Habari za leo!
Ninauza fenicha za ofisini zilizotumika zipo katika hali nzuri sana:
1. Meza kubwa moja (imported)
2. Kiti kimoja cha ngozi cha kuzunguka
3. Viti viwili vya wageni (nimenunua mwezi Januari,2024)
Fenicha zote hizi nauza kwa pamoja kama zilivyo sh 800,000 maongezi yapo
Zinapatikana...
🔥🔥🚘🚘🚘
ON SALE (EEP) - SUBARU IMPREZA
Price 14.5ML
0768160670
SUBARU IMPREZA ¥
KALI SANA
Color 🖤 BLACK
LOW MILEAGES
Engine 1490
Low mileage
New tyre
Clean sana
DAR ES SALAAM
0768160670
EXCHANGE ALLOWED
Kwa anayehitaji Midoli ya Kuuzia Mawigi tuwasiliane. Ipo zaidi ya 20. Nauza sababu nimebadilisha biashara.
Nipo Goba Dar-es-salaam.
0713794962
bei ni 9000tsh kila mmoja
NIMEKWAMA NAUZA ENEO LANGU KIBAHA KWA MFIPA.
LIKO SEHEMU NZURI HUDUMA MUHIMU ZIPO.
NGUZO MBILI ZA UMEME MPAKA SAITI.
MCHANGA UKO HAPO HAPO
TOFARI MAPAKA SITE TSH. 750
MAJI YAPO JIRANI TUPO KWENYE MCHAKATO WA KUYAINGIZA
KUTOKA MAIN ROAD KM. 1.5
Square mita 300
Bado sijapata mteja sahihi.
NATAKA...
SPECIFICATION
Model : Dell Latitude 5300
Processor: Core i5
Ram : 8 GB
SSD : 500 GB
Size : Inch 14
Generation : 8
Window : 11
Screen: Normal and Touch screen
Bei : 500,000/=
Computer ni used ila ipo kwenye ubora mzuri sana kama mpya.
Inakaa na charge zaidi ya masaa kumi ukitumia mfululizo.
Ina...
Habari,
Nauza foil jumla na rejareja
Foil ndogo zenye urefu wa mita 61.93 na sqft 200
Foil kwa bei ya jumla ni 90k zinakaa 10.
Bei ya rejareja ni elf 10 kwa pc moja.
Tupo Ubungo external karibu na ofisi za TMDA.
0696101524
0712650241
Habari wadau,
Nauza simu yangu kwa mtu anayetaka kuinunua hapa Dar es Salaam. Nakupa na chaja yake bure. Simu ipo rooted na unaweza kutumia line 2 za simu. Kama utataka nikufungulie social media accounts (Instagram, Facebook, X, nk), nitakufungulia bure. Pia kama utataka links za websites za...
ONSALE🚘
PRICE 23.9ML
SUBARU FORESTER XT ECN
Reg number .(ECN)
Year model 2010
Engine Cc 1990
Low mileage
New tyre
Clean as new
Rim sports
COLOR BLACK
0688591584
Navunja na gari yoyote
Dar es salaam
Natafuta Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani Dodoma. Nina Dagaa nyama kutoka Tanga kilo za kutosha nahitaji kupata wanunuaji.
Mwenye namba za Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani DODOMA anisaidie tafadhali.
Habarini wadau. Nauza cement grade 42.5 kampuni ya Camel kwa bei ya 15,000 kwa mfuko. Eneo ni Tabata Saanene. Bei ni nafuu kwa kuwa ninafunga biashara.
Imebaki mifuko 200 tu. Wahini sasa. Risiti ya EFD ipo.
Kwa mawasiliano zaidi, piga namba 0687320462.
Karibuni wote tunauza mashuka bei zinatofautuana. Tunauza cover za sofa na za bed cover.
Tunauza mapazia kwa bei nafuu karibuni wote ni ukitaka kujua bei ya chochote hapa. Nipigie 0699 227942
Duka lipo Arusha mjini.
Mfanyabiashara mkubwa nchini Azim Dewji, ameweka wazi kuwa biashara yake ya kwanza kuifanya ilikuwa ni kuuza mafuta ya Taa.
Akifanya mahojiano na CloudsTv Dewji amesema,
"Biashara yangu ya kwanza nilinunua gari kwa mkopo, nikawa na gari lakini tulikuwa tunanunua mafuta ya taa kwenye madebe...
Habari wadau.
Deki ipo Dar, faida nyingine ya deki hii ni kwamba inayo amplifaya ndani yake , kwa hiyo unaweza kutumia kama amplifaya na radio kwa wakati mmoja.
Bei : 130,000
Mawasiliano : +255621396850
AirTags zilitangazwa katika hafla ya uzinduzi wa Apple mnamo tarehe 20 Aprili 2021. Zitatolewa tarehe 30 Aprili, lakini unaweza kuagiza mapema wakati huo sasa. Maagizo ya mapema yalianza tarehe 23 Aprili.
Apple AirTags ni vifaa vya ufuatiliaji vyenye teknolojia ya Bluetooth vilivyoundwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.