nauza

  1. I

    INAUZWA Nauza RAM 8gb kwa bei chee

    Ram za 8gb zipo katika hali nzuri kabisa zenye spidi ya 12800u. Bei ni Tshs 80,000. Napatikana Sinza Dar es Salaam. Namba ya mawasiliano ni 0672037238
  2. khayraat

    INAUZWA Nauza Oven, karibuni sana

    Unakosaje Huduma bora na uhakika wahi sasa Von Hotpoint Cooker - Stainless Steel Price Tshs 650,000/= #Product Features . 3 Gas Burner and 1 Electric Cooker [emoji830]Electric oven and grill [emoji830]Push Button Ignition [emoji830]Mechanical Timer [emoji830]Thermostat [emoji830]Oven Lamp...
  3. Kakondele

    House4Sale Nyumba inauzwa Sumbawanga

    Nyumba inauzwa ipo Sumbawanga Izia mita 80 kutoka soko la sabasaba Ina vyumba vyumba vitatu kimoja ni master,sebule,dining room,jiko,store kwa nje ina chumba na sebule,vyoo vya nje,na vyumba vinne vya frame,maji na umeme vipo Bei ni Tzsh 35,000,000/=Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano...
  4. F

    INAUZWA Nauza Air Condition, brand new kwa bei nafuu, shilingi laki tano

    Habari wadau Nauza air condition mpya kabisa, sealed in box Bei ya kuuza ni laki tano fixed ( haipungui kiasi chochote) mimi nilinunua laki 7, risiti ipo Brand ni BRUHM Nilinunua kwa ajili ya kuifunga kwenye barber shop .. kwa sasa wazo la barber shop limeniondoka, nimeona niiiuze tu maana...
  5. M

    Nauza kioo cha monitor desk top 40,000

    Kioo ni kipya hakijatumika nilikinunua kwa ajili ya kufanyia shughuli fulani lakini nimebadili mipango. Simu 0672028920
  6. I

    INAUZWA Nauza Bajaji ipo kwenye hali nzuri kabisa kwa Tsh 2,200,000 tu

    Habari za leo wakuu, Nauza
  7. JOH CARLOS

    Phone4Sale Nauza simu aina ya Galaxy A5(2017)

    Haina tatizo lolote. Ina ukubwa wa 32GB Fingerprint ipo vizuri kabisa. Bei yake ni 145,000 Ipo Mabibo Dar es salaam. Mawasiliano: 0768048752
  8. L

    Car4Sale Nauza gari yangu Harrier Lexus

    PRICE UPDATED: 6,800,000 Model: Toyota HARRIER Lexus Registration Number: A.... Colour:Silver Engine: Petrol 2994cc VTI Year 1999 Seat Capacity 5 Music redio Full AC Full documents (File) Clean Seats Trans Automatic Imported from Japan Kama upo serious , Whatsapp number 0764111116
  9. monotheist

    Phone4Sale Nauza oppo A9 2020

    Ram 8gb ROM 128gb Betty 5000mAh Double line Chpset Snapdragon (11nm) Tsh 280,000 Inacrecks kidogo haina atizo lolote zaidi inapiga kazi freshi 0692402211
  10. ribussama

    Car4Sale Nauza Gari aina ya IST

    Habari wadau. Nina gari yangu aina ya IST naiuza. Ipo kwenye hari nzuri sana. Niliagiza ins kama week moja tu lakini nataka nibadilidhe gari nyingine. Bei ni milion 12.5 tu
  11. M

    Phone4Sale Nauza Tecno Camon X kwa 140,000/=

    SOLD
  12. M

    Nauza Tecno Camon X

    SOLD
  13. T

    INAUZWA Nauza Mtungi wa gas kwa sh 20000 tu

    Nauza Mtungi wa mihani gas kwa sh 20000 tu. Eneo Kibamba Mbezi mwisho Dar es Salaam. 0659130177.
  14. Aris Saolanica

    INAUZWA Nauza miche bora ya mchaichai

    Wakuu habari zenu, Nauza miche bora ya mchaichai kwa bei ya shilingi 1,000, kwa yeyote anayetaka naomba tuwasiliane kwa namba ifuatayo 0785100139. Nipo Dar es Salaam. Karibuni sana.
  15. Rion Jr

    Nauza bata, kuku na sungura nipo Chanika

    Habari za jioni wana jamvi kwa anaehitaji bata aina ya Muscovy (bata wa kawaida), kuku wa kienyeji na sungura Napatikana Chanika kwa Singa. Call 0746696878
  16. Magari ya Biashara

    House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

    Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283...
  17. Mr Geniuz Km

    Nauza laptop

    ~Husika na Somo tajwa Aina: DELL Model: 630 RAM: 3GB HDD: 80GB Display: 13inch USB PORT: 4 HDMI: 1 VGA: 1 JACK: 3.5mm Wireless: yes Na sifa nyinginezo kibao ' ~Price 250k ( 250,000 ) NB: Inafaa kwa matumizi yote ' ipo katika hali nzuri as New Na haina tatizo lolote Mawasiliano...
  18. Simbo Godwin

    Car4Sale Nauza Toyota IST No. CTC

    Model: Toyota IST Cc: 1490 Year: 2005 Full ac Location: Kinondoni (Dar) Price: 6,000,000 Contact: 0717599884 Gari ni nimeitumia mwenyewe, kwa atakayevutiwa karibu tuzungumze
  19. Gutapaka

    Nauza Notes za Microsoft Office

    Nauza notes za Microsoft word nimeelezea Kila kitu kwa picha hatua kwa hatua, Ni nzuri kwa watu wote wanaotaka kujifunza na waliojifunza. , Ufafanuzi Commands zote katika Lugha ya Kiswahili isipokuwa Majina ya tabs yamebaki kwa Kiingereza. Gharama Ni Tsh. 5000 piga simu 0685-513-806 ili...
  20. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA Nauza pikipiki iliyotumika

    Habari Jf. Nimeamua kusimama na hii biashara ya kuuza pikipiki used. Pikipiki zote ziko na document kamili. Unaweza fuatilia Police kwa kujiridhisha zaidi kuepuka usumbufu kwa baadae. Kuna san lg, fekon, boxer tvs Napatikana Dar es salaam. Mawasiliano yangu ni 0744033555 nitafute any time...
Back
Top Bottom