nauza

  1. T

    INAUZWA Nauza furniture

    Tumekuja na bidhaa bora na za bei rahisi tunapatikana tabata. Causal leser bench Kwa matumizi ya ofisini, chumbani, sebuleni, dinning. Bei 150,000 bila mito Mto mmoja 20,000 Zulia 15,000 0767 601018 Karibuni
  2. D

    INAUZWA Nauza kitanda niweze kujikimu

    Asanteni sana, nilipata msaada
  3. T

    Plot4Sale Nauza kiwanja ili nipate mtaji

    Wadau naombeni msaada wenu. Ninauza kiwanja changu ili niweze kupata Mtaji maana mambo yamenibana sana. Ijapokuwa niliplani kujenga nyumba ila nimekwama na hiyo ploti ndio Inaweza kuninyanyua. Kiwanja kimepimwa kina sqm 864 na kiko Gezaurole Kigamboni. Kiwanja kina hati hati safi isiyo na...
  4. hemed rasuli

    INAUZWA Nauza kabati za zipu za nguo na viatu

    Nauza makabati ya nguo na viatu ya zipu Ni imara na zinapendezesha nyumba Yapo ya rangi mbalimbali Wateja wa dar unaletewa buree Unafungiwa pia buree Kwa wateja wa mkoani tunatuma kupitia mabasi kwa gharama za mteja Milango 2 tsh 55,000 Milango 3 tsh 70,000 Milango 4 tsh 85,000 Mawasiliano...
  5. mitindo huru

    INAUZWA Computer CPU naiuza kwa bei nafuu

    Nauza CPU ya Computer kwa bei nafuu Ni Dell Vostro Ram 4 GB Hard Disk 800 GB Bei laki mbili (200,000/=) Ukinunua nakupa Keyboard na mouth bure Nipo DSM, Tabata Kinyerezi
  6. mitindo huru

    INAUZWA Nauza Printer HP kwa bei nafuu

    -
  7. hp4510

    Nauza Body la Alminium

    Wakuu salaam, Gari langu Mitsubishi Fuso nilinunua likiwa na body la Alminium so nimeamua kubadilisha na kuweka body imara zaid Nauza lile body la Alminium ambalo limekuja na gari. Mtu yoyote mwenye kuitaji aje DM tufanye biashara ya maelewano.
  8. Nsumba ntale tz

    Nauza vitu vyangu vya ndani

    Nimepata dharura nauza tv 55" samsung smart 1.2mil, radio sony soundbar 1000w 1mil na meza ya chakula viti sita laki 6 atakaechukua tv na redio nitamfanyia 2mil.. vyote bado ni vipya Vipo mwanza Mawasiliano 0765682453 Hiyo meza ni ya kioo kayikati ina viti sita bei laki 5
  9. Wu-Ma

    INAUZWA Nauza bidhaa mbalimbali

    Jamani habari wakuu, nauza bidhaa zifuatazo, naclear stock mana zimebaki pcs chache sana. Mikanda ya kupunguza tumbo Kwa wadada , @Tsh 15000 ..zimebaki pcs 7 Safari bags @Tsh 25000 Zipo pcs 4 Taulo za kike , ladies @Tsh 18000 pamoja na kilemba zimebak pcs 4 Capert manyoya heart...
  10. KakaKiiza

    House4Sale Nyumba hii inauzwa. Ipo Kiharaka kabla yakufika Chuo cha Jeshi Mbweni Mwisho

    Naomba kuwajulisha kuwa Nauza nyumba Ipo Kiharaka ukipita daraja la Bunju unapinda kulia ilipo kambi ya jeshi sasa kabla ya kufika Nyumba ipo hapo Serikali za mitaa. Ukubwa wa Nyumba ina vyumba 3 kimoja ni Master, Seating Room Public toilet Store Nje ina fremu mbili kama unataka kufanya...
  11. D

    Car4Sale Nauza IST yangu

    CC 1290 Year 2005 In Mint condition Full doc. file Bei 9.8m (maongezi yapo) Watsap 0715140001
  12. Isaack Newton

    Kabati la biashara la vioo nauza kwa laki moja

    Kabati zuri kabisa la kuuzia chipsi lina portion tatu na vioo safi naliuza kwa being ya laki moja tu. Limetumika wiki mbili tu. Nipo mbezi beach sala sala. Atakae hitaji anicheki 0679478758 au 0744069243. Karibuni.
  13. Website design

    INAUZWA Nauza Pad za kuchezea game

    PAD ZA KUCHEZEA GAME Zipo mbili zote nzima Nauza kwa zote = 20,000 Ukitaka moja ni 12,000 Zinapatikana ubungo - dsm 0677 818283
  14. N

    Nauza xbox one console

    Xbox one 500gb One controller Two cd For sale Bei 450k Nicheki 0629274880 or 0752527054 or 0716917896
  15. N

    INAUZWA Nauza camera panasonic gh5s

    Panasonic gh5s camera for best video quality. Uwezo Shoot 4k up to 60fps Dual native iso 400 and 1600 Support cinema 4k up 60fps Shoot 4k 10bit 4:2:2 internaly Assisting feature kamaFalse color for manual focusingWaveform HistogramBetter colour kuliko gh5 Ukitaka kupata more review check...
  16. Kranium

    INAUZWA Nauza HP LCD Widescreen Monitor

    HP LCD monitor Size: 47 cm (18.5 in) widescreen; diagonally measured With VGA and Power cables Price: 60,000/= Tshs Location: Sinza Mori near Lufungila Bus Stop Contact: 0752776793
  17. Uhuru24

    Phone4Sale Nauza Samsung Galaxy TAB S2

    Ipo katika hali nzuri kabisa Ram gb 3 Storage 32gb Simcard & memory card 250,000 Nipigie humu 0715 378899, napatikana Kariakoo
  18. C

    INAUZWA Nauza used alternator ya BMW E90 3-series

    Alternator aina ya Bosch 150A kwa BMW E90 3-series. Ni used lakini inafanya kazi vizuri. Bei laki 5. Wasiliana 0759970963
  19. I

    INAUZWA Nauza Smart Watch Brand New

    Kk
  20. I

    INAUZWA Nauza RAM 8gb kwa bei chee

    Ram za 8gb zipo katika hali nzuri kabisa zenye spidi ya 12800u. Bei ni Tshs 80,000. Napatikana Sinza Dar es Salaam. Namba ya mawasiliano ni 0672037238
Back
Top Bottom