natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Natafuta mafuta ya samaki au Pamba

    Habari Wapendwa, Natafuta chimbo la mafuta ya samaki au mafuta ya pamba anajua tafadhari nijuze.
  2. Wana JF naombeni kazi ya customer care

    Jina: Bety Laizer Jinsia: Mwanamke Umri: 33 years old Elimu: Diploma ya Afisa Masoko Makazi: Arusha , Tanzania Uzoefu: Miaka 8 Email yangu ni tourismnewworldwide@gmail.com ,
  3. Natafuta sukari Kali ya unga ya viwandani kwa ajili ya utengenezaji wa juice

    Wadau naomba mwenye kufahamu wanapouza sukari Kali ya unga ya kutengenezea juice anifahamishe kwani Ninashida nayo. Sukari hiyo hutumika kutengenezea soda coca cola, pia naomba msaaada kwa mwenye kufahamu wanapouza Rangi ya ukwaju.
  4. S

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    Habari wana JF, Mimi ni kijana Mwenye umri wa miaka 24, Naitwa Isack Mussa. Ni muhitimu wa chuo kikuu (UDSM) course BCOMM HRM. Nimehitimu 2021 mpaka sasa sijafanikiwa kupata ajira. Nipo hapa kama familia kuomba msaada wa yeyote atakae weza fanikisha Mimi kupata ajira au kazi ya kuniingizia...
  5. M

    Wauzaji wa vifaa tiba (medical equipment) Tanzania

    Habari, Hill Medical Equipment ni kampuni inayo jihusisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa tiba(medical equipment) katika mikoa yote ndani ya tanzania. Pia hill medical equipment tunauza vifaa tiba vyenye ubora wa hali ya juu kwa bei elekezi ya serikali. Tunakalibisha taasisi, hospitali...
  6. Natafuta hizi bidhaa

    Nawasalimu ndugu zangu wanajukwaa. Poleni kwa majukumu, naomba kufahamishwa ni wapi nitapata hizi taa kwa Dar es Salaam.
  7. B

    Natafuta softwares

    Naomba kama kuna mtu anaweza nisaidia softwares OS na designing softwares Naomba sana wakuu 0744210614
  8. F

    Natafuta mke

    Natafuta mke/mchumba; 1. Awe na miaka 25-33. 2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD). 3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake. 4. Awe na hofu ya Mungu. 5. Awe mzuri na mwenye shape. 6. Awe anakaa Dar. 7. Awe Mkristo wa dhehebu lolote. Mimi; 1. Nina...
  9. Natafuta kazi private company au NGO's, nina Shahada ya Takwimu

    Habari wana JF! Natamani kufanya kazi kwenye private company au NGOs. Nina BSC. STATISTICS. Nimezitafuta sizipati. I work under minimum supervision.
  10. B

    Nani anamjua fundi wa kufunga Gearbox ya Nissan patrol Dar es Salaam

    Nina gari ambayo inahitaji kufungwa gearbox mpya lakini simjui fundi mwenye ozoefu na muaminifu hapa Dar ; wengi wa mafundi ninaowafahamu sio professional kwani sio waaminifu Ingawa unawalipa hela nzuri tu. Sasa kama kuna mtu anamfahamu fundi muaminifu na mzoefu anaeweza kuja kunifungia...
  11. J

    Natafuta mchongo wa Medical Doctor (MD)

    Nipo full registered medical board na nina Active License. Nipo Dar kwa sasa ila popote nakuja, part time or full time.
  12. J

    Natafuta kifaa cha kupimia ukavu wa mahindi na nafaka

    Habari natafuta kifaa cha kupimia ukavu wa nafaka, yaani kupima mahindi au nafaka nyingine zimekauka au zina ubichi kiasi gani Anayejua vinapatikana na bei zake anijuze
  13. B

    Natafuta desktop complete

    Iwe complete Ram 500 4 gb Bajeti 200,000 Naomba kuwasilisha
  14. J

    Natafuta dalali wa mazao Tabora

    Wakuu kwema, natafuta dalali wa mazao Tabora, nataka kununua karanga tani 16 na kuendelea Nichek inbox au reply uzi huu
  15. J

    Natafuta dalali wa mazao Tabora

    Wakuu kwema, natafuta dalali wa mazao Tabora, nataka kununua karanga tani 16 na kuendelea. Nichek inbox au reply uzi huu
  16. Natafuta kazi Udereva magari Makubwa/Madogo

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27,nimekuwa nikijaribu kutafuta kazi ya udereva kwa muda mrefu bila mafanikio mpaka nafirikia kwenda kusoma tena operator ili kuongeza wigo wangu katika soko la ajira. Nimejaribu kuandika barua tofauti katika ofisi tofauti kuomba nafasi ya kujitolea lakini...
  17. Natafuta mume wa kweli

    Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi. Kazi yangu ni mjasiriamali. Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu...
  18. Natafuta rafiki wa kike ambae naweza muoa hapo baadae

    Assalamu alaykum Wana jamiiforums Bila kupoteza muda, baada ya kupitia mengi katika maisha ya uhusiano sasa naona ni muda muafaka kwangu kurudi katika maisha ya kutafuta mke. Sifa. 1. Asiwe katika mahusiano 2. Dini: Awe muislamu, mchamungu, mwenye kuvaa hijab ya kisheria na mfanya ibada. 3...
  19. K

    Natafuta hostel au lodge ya bei poa Mkoani Mbeya

    Wakuu, mwezi wa tano mwanzoni nitakua mkoani mbeya kikazi kwa muda wa karibu miezi 4. Sitarajii kusafiri na familia yangu ila nategemea wife atakua ananivisit mara kwa mara. So nilikua naomba kujulishwa wapi kwa mkoa wa mbeya nitapata hostel ya bei rahisi kama zile wanazokaa watalii kule mikoa...
  20. Natafuta kazi ya udereva, nina uzoefu wa miaka miwili

    Mimi ni dereva natafuta kazi ya udereva. Nipo Dar Es Salaam, Kijichi Leseni Yangu ni Class C1,E,D. Nina Uzoefu Wa Miaka Miwili Cv (1)Elimu Form 4 cheti (2)Cheti Cha Udereva Umri wangu miaka 26 0756912507
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…