nauza

  1. MaduhuJ

    DODOMA: Nauza mbao za ujenzi na fenicha kwa bei rahisi.

    Habari zenu wadau wa Dodoma. Karibuni ofisini (Jamhuri, shule ya sekondari) kuna mzigo wa mbao wa kutosha na Bei zetu ni rahisi sana! 2x2 - 2,300 2x3 - 3,300 2x4 - 4,300 2x6 - 6,500 1x4 - 2,300 1x6 - 4,300 1x8 - 7,300 1x10 - 13,000 Misumari inch 2, 3, 4 na 6 yote ipo kwa Tsh 3,000 tu kwa kilo...
  2. MaduhuJ

    DODOMA: Nauza mbao za ujenzi na fenicha kwa bei rahisi.

    Habari zenu wadau wa Dodoma. Karibuni ofisini (Jamhuri, shule ya sekondari) kuna mzigo wa mbao wa kutosha na Bei zetu ni rahisi sana! 2x2 - 2,300 2x3 - 3,300 2x4 - 4,300 2x6 - 6,500 1x4 - 2,300 1x6 - 4,300 1x8 - 7,300 1x10 - 13,000 Misumari inch 2, 3, 4 na 6 yote ipo kwa Tsh 3,000 tu kwa kilo...
  3. Website Tanzania

    SOFTWARE Nauza Mfumo wa Kusimamia stock, mauzo, manunuzi na kutunza ripoti zote za kifedha kwa bei nafuu sana

    Habari wanaJF, Hebu niulize swali la msingi kwa wamiiki wa biashara👇 Ukiwa nyumbani, safarini au nje ya nchi—unaweza kuona hali halisi ya biashara yako sasa hivi? Kama jibu ni hapana, basi biashara yako inaendeshwa kwa bahati, sio kwa taarifa. Kuna ukweli mchungu ambao wafanyabiashara wengi...
  4. warzone

    Nauza bando za Halotel kwa bei nafuu

    Habari wakuu,karibuni niwauzie bando Kwa bei nafuu,Leo ninayo ofa nitakuuzia Gb 10 Kwa elf 8 tuu,kwa wasio amini ntakutumia bando ndio unilipe,karibuni Simu: 0625927098
  5. E

    wakuu nauza matairi ya malori bei nafuu sana

    matairi ya malori yapo brand mbalimbali kuna size zote na brand zetu ni semes/ aurunze/ sky base/oben na gft pia kuna paten ya diff/mixer/high way/ na nyinginezo na tunauza kwa bei ya jumla na rejareja tupo tazara opposite na sigara jengo la five star complex tell:0691254107
  6. SOWETO MAN

    Nauza mchuzi wa WINE(MVINYO) kwa bulk purchase only

    Habari wana jukwaa, Mimi ni mkulima na mfanya biashara mdogo wa zao la zabibu na mzalishaji pia wa wine..Nina habari njema kwa wale wanao hitaji kununua Mchuzi wa Wine(Mvinyo) halisi wa Dodoma wenye umri wa miezi mitano (5) sasa ..kwa kiwango cha kuanzia lita 500 na kuendelea kwani nauza kwa...
  7. E

    wakuu nauza machine excavator mchina kashusha bei kinoma

    kwa mnaoyaka kununua machine kama excavator brand ya sdlg pia na matela ya malori na tipa karibun wakuu bei maelewano
  8. Mvinyo mpya

    Nauza laptop 300k

    Nauza laptop aina ya Mac book kwa tsh. 300k. Kindly DM. Price is fixed.
  9. ADESIGN

    Nauza kitanda inch 6×6 kirefu ni sofa bed nyeupe kikubwa 280,000

    Kwa mwenye uhitaji anipigie 0684101707, nimeweka picha hapo haijakamilika sina picha nyingi maana nilikifungua pindi tu nimejifungua, kitanda kina hali nzuri,
  10. B

    Nauza mashuka classic polycotton

    Habarini za saiz watu wangu wa nguvu nawaletea shuka 2 foronya 4 polycotton size ni 7*8 kwa bei Nzuri kabsa ya 25,000 kwa mawasiliano 0612630936 popote Tanzania inakufikia karibuni sanaa
  11. Vincenzo Jr

    TV4Sale Nauza Hisense Smart TV 65 inch

    Dungu jipya Hisense smart tv 65 inch naliuza kwa laki 7 punguzo lipo ukija na laki 6 fresh Carleen ephen_ min -me Mr Q Cookie dosho12 Fake P
  12. The Eric

    Nauza Spare za Bajaji na Pikipiki Jumla kwa bei ya Jumla, natoa ushauri pia

    Hello Jf Spare zote za Bajaji na pikipiki kama ↔️ tyre Rim Bush Bearings Plugs Engine mount Block Piston and Rings Valve Cylinder head Brake shoe Master brake Rubber Brake Shock ups cable gear clutch plates na center yake Maker etc Pia tunauza lubricants na oil za jumla.
  13. I

    NAUZA ENGINE K12 B

    Salam wadau. Nauza engine ya K12B,displacement 1290. Engine ni nzima kabisa ina mailage ya 90,000 kms Kwa maulizo zaidi tafadhali dm.
  14. H

    Nauza simu Samsung A05, bei 170K

    Habari wakuu nauza Simu Samsung A05 bado mpya. Ram 4gb, Storage 64gb, bei yake 170K
  15. jT0078

    NAUZA VIOO NA HOUSING ZA LAPTOP

    Kama Laptop yako.. -imevunjika kioo Imavunjika housing Ilete tubadilishe Ilala - Dsm 0767953873
  16. Website Tanzania

    Nauza Stock Management System ya kusimamia Mauzo na manunuzi katika biashara yako kwa 300, 000 TU

    .
  17. Los santos

    Nauza pure breed GS

    Breed: German shepherd's long coat top quality puppy.. Location:Iringa Price: 2 million Age: 2 month Call: 0716161683
  18. E

    Nauza Laptop Lenovo Thinkpad X1 carbon

    Lenovo ThinkPad X1 Carbon Tablet Gen 3 ✅ PROCESSOR Intel Core i5-8350U processor ⁠8th Generation "Whiskey Lake" ⁠Quad-core CPU ⁠Base clock of 1.7 GHz and max turbo up to 3.6 GHz. Intel UHD Graphics 620 integrated graphics ✅MEMORY AND STORAGE 8Gb of DDR4 Ram ⁠256Gb of Fast Storage (SSD)...
  19. jT0078

    Nauza na kubadilisha Housing na vioo vya Laptop

    Kama Laptop yako imevunjika kioo au Housing imechoka njoo tubadilishe. Ilala - Dsm 0767953873
  20. Youbettersleep

    Plot4Sale Nauza viwanja viwili Usagara Mwanza

    Nipigie kama unataka kununua hivi viwanja hapa MWANZA. DETAILS: MKOA : MWANZA WILAYA : MISUNGWI ENEO : USAGARA KIWANJA NAMBA : 171 na 173 VIMEPIMWA : NDIO ANGALIA PICHA BEI : NAMBA 171 NI MILLIONI 20 NAMBA 173 NI MILLIONI 20 BEI INAPUNGUA PIA UKIJA NA MAZUNGUMZO...
Back
Top Bottom