nauza

  1. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza viwanja viwili, kimoja kipo Mkuranga Pwani na kingine kipo Madale Dar es Salaam

    Mkuranga: kiwanja square metre 908 kipo km 6 kutoka kongowe eneo lilishajengeka sana bei: 6 million Ramani yake hii hapa kiwanja namba 114
  2. Amina68

    JamiiForums Tanzania Nauza gari mtsubishi m4.5

    Aina shida yoyote ile,njoo tuyajenge
  3. B

    JamiiForums Tanzania Nauza kitabu Cha UJASUSI yanayoendelea kuhusu COVID 19

    Hello guys, Nauza kitabu hicho kimeandikwa kwa koswahili kabisa..,njoo inbox (Bei Ni tshs 5000 tu) ujipatie., Na weekend yako iwe mujarabu huku ukijikinga na COVID 19 Pata dondoo kidogo hapo SEHEMU YA KWANZA Taharuki kubwa ilitanda katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Nauza buti hizo brand CAT original bei elfu 70

    Boot safi na mpya label shingoni. Wahi sasa. Nipo Dar. Bei elfu 70. Changamkia. SOLD Shukrani mdau uliyekichukua. Pamoja sana.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza Tecno Phantom 8 Iko kwenye hali nzuri kama inavyoonekana

    Hi Wapendwa nauza simu aina ya Tecno Phantom 8 Specification zake RAM-6GB Internal memory 64GB MaH-3500 Iko kwenye good condition sijawahi ipeleka kwa fundi na haina tatizo lolote lile imetumiwa na mm mwenyewe Mwanamke, kama mnavyojua Wanawake hua tuko vizuri kwenye utunzaji. Camera: Camera...
  6. N

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza Biashara ya Hosting

    Kama Kichwa Cha habari Kinavyojieleza. Nina Biashara ya Hosting ambayo bado ni Changa, Nimeifanya Kwa Miaka miwili na Tayari. Ina wateja ambao wako Active 10, Na Wanalipia Kila mwaka (Wanalipia kuanzia 120,000 - 160,000/yr). Kutokana Na Kupata Kazi ambayo itanibana na Kushindwa kutoa support...
  7. Website Tanzania

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  8. T

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza furniture

    Tumekuja na bidhaa bora na za bei rahisi tunapatikana tabata. Causal leser bench Kwa matumizi ya ofisini, chumbani, sebuleni, dinning. Bei 150,000 bila mito Mto mmoja 20,000 Zulia 15,000 0767 601018 Karibuni
  9. D

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza kitanda niweze kujikimu

    Asanteni sana, nilipata msaada
  10. T

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza kiwanja ili nipate mtaji

    Wadau naombeni msaada wenu. Ninauza kiwanja changu ili niweze kupata Mtaji maana mambo yamenibana sana. Ijapokuwa niliplani kujenga nyumba ila nimekwama na hiyo ploti ndio Inaweza kuninyanyua. Kiwanja kimepimwa kina sqm 864 na kiko Gezaurole Kigamboni. Kiwanja kina hati hati safi isiyo na...
  11. hemed rasuli

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza kabati za zipu za nguo na viatu

    Nauza makabati ya nguo na viatu ya zipu Ni imara na zinapendezesha nyumba Yapo ya rangi mbalimbali Wateja wa dar unaletewa buree Unafungiwa pia buree Kwa wateja wa mkoani tunatuma kupitia mabasi kwa gharama za mteja Milango 2 tsh 55,000 Milango 3 tsh 70,000 Milango 4 tsh 85,000 Mawasiliano...
  12. mitindo huru

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Computer CPU naiuza kwa bei nafuu

    Nauza CPU ya Computer kwa bei nafuu Ni Dell Vostro Ram 4 GB Hard Disk 800 GB Bei laki mbili (200,000/=) Ukinunua nakupa Keyboard na mouth bure Nipo DSM, Tabata Kinyerezi
  13. mitindo huru

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza Printer HP kwa bei nafuu

    -
  14. hp4510

    JamiiForums Tanzania Nauza Body la Alminium

    Wakuu salaam, Gari langu Mitsubishi Fuso nilinunua likiwa na body la Alminium so nimeamua kubadilisha na kuweka body imara zaid Nauza lile body la Alminium ambalo limekuja na gari. Mtu yoyote mwenye kuitaji aje DM tufanye biashara ya maelewano.
  15. Nsumba ntale tz

    JamiiForums Tanzania Nauza vitu vyangu vya ndani

    Nimepata dharura nauza tv 55" samsung smart 1.2mil, radio sony soundbar 1000w 1mil na meza ya chakula viti sita laki 6 atakaechukua tv na redio nitamfanyia 2mil.. vyote bado ni vipya Vipo mwanza Mawasiliano 0765682453 Hiyo meza ni ya kioo kayikati ina viti sita bei laki 5
  16. Wu-Ma

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza bidhaa mbalimbali

    Jamani habari wakuu, nauza bidhaa zifuatazo, naclear stock mana zimebaki pcs chache sana. Mikanda ya kupunguza tumbo Kwa wadada , @Tsh 15000 ..zimebaki pcs 7 Safari bags @Tsh 25000 Zipo pcs 4 Taulo za kike , ladies @Tsh 18000 pamoja na kilemba zimebak pcs 4 Capert manyoya heart...
  17. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba hii inauzwa. Ipo Kiharaka kabla yakufika Chuo cha Jeshi Mbweni Mwisho

    Naomba kuwajulisha kuwa Nauza nyumba Ipo Kiharaka ukipita daraja la Bunju unapinda kulia ilipo kambi ya jeshi sasa kabla ya kufika Nyumba ipo hapo Serikali za mitaa. Ukubwa wa Nyumba ina vyumba 3 kimoja ni Master, Seating Room Public toilet Store Nje ina fremu mbili kama unataka kufanya...
  18. D

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza IST yangu

    CC 1290 Year 2005 In Mint condition Full doc. file Bei 9.8m (maongezi yapo) Watsap 0715140001
  19. Isaack Newton

    JamiiForums Tanzania Kabati la biashara la vioo nauza kwa laki moja

    Kabati zuri kabisa la kuuzia chipsi lina portion tatu na vioo safi naliuza kwa being ya laki moja tu. Limetumika wiki mbili tu. Nipo mbezi beach sala sala. Atakae hitaji anicheki 0679478758 au 0744069243. Karibuni.
  20. Website design

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza Pad za kuchezea game

    PAD ZA KUCHEZEA GAME Zipo mbili zote nzima Nauza kwa zote = 20,000 Ukitaka moja ni 12,000 Zinapatikana ubungo - dsm 0677 818283
Back
Top Bottom