Habari za MDA huu.
Nauza hivi vitu haraka ndugu zangu
Nauza FULL COMPUTER SETUP HP CORE I5 IKIWA NA RAM 8GB,NA DISK GB 500 KIOO CHAKE NI CHA HP INCH 24.BEI INAENDA FULL 420000.
NAUZA DISK TERABYTES 12 HEALTH 100 TEMP 100 BEI YAKE 370000 NDANI KUNA MOVIES NA SERIES OLD AND LATEST FULL 1080 HD...
Habari wana jukwaa, nauza Sweet na dry Red Wines kutokea Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, Lita 3 na Lita 5...Lita 1 ni Sh.7000/=, Lita 3 ni Sh. 18,000/= na Lita 5 ni Sh.27,000/= (Bei hizi ni za reja reja)....Karibuni sana na Mikoani tunasafirisha pia kwa uaminifu mkubwa sana.
Wadau nauza hii cherehani sina matumizi nayo kwa sasa, nauza pamoja na kila kitu cheke. Bei 400k
Brand name : JANOME.
Mawasiliano : 0763708877 (Whatsap)
Habari
Nauza harddisk kama zifuatazo
Tb kwa 12 kwa 350000
Tb 3 kwa 120000
Tb 1 kwa 90000
Zote zikiwa na movies humo
Pia nauza computer full workstation
Kwa 500000
Desktop ni intel r core i5-2400 cpu 3.10GHz
RAM 8 gb
desktopchuma hicho
Sata zipo 6
Namba yangu hii hapa 0781 493401...
Habari
Nauza harddisk ya tb 12 kwa 350000
Disk nyingine tb 3 kwa 120000
Nyingine disk tb 1 kwa 90000
Zote zimejaa movies..
Pia nauza desktop hp full complete kwa 50000
Karibuni ndugu zangu 0781 493401 namba yangu hii
Nauza vitabu(softcopy/nakala laini) vya kiingereza vilivyotafsiriwa kiswahili na kiingereza Bei 10,000 Tsh kimoja.
1. Kitabu Cha Henoko (Biblia hakipo)
2. Rich Dad, poor dad (Swahili)
3. Art of strategy (Sanaa ya mkakati) (Swahili)
Nicheki kwa vitabu vingine tuma jina la kitabu WhatsApp...
Kama unatafuta kitabu Cha Robert Kiyosaki kwa lugha ya kiswahili Cha Rich Dad, Poor Dad kipo Bei 10,000 Tsh natuma WhatsApp au kwa email, Karibu nicheki 0756704145
Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa M-PESA kwenda namba 0756704145 nicheki WhatsApp nikutumie kitabu au kama una email natuma
Kitabu Cha Enoko ambacho hakipo kwenye biblia za sasa kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh, natuma WhatsApp ni PDF muundo, nicheki WhatsApp 0756704145, napatikana Dar es salaam, Mbezi
Habari wana JF
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu☝️. Nina asali ya nyuki wakubwa 80L
Kwa anaye hitaji anaweza nicheki pm au kwa namba yangu cm tufanye biashara .
☎️0744355748 normal call &WhatsApp ✅️
Matajiri 250,000/= kwa lita 20
GB 64
RAM 4
Wazee Sim Iyo ZTE Ni Ya Mkopo Nimelipa Ela Bado Kidogo sana Nimalize Sema nimepata sim nyengine
Hii naitoa Laini yake yakulipia Ipo nakupa sim Ina Clek
Lakn inapiga KAZI Fresh kilakitu
BEI 55 Chapu Au piga sim tuongee
0612323330
Habari wanajamvi!
Mimi nauza mafuta ya alizeti kutoka mkoani singida popote yanafika bei ya Lita ni shillingi elf 6 na punguzo lipo mtu akichkua Mengi Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.