nauza

  1. E

    Nauza friji, bei nafuu sana

    Nauza friji kama inavyoonekana kwenye picha. Bei ni shilingi laki 110,000/= (laki moja na kumi). Haina gesi. Ikiwekewa gesi inagandisha na kupoza bila shida. Ninapatikana Morogoro, Kihonda-Bima. Mawasiliano 0755267811. Sababu ya kuiuza ni uhitaji wa fedha kwa haraka kwa lengo la kutatua tatizo...
  2. Decodier

    Naomba kujuzwa bei ya PSU (Power Supply Unit)

    Lengo la huu uzi ni kutaka msaada kama kuna watu ambao wana ufahamu na uzoefu juu ya biashara za vifaa vya kompyuta. Mimi sio mzoefu wa mambo ya computer hardware. Naomba kujua bei ya power supply ya DELL ambayo ni used je ninaweza kuiuza kuanzia shilingi ngapi? Maana nawafahamu vizuri mafundi...
  3. F

    Nauza Rav4 milango 5 kwa bei nafuu sana

    Toyota RAV 4 ya mwaka 1995 inauzwa, milango mitano Engine capacity ni 1998, imetembea KM 160947. Insurance ipo valid mpaka March 2021, Engine, Gear box na tyre zote nne zipo bomba kinoma. Ukinunua hakika huwezi jutia hela yako Bei ni Shilingi Milioni Tano na laki tano tu (5,500,000/=) . Ipo...
  4. Alex Hamadi Hamis

    Nauza canon 5D mark III body tu

    Ipo clean kabisa kama unavyoiona kwenye picha. Haina shida yoyote. Nicheki WhatsApp: +255676095799 au normal calls kwa +255683018095. Bei: 3.4million
  5. K

    Nauza unga wa mbegu za maboga (Pumpkin Seed Flour). - Arusha

    Karibuni nauza Unga wa Mbegu za Maboga Pure 100% haujachanganywa na chochote. Unga huu una faida kemkem kwa afya zetu na kwa umri wowote. Kama vile umsaidia Mama anayenyonyesha Kuongeza maziwa, kinga na dawa bora dhidi ya Kisukari na Shinikizo la Damu, kinga dhidi ya tezi dume n.k Bei ni...
  6. Belleringal

    Nauza majogoo

    Nauza majogoo ya kienyeji tsh 15,000 na majogoo mengine yenye uzito wa kilo 2 yanapatikana kwa tsh 23,000 . Napatikana morogoro mjini kwa mawasiliano unaweza kunipata kwa namba 0622482679 . Plz support my hustle 🙏 WAPO
  7. eli_dealz

    Phone4Sale Nauza Redmi Note 7 Blue *Brand New*

    Nauza Redmi Note 7 Blue. Brand New and straight From Xiaomi Global ROM (Ina full google apps pamoja na google playstore + ni multilanguage) ROM ni 64GB RAM 6 GB 6.3'' inch display Snapdragon 660 Processor 48 MP Camera Line mbili na inasupport 4G mitandao yote Bongo Battrey kubwa 4000 Mah (It...
  8. Sam 2023

    INAUZWA Nauza vitabu vya Chemistry na Biology advanced S. Chand

    Habari wakuu! Nauza vitabu vifuatavyo: 1. Conceptual Chemistry Class XII Volume 1 Bei= 2. Cell Biology, Genetics, Molecular Biology, Evolution and ecology Bei 28,000/= 3. Advanced Physical Chemistry S.Chand Bei 18,000/= 4. Practical Chemistry S.Chand 15,000/= Vitabu vinapatikana Arusha Mount...
  9. Sam 2023

    INAUZWA Nauza Advanced review za Chemistry na Biology

    Habari ya wakati huu! Ninauza vitabu vifuatavyo: Advanced Biology 1 review - 8,000/= (1998-2014) Advanced Biology 2 review - 8,000/= (1998-2012) Advanced Chemistry 1 review -8,000/= (2000-2012) Advanced Chemistry 2 review -8,000/= (2002-2014). Advanced Chemistry 1 pamphlet 4,000/= Namba ya...
  10. eli_dealz

