Tunauza na kufyatua tofali imara za kisasa na zenye gharama nafuu

Tunauza na kufyatua tofali imara za kisasa na zenye gharama nafuu

Joined
Jul 10, 2026
Posts
12
Reaction score
15
Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu.

Bei zetu
.
  • Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali
  • Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali
  • Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza gharama za usafirishaji.

Site iwe na MAJI tu

Wasiliana nasi:📞 0764 635 014

Screenshot_20260625_124451_Instagram.jpg
Screenshot_20260625_125845_Instagram.jpg
Screenshot_20260625_124412_Instagram.jpg
Screenshot_20260625_124316_Instagram.jpg
 
🏡 JENGA KWA TOFALI ZA INTERLOCKING – IMARA, ZA KISASA NA ZENYE GHARAMA NAFUU! 🏡

Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu.

💰 Bei zetu
.
📍Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali.
.
📍 Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali

✅ Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza gharama za usafirishaji.

Site iwe na MAJI tu.

Wasiliana nasi:📞 0764 635 014
IMG-20260710-WA0142.jpg
IMG-20260703-WA0070.jpg
 
Jenga kwa tofali za interlocking – imara, za kisasa na zenye gharama nafuu.

Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu.

Bei zetu

Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali.

Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali

✅ Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza gharama za usafirishaji.

Site iwe na MAJI tu.

Wasiliana nasi: 0764 635 014
IMG-20260703-WA0070.jpg
IMG-20260710-WA0142.jpg
 
Jenga kwa tofali za interlocking – imara, za kisasa na zenye gharama nafuu.

Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu.

Bei zetu

Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali.

Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali

✅ Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza gharama za usafirishaji.

Site iwe na MAJI tu.

Wasiliana nasi: 0764 635 014View attachment 3627977View attachment 3627978
Tofali za saruji bei yake ni 1000/- au 1.100/- sasa nikitumia hizi senu naokoa vipi hela maana zenu ni ndogo kuliko za saruji maanake nitatumia almost mara mbili ya idadi ya tofali za saruji.
 
Tofali za saruji bei yake ni 1000/- au 1.100/- sasa nikitumia hizi senu naokoa vipi hela maana zenu ni ndogo kuliko za saruji maanake nitatumia almost mara mbili ya idadi ya tofali za saruji.
Uko sahihi. Tofali za cement ni ndefu kulinganisha na hizi interlock za udongo, ikimaanisha zitatumika nyingi.

Hapo gharama kidogo kwenye cement ya kujengea na hua haitumiki nyingi sana hata kwenye tofali za cement.

Tusubirie majibu ya mtaalam.
 
Kufyatulia site, udongo mnakuja nao au mnachimba site ya mteja? Sifikirii maeneo yote yana udongo unaofanana na kufaa kwa hizi tofali.

Udongo wa Kimara, Kigamboni na Kinondoni haufanani.
 
🏡 JENGA KWA TOFALI ZA INTERLOCKING – IMARA, ZA KISASA NA ZENYE GHARAMA NAFUU! 🏡

Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu.

💰 Bei zetu
.
📍Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali.
.
📍 Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali

✅ Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza gharama za usafirishaji.

Site iwe na MAJI tu.

Wasiliana nasi:📞 0764 635 014
 

Attachments

  • Screenshot_20260714_083137_Instagram.jpg
    Screenshot_20260714_083137_Instagram.jpg
    253.2 KB · Views: 3
  • wajenzibora_e05dd0af_1.webp
    wajenzibora_e05dd0af_1.webp
    178 KB · Views: 4
  • wajenzibora_e05dd0af_2.webp
    wajenzibora_e05dd0af_2.webp
    145.4 KB · Views: 4
  • wajenzibora_e05dd0af_3.jpg
    wajenzibora_e05dd0af_3.jpg
    175.4 KB · Views: 3
🏡 JENGA KWA TOFALI ZA INTERLOCKING – IMARA, ZA KISASA NA ZENYE GHARAMA NAFUU! 🏡

Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu.

💰 Bei zetu
.
📍Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali.
.
📍 Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali

✅ Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza gharama za usafirishaji.

Site iwe na MAJI tu.

Wasiliana nasi:📞 0764 635 014
 

Attachments

  • Screenshot_20260714_083137_Instagram.jpg
    Screenshot_20260714_083137_Instagram.jpg
    253.2 KB · Views: 5
  • wajenzibora_e05dd0af_1.webp
    wajenzibora_e05dd0af_1.webp
    178 KB · Views: 4
  • wajenzibora_e05dd0af_2.webp
    wajenzibora_e05dd0af_2.webp
    145.4 KB · Views: 4
  • wajenzibora_e05dd0af_3.jpg
    wajenzibora_e05dd0af_3.jpg
    175.4 KB · Views: 4
Weka vipimo vya tofali halafu ni hatari mtaalamu kujiandikia tu utafyatua tofali kwa udongo wa huku site huku ukijua sio kila udongo unafaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom