nauza

  1. B

    Nauza hivi vitu

    Habari za MDA huu. Nauza hivi vitu haraka ndugu zangu Nauza FULL COMPUTER SETUP HP CORE I5 IKIWA NA RAM 8GB,NA DISK GB 500 KIOO CHAKE NI CHA HP INCH 24.BEI INAENDA FULL 420000. NAUZA DISK TERABYTES 12 HEALTH 100 TEMP 100 BEI YAKE 370000 NDANI KUNA MOVIES NA SERIES OLD AND LATEST FULL 1080 HD...
  2. SOWETO MAN

    Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Habari wana jukwaa, nauza Sweet na dry Red Wines kutokea Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, Lita 3 na Lita 5...Lita 1 ni Sh.7000/=, Lita 3 ni Sh. 18,000/= na Lita 5 ni Sh.27,000/= (Bei hizi ni za reja reja)....Karibuni sana na Mikoani tunasafirisha pia kwa uaminifu mkubwa sana.
  3. D

    INAUZWA Nauza fridge aina ya Ailyons

    Habari ndugu zangu nauza fridge 300,000 ni fridge used miezi 6 aina ya AILYONS mwenye uhitaji anicheki.
  4. Premij canoon

    Nauza Sewing Machine

    Wadau nauza hii cherehani sina matumizi nayo kwa sasa, nauza pamoja na kila kitu cheke. Bei 400k Brand name : JANOME. Mawasiliano : 0763708877 (Whatsap)
  5. Newcastle1234

    Nauza TV Samsung 32 Inch kwa Tshs. 190,000 tu

    Iko katika hali nzuri kabisa haina shida yeyote. Piga or WhatsApp 0788893364
  6. B

    Nauza hivi vitu

    Habari Nauza harddisk kama zifuatazo Tb kwa 12 kwa 350000 Tb 3 kwa 120000 Tb 1 kwa 90000 Zote zikiwa na movies humo Pia nauza computer full workstation Kwa 500000 Desktop ni intel r core i5-2400 cpu 3.10GHz RAM 8 gb desktopchuma hicho Sata zipo 6 Namba yangu hii hapa 0781 493401...
  7. B

    Nauza hivi vitu

    Habari Nauza harddisk ya tb 12 kwa 350000 Disk nyingine tb 3 kwa 120000 Nyingine disk tb 1 kwa 90000 Zote zimejaa movies.. Pia nauza desktop hp full complete kwa 50000 Karibuni ndugu zangu 0781 493401 namba yangu hii
  8. Tech Max

    Nauza vitabu(softcopy/nakala laini) vya kiingereza vilivyotafairiwa kiswahili na kiingereza Bei 10,000 Tsh kimoja

    Nauza vitabu(softcopy/nakala laini) vya kiingereza vilivyotafsiriwa kiswahili na kiingereza Bei 10,000 Tsh kimoja. 1. Kitabu Cha Henoko (Biblia hakipo) 2. Rich Dad, poor dad (Swahili) 3. Art of strategy (Sanaa ya mkakati) (Swahili) Nicheki kwa vitabu vingine tuma jina la kitabu WhatsApp...
  9. E

    Nauza Projector SONNY bei ya kutupa

    Bei ya mnada aayehitaji tuwasiliane
  10. Sacsosanct

    Nauza nissan note “DC”

    Imeuwa control box, mil 3.5, uje uichukue, inawaka vizuri ila haitembei. 0764692275
  11. Sacsosanct

    Nauza nissan note “DC”

    Imeuwa control box, mil 3.5, uje uichukue, inawaka vizuri ila haitembei. 0764692275. Kimara tembon dar.
  12. Tech Max

    Nauza kitabu Cha KISWAHILI Poor Dad, Rich Dad Cha Robert Kiyosaki - 10,000 Tsh

    Kama unatafuta kitabu Cha Robert Kiyosaki kwa lugha ya kiswahili Cha Rich Dad, Poor Dad kipo Bei 10,000 Tsh natuma WhatsApp au kwa email, Karibu nicheki 0756704145
  13. Tech Max

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) Cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) Cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa kwenda M-PESA 0756704145 nakutumia kitabu chako WhatsApp au kwenye email
  14. Q

    Nauza eneo lililo chimbwa mchanga.. ukubwa heka moja misugusugu kibaha

    Eneo lipo nyuma ya kiwanda cha Lake steel misugusugu.. limechimbwa mchanga Ni Zuri Kwa ufugaji.. au kulisawazisha Na kuweza kukata viwanja.. karibun
  15. Tech Max

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa M-PESA kwenda namba 0756704145 nicheki WhatsApp nikutumie kitabu au kama una email natuma
  16. Tech Max

    Kitabu Cha enoko kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh

    Kitabu Cha Enoko ambacho hakipo kwenye biblia za sasa kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh, natuma WhatsApp ni PDF muundo, nicheki WhatsApp 0756704145, napatikana Dar es salaam, Mbezi
  17. K

    Nauza Earpods

    Nauza Earpods Ni wireless zipo 5opc bei 20000. Nipo Kariakoo Dar Es Salaam. Nichek 087442427363.
  18. bob_fundi

    Nauza asali ya nyuki wakubwa

    Habari wana JF Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu☝️. Nina asali ya nyuki wakubwa 80L Kwa anaye hitaji anaweza nicheki pm au kwa namba yangu cm tufanye biashara . ☎️0744355748 normal call &WhatsApp ✅️ Matajiri 250,000/= kwa lita 20
  19. M

    NAUZA SIMU

    GB 64 RAM 4 Wazee Sim Iyo ZTE Ni Ya Mkopo Nimelipa Ela Bado Kidogo sana Nimalize Sema nimepata sim nyengine Hii naitoa Laini yake yakulipia Ipo nakupa sim Ina Clek Lakn inapiga KAZI Fresh kilakitu BEI 55 Chapu Au piga sim tuongee 0612323330
  20. chibe dayo

    Nauza mafuta ya alizeti

    Habari wanajamvi! Mimi nauza mafuta ya alizeti kutoka mkoani singida popote yanafika bei ya Lita ni shillingi elf 6 na punguzo lipo mtu akichkua Mengi Asante
Back
Top Bottom