Habari wakuu,karibuni niwauzie bando Kwa bei nafuu,Leo ninayo ofa nitakuuzia Gb 10 Kwa elf 8 tuu,kwa wasio amini ntakutumia bando ndio unilipe,karibuni
Simu: 0625927098
matairi ya malori yapo brand mbalimbali
kuna size zote na brand zetu ni
semes/ aurunze/ sky base/oben na gft
pia kuna paten ya diff/mixer/high way/ na nyinginezo
na tunauza kwa bei ya jumla na rejareja tupo tazara opposite na sigara
jengo la five star complex
tell:0691254107
Habari wana jukwaa,
Mimi ni mkulima na mfanya biashara mdogo wa zao la zabibu na mzalishaji pia wa wine..Nina habari njema kwa wale wanao hitaji kununua Mchuzi wa Wine(Mvinyo) halisi wa Dodoma wenye umri wa miezi mitano (5) sasa ..kwa kiwango cha kuanzia lita 500 na kuendelea kwani nauza kwa...
Kwa mwenye uhitaji anipigie 0684101707, nimeweka picha hapo haijakamilika sina picha nyingi maana nilikifungua pindi tu nimejifungua, kitanda kina hali nzuri,
Habarini za saiz watu wangu wa nguvu nawaletea shuka 2 foronya 4 polycotton size ni 7*8 kwa bei Nzuri kabsa ya 25,000 kwa mawasiliano 0612630936 popote Tanzania inakufikia karibuni sanaa
Hello Jf
Spare zote za Bajaji na pikipiki kama
↔️ tyre
Rim
Bush
Bearings
Plugs
Engine mount
Block
Piston and Rings
Valve
Cylinder head
Brake shoe
Master brake
Rubber
Brake
Shock ups
cable gear
clutch plates na center yake
Maker
etc
Pia tunauza lubricants na oil za jumla.
Lenovo ThinkPad X1 Carbon Tablet Gen 3
✅ PROCESSOR
Intel Core i5-8350U processor
8th Generation "Whiskey Lake"
Quad-core CPU
Base clock of 1.7 GHz and max turbo up to 3.6 GHz.
Intel UHD Graphics 620 integrated graphics
✅MEMORY AND STORAGE
8Gb of DDR4 Ram
256Gb of Fast Storage (SSD)...
Nipigie kama unataka kununua hivi viwanja hapa MWANZA.
DETAILS:
MKOA : MWANZA
WILAYA : MISUNGWI
ENEO : USAGARA
KIWANJA NAMBA : 171 na 173
VIMEPIMWA : NDIO ANGALIA PICHA
BEI : NAMBA 171 NI MILLIONI 20
NAMBA 173 NI MILLIONI 20
BEI INAPUNGUA PIA
UKIJA NA MAZUNGUMZO...
Wakuu nauza pikipiki yangu kwa 300k tu, nimepata dharura na mfukoni siko vizuri. Pikipiki ni Yamaha tatizo lake ni kabuleta tu, njoo uichukue kwa hiyo bei mwenyewe nimeridhia kwa moyo mkunjufu.
CONTACT: 0659 918 194
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.