    Phone4Sale Nauza Lenovo Z5s grey

    Nauza Lenovo Z5s Grey. Brand New Sealed and straight From Motorola (Motorola na Lenovo wame colab) Global Version ROM ni 64GB RAM 4 GB 6.3'' inch display Snapdragon 710 (Processor) Specs zote - Lenovo Z5s - Full phone specifications Line mbili na inasupport 4G mitandao yote Bongo Battrey...
  11. T

    INAUZWA Used PS4 Slim: 2pads & 500GB Capacity (Excellent Condition; Warranty sticker in place)

    Ninauza PS4 Slim (imetumika kidogo), ina pad 2. Capacity 500GB. Nipo Dar (mkoani nitatuma pia but kwa gharama ya mnunuaji). Bei TZS 780,000/= Comes with CD ya Fifa19 Mawasiliano: +255 752 998 891
  12. Sam 2023

    INAUZWA Nauza blower ya INGCO 400W

    Habari wanajukwaa nauza blower yangu ya INGCO 400W. Bei shilingi 45,000/= maongezi yapo. Iko Arusha Mount Meru Hotel. Simu 0692 877767.
  13. Sam 2023

    Nauza advanced review na Conceptual Chemistry Chand

    Ninauza vitabu vifuatavyo Advanced review paper 1 2000-2012 10,000/= Advanced Chemistry paper 2 2002-2014 shilingi 10,000/= Conceptual Chemistry Volume 1 Class XII ya S. Chand shilingi 23,000/=. Vitabu vyote viko Arusha Mount Meru Hotel. Simu 0692877767. SOLD
  14. F

    Nauza mitungi ya gas empy

    Ipo 10 na ni ya kampuni ya mihan(5) na oryx(5)! Midpgo ipo 8 na mikubwa miwili. Yote ipo songea ukihitaji nakuletea usafiri kwa mikoa ya dar njombe, makambako, iringa, morogoro na mbeya ni rahisi zaidi mana gari ziko nyingi
  15. genius mvivu

    Nauza tiles kwa bei nafuu

    Wewe mtanzania ambaye bado unaendelea na ujenzi jipatie frool tiles kwa bei nafuu ukubwa wa tyles ni 50×50 bei ni 3000 kwa kila moja :mawasiliano ni 0788274721 na utaletewa popite ulipo ndani ya Dar es Salaam
  16. L

    INAUZWA Nauza jenereta ipo vizuri kabisa ni kama mpya tu

    Nauza Jenereta kama unavyoiona kwenye picha hapo na specification zake, unaweza kutumia nyumbani, dukani, salon , au ofisini n.k ipo vizuri kabisa haina shida yoyote ni kama mpya tu. Ipo KIJICHI CCM, DAR, serious buyer nipigie simu 0762689222. BEI 280,000 piga simu kwa maelewano 0762689222.
  17. Trubarg

    INAUZWA Nauza bati Mpya

    Migongo mipana Kampuni: Ando Gauge28 Rangi carrot Mahali Dodoma Vipimo Upana cm 190 Urefu 6.0m lipo 1 4.8m Zipo 3 na 3.6m ipo 2 Jumla mita 27 Bei 13000 kwa mita Mwenye interest tuonane
  18. M

    INAUZWA Nauza laptop HP

    Wadau habari za Asubuhi, kama nilivyoeleza hapo juu nauza laptop yangu kwa tsh 400,000 ni mpya kabisa aliyotayari anichecki kwa namba ni 0673167251 specifications zake nimeattached. Karibuni.
  19. kigogo1ivi

    Nauza Tecno Spark 4 mpyaaa bei ya kutupa

    Tecno spark4 2gb Ram 32gb storage 4G network Camera tatu yuma Bei Tshs 200,000 Simu ni yangu ninashinda na pesa 0684329230 nipo Dsm
  20. Hunteroflove

    INAUZWA Nauza mlango wa allumnnium na meza ya alluminium

    Location:Dar es salaam Contact : 0710999771 Meza 250,000 Mlango 250,000 Angalizo mlango sehemu ya kioo kimoja kinacra
Back
Top Bottom