nauza

  1. Afrolink-Tz Consult Ltd

    Nauza fenicha za ofisini zilizotumika 800,000 maongezi yapo

    Habari za leo! Ninauza fenicha za ofisini zilizotumika zipo katika hali nzuri sana: 1. Meza kubwa moja (imported) 2. Kiti kimoja cha ngozi cha kuzunguka 3. Viti viwili vya wageni (nimenunua mwezi Januari,2024) Fenicha zote hizi nauza kwa pamoja kama zilivyo sh 800,000 maongezi yapo Zinapatikana...
  2. abdi basho

    Nauza dagaa nyama, niko Tanga mjini. Bei ni Tsh. 7000 kwa kilo, maongezi yapo

    Habari karibuni sana, nauza dagaa nyama niko Tanga mjini 7000 kwa kilo moja maongezi yapo. Karibuni 0718755347.
  3. salehe magari mazuri

    Nauza subaru imprezza

    🔥🔥🚘🚘🚘 ON SALE (EEP) - SUBARU IMPREZA Price 14.5ML 0768160670 SUBARU IMPREZA ¥ KALI SANA Color 🖤 BLACK LOW MILEAGES Engine 1490 Low mileage New tyre Clean sana DAR ES SALAAM 0768160670 EXCHANGE ALLOWED
  4. V

    Nauza Carton Boxes

    Nauza Carton boxes kwa ajili ya kuweka bidhaa mbalimbali, ziko pcs zaidi ya 400 nicheki kwa namba 0744117116
  5. J

    Nauza midoli ya kuuzia/kuvalishia mawigi

    Kwa anayehitaji Midoli ya Kuuzia Mawigi tuwasiliane. Ipo zaidi ya 20. Nauza sababu nimebadilisha biashara. Nipo Goba Dar-es-salaam. 0713794962 bei ni 9000tsh kila mmoja
  6. C

    Nauza kiwanja kibaha kwa Mfipa mil. 1.5

    NIMEKWAMA NAUZA ENEO LANGU KIBAHA KWA MFIPA. LIKO SEHEMU NZURI HUDUMA MUHIMU ZIPO. NGUZO MBILI ZA UMEME MPAKA SAITI. MCHANGA UKO HAPO HAPO TOFARI MAPAKA SITE TSH. 750 MAJI YAPO JIRANI TUPO KWENYE MCHAKATO WA KUYAINGIZA KUTOKA MAIN ROAD KM. 1.5 Square mita 300 Bado sijapata mteja sahihi. NATAKA...
  7. R

    Computer4Sale Nauza Dell Laptop Latitude 5300, core i5, Ram 8GB SSD 500GB. 8 generation

    SPECIFICATION Model : Dell Latitude 5300 Processor: Core i5 Ram : 8 GB SSD : 500 GB Size : Inch 14 Generation : 8 Window : 11 Screen: Normal and Touch screen Bei : 500,000/= Computer ni used ila ipo kwenye ubora mzuri sana kama mpya. Inakaa na charge zaidi ya masaa kumi ukitumia mfululizo. Ina...
  8. Smith Rowe

    Nauza foil jumla na rejareja kwa bei nzuri.

    Habari, Nauza foil jumla na rejareja Foil ndogo zenye urefu wa mita 61.93 na sqft 200 Foil kwa bei ya jumla ni 90k zinakaa 10. Bei ya rejareja ni elf 10 kwa pc moja. Tupo Ubungo external karibu na ofisi za TMDA. 0696101524 0712650241
  9. Jo Assistant

    Phone4Sale Nauza simu ya Galaxy S8 plain used Dar es Salaam kwa bei nafuu

    Habari wadau, Nauza simu yangu kwa mtu anayetaka kuinunua hapa Dar es Salaam. Nakupa na chaja yake bure. Simu ipo rooted na unaweza kutumia line 2 za simu. Kama utataka nikufungulie social media accounts (Instagram, Facebook, X, nk), nitakufungulia bure. Pia kama utataka links za websites za...
  10. salehe magari mazuri

    Car4Sale Nauza Subaru Forester XT

    ONSALE🚘 PRICE 23.9ML SUBARU FORESTER XT ECN Reg number .(ECN) Year model 2010 Engine Cc 1990 Low mileage New tyre Clean as new Rim sports COLOR BLACK 0688591584 Navunja na gari yoyote Dar es salaam
  11. Kalamu Nzito

    Nauza dagaa nyama (uwono) Dodoma

    Natafuta Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani Dodoma. Nina Dagaa nyama kutoka Tanga kilo za kutosha nahitaji kupata wanunuaji. Mwenye namba za Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani DODOMA anisaidie tafadhali.
  12. Q

    Nauza mifuko ya Cement kwa bei nafuu sana - 15,000

    Habarini wadau. Nauza cement grade 42.5 kampuni ya Camel kwa bei ya 15,000 kwa mfuko. Eneo ni Tabata Saanene. Bei ni nafuu kwa kuwa ninafunga biashara. Imebaki mifuko 200 tu. Wahini sasa. Risiti ya EFD ipo. Kwa mawasiliano zaidi, piga namba 0687320462.
  13. Unique Flower

    Nauza vitu vifuatavyo

    Karibuni wote tunauza mashuka bei zinatofautuana. Tunauza cover za sofa na za bed cover. Tunauza mapazia kwa bei nafuu karibuni wote ni ukitaka kujua bei ya chochote hapa. Nipigie 0699 227942 Duka lipo Arusha mjini.
  14. D

    INAUZWA Nauza sound bars

    Soundbar hizo zina mziki mzuri, zina Bluetooth USB na HDMI Bei: 120,000 Zipo Dar Mawasiliano: +255621396850
  15. M

    Dewji: Biashara yangu ya kwanza nilikuwa nauza Mafuta ya Taa, Baba yetu alikufa masikini

    Mfanyabiashara mkubwa nchini Azim Dewji, ameweka wazi kuwa biashara yake ya kwanza kuifanya ilikuwa ni kuuza mafuta ya Taa. Akifanya mahojiano na CloudsTv Dewji amesema, "Biashara yangu ya kwanza nilinunua gari kwa mkopo, nikawa na gari lakini tulikuwa tunanunua mafuta ya taa kwenye madebe...
  16. D

    INAUZWA Nauza deki ya home theatre aina ya panasonic

    Habari wadau. Deki ipo Dar, faida nyingine ya deki hii ni kwamba inayo amplifaya ndani yake , kwa hiyo unaweza kutumia kama amplifaya na radio kwa wakati mmoja. Bei : 130,000 Mawasiliano : +255621396850
  17. D

    Nauza amplifaya

    Location : Moshi, Kilimanjaro Bei 150000 Mawasiliano : +255621396850
  18. Damaso

    Nauza Airtag Mpya kabsa- Elfu 50

    AirTags zilitangazwa katika hafla ya uzinduzi wa Apple mnamo tarehe 20 Aprili 2021. Zitatolewa tarehe 30 Aprili, lakini unaweza kuagiza mapema wakati huo sasa. Maagizo ya mapema yalianza tarehe 23 Aprili. Apple AirTags ni vifaa vya ufuatiliaji vyenye teknolojia ya Bluetooth vilivyoundwa...
Back
Top Bottom