kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,683
- 14,868
π° πππππ DAYπ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Tabora United Vs Young Africans SC
π 23.12.2023
π Jamhuri, Dodoma
π 1:00 Usiku
Game yakufunga Mwaka hii.
All the Best Young African SC.
#Daimambelenyumamwiko#
Kikosi cha Yanga kinachoanza
Kikosi cha Tabora United Kinachoanza Mechi ya leo.
Mpira Umeanza
Tabora ndio wameanza sasa.
Mpira umeanza kwa kasi kidogo.
Ibrahim Bacca anafanyiwa faulu
03'
Tabora wanarusha mpira unatoka tena.
Wanarusha Yanga.
05'
Yanga wanapiga kona yao haizai matunda.
Wakati huo Musonda anapiga free header lakini inatoka nje.
07'
Tabora United wanapata kona hapa.
Anapiga mpira unatolewa nje tena.
Inakuwa kona ya pili.
Musonda anaondoa hatari.
20'
Yanga wanapata faulu nje kidogo ya 18
Ameipiga Aziz K.
Imejaa ndani.
Ni goli.
Yanga wanapata goli lakuongoza hapa.
Mchezo unaendelea
26'
Tabora United 0 - 1 Yanga.
28'
Bikoko wa Tabora anapewa kadi ya Njano kwa kumchezea rafu Aziz K.
Inapigwa faulu nje kidogo ya 18.
Kipa anataoa inakuwa kona.
Inapigwa kona fupi haizai matunda.
33'
Tabora United wanamiliki mpira kidogo hapa.
Wanapata kona.
Inapigwa wananchi wanaondosha mpira kwenye eneo la hatari.
36'
Yanga wanapata faulu, nje kidogo ya 18.
Anapiga Aziz K.
Kipa anaitoa.
Inakuwa kona inapigwa haileti madhara.
Wakati huo huo Bacca anapewa kadi ya njano
45+2'
Tabora wanapata faulu nje kidogo ya 18.
Wakati huo Mchezaji wao yuko Chini anapatiwa matibabu.
Inapigwa faulu haileti madhara.
Half Time.
Tabora United 0 - 1 Yanga.
63'
Yanga wanafanya mabadiliko
Musonda Out
Mzize Inn.
Pacome Inn
Moloko Out
Full Time.
Tabora United 0 - 1 Yanga