nauza

  1. K

    JamiiForums Tanzania Nauza magazeti kutoka korea

    Habari wakuu nina tani 9 za magazeti kutoka korea nauza kwa kg1 ni 1800 location ni Mnazi Mmoja Dar es salaam namba ya simu 0769115998 kwa maelezo zaidi
  2. Chris wood

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza gauni zuri from Turkey bei ya kutupa only 50k

    Haya wale wadada wa mjini hilo hapo gauni zuri la mtoko/sherehe, Hili gauni ni mkataba Og naliuza kwa bei ya njaa only 50k limetengenezwa kwa material bora. Ziko pair 2 Mawasiliano 0654757823
  3. Merci

    JamiiForums Tanzania Nauza Kiwanja Mabwe Pande karibu na Mto Mpiji kina ukubwa wa Mita 25 kwa 20

    Nauza kiwanja chenye ukubwa wa mita 25 kwa 20 kilichopo Mabwe Pande karibu na mto Mpiji kwa Tsh 5M. Umeme upo tayari kiwanjani na pia Kiwanja hiki hakijapimwa. Nipigie 0736770052
  4. Website Tanzania

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nina shida: Nauza shamba langu heka 15 Bagamoyo bei ya kutupa

    Shamba lipo fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana. Lipo Fukayosi Bagamoyo - km 10 kutoka Bagamoyo road, shamba lina heka 15. Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote. Bei ni milioni 15 (15,000,000/=) tu Nauza lote...
  5. D

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nahama nauza vitu vya ndani

    Niko Dar es Salaam - Upanga Kabati la vyombo 180,000 Kabati la nguo 180,000 Sofa watu 7 - 400,000 Meza watu 4. call/sms 0752140000, 0787215011
  6. Msumbufu1953

    JamiiForums Tanzania Nauza Banda la biashara pamoja na bidhaa

    Ni banda la chuma ambalo lina ukubwa wa futi 8 kwa 6. Unaweza kuendelea kufanya biashara hapohapo au uhamishe, kwasasa ni duka/kibanda cha bidhaa za nyumbani pamoja na genge(meza za genge zipo) Mali zilipo ndani Mizani Bidhaa Kreti za soda Location: Ubungo Tanesco Bei 1.65mil WhatsApp/Call...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza gari yangu ruksa kuvunja pia

    TOYOTA KLUGER Gari ni yangu mwenyewe haina shida yoyote CC 2360 Millage 92,000km - Original Safari Leather Seat New tyres Sports reams 18.5m-inapungua call/Watsapp 0715140001
  8. Black Bolt

    JamiiForums Tanzania Nauza Dictionary Softcopy English-Kiswahili (A-Z)

    Nauza Dictionary Softcopy English-Kiswahili maneno (A-Z) Bei 4000 pia kuna Softcopy za notes za Formone *Biology *Geography *History
  9. ALPHA2012

    JamiiForums Tanzania Nauza vitabu vya General Studies

    Habari wana Jamvi? Nauza vitabu vya somo la General Studies (GS) linalofundishwa kwa Kidato cha 5 na 6. Kitabu ni cha mfumo wa "Review' yaani kina maswali 108 pamoja na majibu yake. Bei ni shs 10,000. Mimi napatikana Dar es salaam sehemu za Tegeta. Unaweza kuagiza kwa kunipigia simu namba 0744...
  10. ALPHA2012

    JamiiForums Tanzania Nauza Vitabu vya GS vya maswali na majibu

    Habari wana jamvi? Nauza vitabu vya somo la General Studies (GS) linalofundishwa kidato cha 5 na 6. Vitabu ni aina ya "Review" kwa maana vina maswali takriban 108 pamoja na majibu yake. Bei yake ni shs 10,000 kila kimoja. Niko Dar es salaam sehemu za Tegeta lakini kama uko mbali nitakutumia...
  11. Nyamayanguruwe

