Habari za jioni wana jamvi kwa anaehitaji bata aina ya Muscovy (bata wa kawaida), kuku wa kienyeji na sungura
Napatikana Chanika kwa Singa.
Call 0746696878
Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini
Ina vyumba vitatu kimoja master
Jiko, sebule, dinning na public toilet
Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000
Hati miliki mkononi
Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283...
apartment
beach
bei
biashara
buguruni
eneo
ghorofa
hai
hasara
inauzwa
kali
kariakoo
kibamba
kigamboni
kilimanjaro
kimara
kubwa
kutoka
lami
maana
maji
mbezi
mbezi beach
milioni
mita
nauza
nyumba
nyumba kali
nyumba ya kisasa
nzuri
tabata
uchukue
vyumba
~Husika na Somo tajwa
Aina: DELL
Model: 630
RAM: 3GB
HDD: 80GB
Display: 13inch
USB PORT: 4
HDMI: 1
VGA: 1
JACK: 3.5mm
Wireless: yes
Na sifa nyinginezo kibao '
~Price 250k ( 250,000 )
NB: Inafaa kwa matumizi yote ' ipo katika hali nzuri as New
Na haina tatizo lolote
Mawasiliano...
Model: Toyota IST
Cc: 1490
Year: 2005
Full ac
Location: Kinondoni (Dar)
Price: 6,000,000
Contact: 0717599884
Gari ni nimeitumia mwenyewe, kwa atakayevutiwa karibu tuzungumze
Nauza notes za Microsoft word nimeelezea Kila kitu kwa picha hatua kwa hatua, Ni nzuri kwa watu wote wanaotaka kujifunza na waliojifunza.
, Ufafanuzi Commands zote katika Lugha ya Kiswahili isipokuwa Majina ya tabs yamebaki kwa Kiingereza.
Gharama Ni Tsh. 5000 piga simu 0685-513-806 ili...
Habari Jf.
Nimeamua kusimama na hii biashara ya kuuza pikipiki used.
Pikipiki zote ziko na document kamili. Unaweza fuatilia Police kwa kujiridhisha zaidi kuepuka usumbufu kwa baadae.
Kuna san lg, fekon, boxer tvs
Napatikana Dar es salaam.
Mawasiliano yangu ni 0744033555 nitafute any time...
Umofia wana JF-GT, Heri ya mwaka mpya,,
Nauza vifaa vya maabara ya binadamu hivi vinawafaa wanaopenda kuwekeza kwenye biashara ya Maabara (Diagnosis health center)
Vifaa ni vipya kabisa na havijawahi tumika kabisa.
Vifaa vilivyopo
1. Haemoglobin Tester
2. Microscope
3. Urine analyzer Machine...
Salam kwenu wakuu.
Picha ambatanishi ni boma la nyumba yangu,lipo Tanga Mjini-Neema area.
Lina vyumba vitatu.
Masterroom 1
Vyumba vya kawaida -2
Sitting room
Dinning room
Kitchen na store yake.
Public toilet.
Maji ya bomba yapo hapo hapo,bomba limepita mbele ya Kiwanja.
Kumezungukwa na...
Salam kwenu wakuu.
UPDATES;
Shukrani kwa wote mliochangia na hata waliosoma tu,JF iliwezesha kufahamiana miongoni mwetu na jambo langu limepata ufumbuzi!!
Mbarikiwe!!
Picha ambatanishi ni boma la nyumba yangu,lipo Tanga Mjini-Neema area.
Lina vyumba vitatu.
Masterroom 1
Vyumba vya kawaida...
Habari wadau!
Nauza kiwanja changu mwembe mdogo kigambo mbele kidogo na ya Dege umbali kutaka Ferry nikama km 25 kufika kwenye kiwanja.
1.UKUBWA hatua 70 kwa 70
2.MUONEKANO Kiwanja kiko tambalale akuna milima wala mabonde kimenyooka
3.DOCUMENTS Hati za serekali...
Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga.
Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje.
Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji.
Nauza 1,000,000 Kwa Heka 1.
DIRECTION YA SHAMBA LILIPO
Ukiwa...
bagamoyo
beach
bei
eneo
hasara
hoteli
inauzwa
karibu
kigamboni
kinauzwa
kiwanja
kubwa
kununua
mafuta
makazi
miti
mji
nauza
nyumba
pesa
plot
shamba
ujenzi
umri
uwekezaji
viwanja
wekeza
Habar, tunauza vitanda na bedside zake kwa kila kitanda ......ni vitanda vilivyotumia mbao ngumu.
Bei: 380000 - 350000 kwa kila kimmoja
wapi : kawe ukwamani.
Simu : 0757994417 au 0625 959542.
Usafiri: utajitegemea
Je naweza kuwekeza? Ndio unaweza kuwekeza kidogo kidogo mpaka unamaliza deni.
Je...
Gari ni mpya Plate no. imetoka jana.
SPECIFICATIONS:
Make: Toyota
Model: RunX
Body Style: Hatchback
Color: Sky Blue
Odometer: 58,000km
Transmission: Auto
Bei ni 12.5m subjected to Negotiations.
Leo nabadilisha tairi za gari yangu BMW 3-series E90. Nauza tairi ilizokuja nazo toka Singapore mwezi huu. Tairi bado zina tread nzuri.
Size ni 225 45R17
Continental ContiSport run-flat.
Bei elfu 50 kila tairi mazungumzo yapo.
0759970963
Wadau nauza camera Canon 4000d EoS
Ina lens tatu ambazo 18-55mm,55-250 mm na professional digital lens
Ina adapter ya 64 gb
Type of product
DSLR
Pamoja na charge yake.
Bei ni 650k
Kama upo Interested nicheki WhatsApp +255745588735
nauza Toyota cami iko vizuri sana ila changamoto gia Box gari ipo sawa sana kwakuwa kabla tatizo gari aina safari sana mara nyingi inapaki mimi naishi mkoani gari ipo dsm kama upo interested nicheki pm nipe offer yako ukamiliki gari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.