Game ishaanza dakika ya 18 bado bila bila
Yellow card Michael Masinda kamfanyia Saido faulo, game inaendelea...
🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC 🆚 Geita Gold FC
📆 14.03.2024
🏟 Azam Complex
🕖 02:15 Usiku
Kikosi kinachoanza dhidi ya Geita Gold FC
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Aziz k anachezewa madhambi nje ya 18
Dakika ya 7
Yanga SC wanapata kona...
Muda ni Saa 2:15 Usiku.
Kikosi cha Simba Kinachoanza.
Kikosi cha Singida FG Kinachoanza
#nguvumoja#.
Updates...
Dakika ya 5'
Goooooal kupitia kwa Saidoo baada ya kipa kuutema mpira wa Chama.
Dakika ya 8'
Penati wanapata Simba.
Anaipiga Saidoo
Goaaaaaaaaalllll
2-0.
Dakika ya 34'
Fredddd...
🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC🆚Ihefu FC
📆 11.03.2024
🏟 Azam Complex
🕖 12:00 Jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ihefu SC
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Yanga SC 0-0 Ihefu SC
Dakika ya 10
GOAAAAAAL Pacomeeeee
Dakika ya 15
Yanga SC 1-0 Ihefu SC
Dakika ya 19
Yanga SC wanakosa...
Leo 09.03.2024
Muda wa Saa 12 Jioni.
Coastal Union ya Tanga, Inaikaribisha Simba SC ya Dar es salaam katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara.
Simba huu ni mchezo wake wa 17, ikiwa na Alama 36. Nafasi ya Tatu(03) katika msimamo.
Coastal Union huu ni mchezo wake wa 20, Alama 27, Nafasi ya Nne...
Kikosi Cha Simba Kinachoanza Leo.
Kikosi Cha Tanzania Prisons Kilichoanza leo.
Updates
Dakika ya 45+3
Tanzania Prisons wanapata Goli kipitia kwa Samson Mbangula.
HT
Simba 0-1 Tz Prisons.
Kipindi cha Pili Simba wanafanya Mabadiliko.
Mzamiru Out
Saido Inn
Kibu D Out
Chasambi Inn
Freddy...
NBCPremierLeague
️ KMC SC Vs Yanga SC
17.02.2024
Jamhuri Morogoro
10:00 jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya KMC FC
Mpira umeanza
dakika ya 1
Mudathir anaipatia Yanga SC goli la kwanza
Goli la mapema zaidi, limefungwa na Mudathir Yahya akiitanguliza Yanga
KMC 0-1 Yanga
Dakika ya 10...
Match Day!
JKT Tanzania, Wanaialika Simba SC leo kwenye uwanja wa Mej. General
Isamuhyo, -Mbweni Dar es Salaam.
Mechi itachezwa Majira ya Saa 10:00 Jioni.
Jkt wanaingia kwenye huu mchezo wa kukamilisha Mzunguko wa kwanza wakiwa na Points 16. Nafasi ya 12. Wameshinda Michezo 4, Wametoka Sare...
Match Day....
#nguvumoja#
Kikosi Cha Simba Kinachoanza.
Kikosi cha Geita Kinachoanza.
Updates...
Mpira Unaendelea
06' Simba wanafanya mashambulizi yakushtukiza kwenye lango la Geita Gold
08' Simba wanapata faulo karibu kabisa na lango la Geita.
Inapigwa inakuwa goli kick
15' Simba...
Match Day!
Mchezo wa 13 kwa Simba akiwa na Alama 29 nafasi 3.
Azam wao wako nafasi ya 2 wakiwa na Alama 31.
Simba alipoteza mara mbili Mfululizo kwa Azam Fc.
Hii ni Mechi ya kisasi.
All the Best Mnyama.
Kikosi cha Simba Kinachoanza.
Kikosi cha Azam Kinachoanza
Updates...
Timu...
Match Day.
Leo Simba anatupa karata yake kwenye mchezo wa 12 wakiwa na Points 26. Nafasi ya 3. Anayeongoza Ligi ana points 34.
Mpaka sasa Simba amepoteza Mchezo 1 Draw 2 na Ameshinda 8.
Wapinzani Wao Tabora wako nafasi ya 12 kwenye msimamo wakiwa na points 15.
Mchezo utafanyika Saa 10jioni...
⚽️ Young Africans SC Vs Dodoma Jiji
05.02.2024
🏟 Azam Complex
🕖 1:00 Usiku.
Mpira umeanza
Dakika ya 5
0-0
Dakika ya 9
Yanga SC wanapata Kona ya kwanza
Dakika ya 15
Bado ni 0-0
Dakika ya 20
Yanga SC wanakosa goli la wazi
Dakika ya 25
Pacome anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 27
Mchezaji wa...
All the Best Mnyama mkali.
Tukutane saa 10jioni kwa saa za Afrika Mashariki (EAT)
Simba ya Dar es Salaam itashuka Dimbani, Uwanja wa Ziwa Tanganyika kuwavaa wenyeji wao Mashujaa FC.
Simba kwenye msimamo wa Ligi yuko nafasi ya 3. Amecheza michezo 10.
Akiwa na Alama 23. Anayeongoza ligi Azam FC...
⚽️ Kagera Sugar Vs Young Africans SC
📆 02.02.2024
🏟 Kaitaba
🕖 10:00 Jioni
Mungu ibariki Yanga SC
Kikosi cha Yanga SC
Dakika ya 1
Kagera Sugar 0-0 Yanga.
Dakika ya 17
Kagera Sugar 0-0 Yanga.
Dakika ya 31
Kagera Sugar 0-0 Yanga.
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄⏱️| #NBCPremierLeague
Kagera Sugar 0-0 Young...
🔰 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 DAY🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Tabora United Vs Young Africans SC
📆 23.12.2023
🏟 Jamhuri, Dodoma
🕖 1:00 Usiku
Game yakufunga Mwaka hii.
All the Best Young African SC.
#Daimambelenyumamwiko#
Kikosi cha Yanga kinachoanza
Kikosi cha Tabora United Kinachoanza Mechi ya leo.
Mpira...
Leo Itapigwa mechi ya ligi kuu ya Mwisho kwa Mwaka huu kwa Upande wa Simba na KMC.
Muda ni Saa 10 Jioni.
Kila la heri mnyama.
Kikosi Cha KMC Kinachoanza
Kikosi cha Simba Kinachoanza
Nguvumoja.
Dakika ya 32'
KMC wanapata goli la Kwanza
Kupitia kwa Waziri.
Game On.
KMC 1 - 0 Simba
HT...
Naam majira ya saa 12:30 jioni ya Leo wananchi tutakuwa na jambo letu
Magoli mawili yaliyofungwa na Stephane Aziz Ki na mengine ya Kennedy Musonda na Mahlatse Makudubela ‘Skudu’ yameipa Yanga ishindi wa magoli 4-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Azam complex Jijini Dar es Salaam.
Yanga...
Match Day!
Simba SC Vs Namungo FC
⌚ 04:00pm
🏟️ Uhuru Stadium.
Namungo anakutana na mnyama aliyejeruhiwa.
Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Namungo
Kikosi cha Namungo Kinachoanza
All the Best Simba.
#Nguvumoja#
Mchezo umeanza
10' Simba wanaonekana kuwa na presha ya kutafuta matokeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.