    JamiiForums Tanzania Nauza Watoto wa Nguruwe wa Kisasa na nyama

    Wapo Watoto 18 wa Nguruwe wa Kisasa wa Umri Kati ya Siku 30 - 60 Yaani umri wa Mwezi Mmoja - Miezi Miwili Kasoro. Wapo Majike 9 na Madume 9 Wote Wanauzwa Bei ya Mtoto mmoja wa Nguruwe wa Kisasa wa Umri wa Mwezi Mmoja ni Tshs. 80,000/= Tu Tuwasiliane +255738141339 Text, Call or Whatsapp...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza IST yangu

    Iko Dar full doc. cc 1290 full ac haina changamoto yoyote 0715140001 Bei 9m negotiable
  13. astalavista

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza taa ya Raum

    Ni forehead, upande wa kulia. Used nje ya nchi, nilinunua kuweka kwenye gari lakini mambo yamenibana nahitaji pesa sasa. Nilinunua 150,000/= Ilala, nitajie ofa yako niisikilize. Location DAR. CALL: 0687603307
  14. Tujisahihishe Tz

    JamiiForums Tanzania Nauza kin'amzi cha azam na dstv Mwanza

    Kama unahitaji visimbusi hivyo karibu. Bei kwa vyote viwili ni 230000 kwa aliyeko tayari tafadhari tuwasiliane
  15. RealEstate Agent

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    Mbwewe barabara ya Tanga kabla ya kufika mkata Mashamba kilomita Kilomita 1 Kutoka barabara kuu ya lami : 250,000 kwa heka Kilomita 3 Kutoka barabara kuu ya lami : 200,000 kwa heka Kilomita 10 Kutoka barabara kuu ya lami : 100,000 kwa heka MUHIMU : Unaweza kupata Kuanzia acre 10 Mpaka acre 500...
  16. concordile 101

    JamiiForums Tanzania Nauza maharage ya njano-Dar

    Nauza maharage ya njano, yapo Dar kwa bei ya 1650 kwa bei ya jumla. Ya yale gololi ndogo. Mawasiliano 0657561168
  17. econonist

    JamiiForums Tanzania Nauza Asali kwa jumla

    Habari wandugu. Napenda kuwataarifu ya kwamba nauza Asali kwa Bei ya jumla. Ninauza Hadi madumu hamsini ya Lita ishirini. kwa atakayehitaji tuwasiliane. Bei ya dumu moja la Lita ishirini ni shilingi laki moja themanini 180,000 Tanzanian shillings. Asali yetu ni original haijachujwa Wala...
  18. maficpgt

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza simu samsung s8 plain

    Bei ni 320,000/= 64gb|4gb RAM In a very Good condition ▪︎Doted (ina kidoti kidogo kwa juu) ▪︎Haina mchubuko wala mkwaruzo ▪︎Nakupa wire na earphone ▪︎Sehemu yoyote unayoitaka tunaeza fanyia biashara(Hata kituo cha polisi) Contacts: call/sms/whatsapp0654030252
  19. Tujisahihishe Tz

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza viwanja viwili Nkuhungu na Vikonje (Dodoma)

    Kiwanja cha kwanza kipo mnada mpya barabara ya Singida Road kina ukubwa wa 39*36 hiki kinataka milioni 22mil kimepimwa hati bado. ______ Update Njoo ulipie 15mil badala ya 22mil Picha yake Kiwanja cha pili kipo Vikonje baada ya kutoka Ihumwa barabara ya Chamwino kina ukubwa wa 40*40 hiki...
  20. D

    JamiiForums Tanzania Nauza nguruwe watoto na wakubwa kwa wanaohitaji wa kufuga

    Habari wakuu, Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana Mwanza, nauza nguruwe watoto na wakubwa kwa wanaohitaji nguruwe wa kufuga, mbegu bora kabisa. Karibuni sana 0719832015
Back
Top Bottom