Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu.
Bei zetu
.
Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali
Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali
Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza gharama za usafirishaji.
Site iwe na MAJI tu
Wasiliana nasi:📞 0764 635 014
Tajiri wahi kiwanja hiki utanishukuru badae..Nimepata shida tu
ukubwa 20 kwa 20 kikubwa kizuri sana
bei milion 10
nicheki 0756038510
Kimepimwa ila hakina HATI bado
Habari za wakati huu.
Picha nilizoweka hapo ni mitiki yangu ipo kwenye shamba langu jirani na kijiji cha Kibindu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Natafuta mteja anaefanya shughuli za mazao ya miti au mfanyabiashara wa mazao hayo.
Miti yote ina umri sawa ilipandwa mwaka 2007, ina miaka...
Laptop yako imeharibika housing? Lete tukubadilishie kwa haraka na kwa bei nafuu.
✅ Tunazo housing za aina mbalimbali za laptop
✅ Pia tunafanya fix ya housing iliyopo bila kubadilisha
📍 Tunapatikana Ilala, DSM
📞 0767953873
Nauza kiwanja kivule center kabisa
Heka 1
Mil 60. Maongezi kidogo yapo
Mark ukifika Kivule Muungano pub eneo linaitwa mnarani ndio kiwanja kilipo ni eneo lililojengwa nyumba za kifahari ukipaona utapapenda.
Pako tambarare, eneo limekamata barabara kuu.
0743 257 669
Wakuu kwema ninauza gaming laptop yangu ina speci hizi
Core i7 gen 9
ram 16
hp pavilion
gtx 1650
vram 4gb
ssd 256 ssd sata tb 1
core i7 gen 9
battery 1hours
windows 11
bei 680k serious buyer dm me au 0627796644
inafaa kwa gaming na graphic
Habari wana Jukwaa
Nauza miti ya mbao yenye umri wa miaka 14 iko Wilaya ya Mufindi Kijiji cha Mapanda Iringa Tanzania Ukubwa wa Ekari 25 imetosha Kuvunwa ( mbao) inauzwa yote kwa pamoja bei ni Tsh 85,000,000/= Maongezi yapo… KARIBUNI SA
Mawasiliano 📞 0750827076 ( WhatsApp Tu )
Nauza kifaa cha kukusaidia kujilinda
yaani self defense
🔥 TASER GUN INAKUSAIDIA KUMPIGA SHOTI KIBAKA SHOT KUBWA KAMA YA UMEME WA GRID YA TAIFA 🔥
Unahitaji kujilinda na vibaka, majambazi, wezi na wabakaji?
Taser Gun ni mashine ndogo ya kuchajiwa inapiga shoti ya umeme zaid ya gridi kubwa ya...
Habari zenu
Natarajia kupata mkopo wa 2.5m so nasubiria , nimesimama kuuza laptop kwa kutegemea huo mkopo, M/Mungu awaongoze wakopeshaji wanipe pesa hiyo kwa mkopo AMEEEN 🙏🏾
Asanteni sana
Wakuu nipeni hio hela nisolve changamoto niliyonayo 2.8m ( milioni 2 na laki 8 tu)
Pikipiki Imetembea jumla ya km 367 tu number FRN... imetoka jana na kadi yake ipo full
Leteni hio pesa
Inafaa Kwa bodaboda, matumizi binafsi, kumpa mtu Kwa ajili ya mkataba n.k
Ipo mbeya-Mbarali
Phone 0789088982
Nauza shamba bagamoyo yombo lina ukubwa wa heka 1. Bei ni 4.5m installment inaruhusiwa unaweza kuanzia kulipa Kidogo kidogo. Halina udalali mm ndio mwenyewe. Namba ya simu 0762405010 nicheck
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.