natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwl Evarist Mchele

    Nina million 5 natafuta gari

    Habari wakuu, katika kuupiga mwingi ndugu yenu na mimi nimeguswa na upako wa Bi mkubwa, sasa hizi million tano nilizo otea naombe mnishauri nitafute gari gani used. 1. Naishi mjini full rami (dsm) 2. KM 8 home to work na kurudi, 4go, 4return 3. Sina crue,watu wengi,familia kubwa ya kubeba 4...
  2. H

    Natafuta mke Muislam

    Wapendwa nimekuja kivingine kutafuta Rafiki/Mchumba/ Mke wa Pili Mimi naishi Moshi, natafuta mke wa Pili ~ Nina elimu ya Degree. ~ Muajiriwa na najitegemea.. ~ Mwili wa wastani (165cm hivi) ~ Ni muislam Mwanamke ninaye muhitaji; Awe na umri wa kuanzia miaka (30 hadi 37 hivi Awe ni Muislamu...
  3. lusanasaimon

    Natafuta mchumba (mke)

    Mimi bado nikijana, nina miaka 25 elimu yangu ni darasa la saba ninajishugulisha na biashara (maduka) Tanzania na Zambia, ninatafuta mchumba awe na vigezo hivi miaka 18/24, Awe na hofu ya mungu dini mkristo na awe na uhitaji kama wangu (ndoa) kuhusu elimu (yoyote) asiwe single mother...
  4. K

    Natafuta mchumba, upweke umezidi

    Habari, Natafuta mrembo tuanze safari kuelekea uchumba na tuyajenge vizuri kuelekea ndoa. Sifa zangu; Umri 27 Kazi: Nimeajiriwa Mkoa: Arusha Elimu: Degree Dini: Roman Catholic Mwanamke ninayemtaka Umri: 20-27 Elimu:Form four na kuendelea Kama upo tayari ni PM please.
  5. Gus Fring

    Natafuta mke makini haswa

    Mimi ni mwanaume mwenye miaka 31, mkazi wa Dar es Saalam, Mkristo, nnaejishughulisha. Elimu niliyonayo ni kubwa, urefu wangu ni 6'1 mrefu fulani hivi, maji ya kunde, sina mtoto wala sijawai kuoa. Natafuta mke wa kuoa, mwenye sifa zifuatazo; ~ Umri miaka 25 kushuka chini ~ Mweupe ~ Elimu yoyote...
  6. T

    Natafuta kazi ya HR Administrator

    Habari wanajamvi Natafuta kazi ya HR Administrator ninaishi Dar es salaam lakini kazi popote. Nawasilisha. Asanteni
  7. M

    Natafuta internship au kazi Electrical Engineering

    Habarini!! Nimesoma bachelor degree in Electrical Engineering pia nina diploma,pia nina leseni class C Electrical installation natafuta kampuni ya kufanya nae kazi ninaomba msaada wa internship au kazi Namba:0762136488 au missnzowatwb@gmail.com
  8. M

    Natafuta mwekezaji katika biashara au mtu atayekubali kuweka hela kwenye kila kazi na tutagawana faida

    Habari wakuu, Nimerudi kwenu kwa mara nyingine tena. Mwaka juzi (2021), nilikuja hapa kwenye jukwaa na kutafuta business partner ambaye atakuwa tayari kuwekeza kwenye Machine shop. Hii kwa maana ya kwamba mimi nitawekeza kwenye Ujuzi & Marketing na yeye atawekeza kwenye ununuzi wa machines...
  9. M

    Natafuta nyumba Arusha ya kupanga

    Natafuta nyumba Arusha ya kupanga maeneo ya Sakina, Ngarenaro shule ya msingi au Kambi ya Fisi...Budget 150000 tsh
  10. M

    Natafuta mke wa kuoa

    Natafuta mke wakuoa, mwenye sifa hizi Umri-25-40 Dini -yeyote Kabila -lolote Kazi- yeyote Sifa zangu ni Umri-34-37 Dini -mkristo Kazi-nimeajiriwa/kujiajiri Mwenye utayari anitafute kwa namba mke mtarajiwa awe na hofu ya Mungu. Pia awe anajitambua na anajua anachofanya .
  11. Kwitogelo

    Natafuta imersible water pump (shimge) 0.75hp

    Wakuu habari? Vibaka wameniotea bwana wakaamua kuniachia box lake tu, sasa nimezunguka kuitafuta nmekosa. Kama kuna duka kwa DSM hapa nielekezeni ase.
  12. Strictly Syrup

    Natafuta sehemu wanapofanya DTG Printing

    Habari, natafuta sehemu hapa Dar wanapofanya Ditect-to-Garment Printing. Nina designs zangu natamani sana ningeziprint kwenye tees (merch). Natanguliza shukrani.
Back
Top Bottom