Habari wakuu, katika kuupiga mwingi ndugu yenu na mimi nimeguswa na upako wa Bi mkubwa, sasa hizi million tano nilizo otea naombe mnishauri nitafute gari gani used.
1. Naishi mjini full rami (dsm)
2. KM 8 home to work na kurudi, 4go, 4return
3. Sina crue,watu wengi,familia kubwa ya kubeba
4...
Wapendwa nimekuja kivingine kutafuta Rafiki/Mchumba/ Mke wa Pili
Mimi naishi Moshi, natafuta mke wa Pili
~ Nina elimu ya Degree.
~ Muajiriwa na najitegemea..
~ Mwili wa wastani (165cm hivi)
~ Ni muislam
Mwanamke ninaye muhitaji;
Awe na umri wa kuanzia miaka (30 hadi 37 hivi
Awe ni Muislamu...
Mimi bado nikijana, nina miaka 25
elimu yangu ni darasa la saba
ninajishugulisha na biashara (maduka) Tanzania na Zambia, ninatafuta mchumba awe na vigezo hivi
miaka 18/24,
Awe na hofu ya mungu
dini mkristo na awe na uhitaji kama wangu (ndoa)
kuhusu elimu (yoyote)
asiwe single mother...
Habari,
Natafuta mrembo tuanze safari kuelekea uchumba na tuyajenge vizuri kuelekea ndoa.
Sifa zangu;
Umri 27
Kazi: Nimeajiriwa
Mkoa: Arusha
Elimu: Degree
Dini: Roman Catholic
Mwanamke ninayemtaka
Umri: 20-27
Elimu:Form four na kuendelea
Kama upo tayari ni PM please.
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 31, mkazi wa Dar es Saalam, Mkristo, nnaejishughulisha.
Elimu niliyonayo ni kubwa, urefu wangu ni 6'1 mrefu fulani hivi, maji ya kunde, sina mtoto wala sijawai kuoa.
Natafuta mke wa kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
~ Umri miaka 25 kushuka chini
~ Mweupe
~ Elimu yoyote...
Habarini!!
Nimesoma bachelor degree in Electrical Engineering pia nina diploma,pia nina leseni class C Electrical installation natafuta kampuni ya kufanya nae kazi ninaomba msaada wa internship au kazi
Namba:0762136488 au
missnzowatwb@gmail.com
Habari wakuu,
Nimerudi kwenu kwa mara nyingine tena. Mwaka juzi (2021), nilikuja hapa kwenye jukwaa na kutafuta business partner ambaye atakuwa tayari kuwekeza kwenye Machine shop. Hii kwa maana ya kwamba mimi nitawekeza kwenye Ujuzi & Marketing na yeye atawekeza kwenye ununuzi wa machines...
Natafuta mke wakuoa, mwenye sifa hizi
Umri-25-40
Dini -yeyote
Kabila -lolote
Kazi- yeyote
Sifa zangu ni
Umri-34-37
Dini -mkristo
Kazi-nimeajiriwa/kujiajiri
Mwenye utayari anitafute kwa namba mke mtarajiwa awe na hofu ya Mungu. Pia awe anajitambua na anajua anachofanya .
Habari, natafuta sehemu hapa Dar wanapofanya Ditect-to-Garment Printing. Nina designs zangu natamani sana ningeziprint kwenye tees (merch).
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.