NASA yafanikiwa kuikoa Dunia kuangikiwa na Kimondo(Asteroids)

Teknocrat

JF-Expert Member
Oct 20, 2018
3,816
8,454
NASA(National Aeronautics and Space Administration) imefanikiwa katika jaribio la kungonganisha sattelite ya DART(Double Asteroid Redirection Test) ikiwa katika mwendokasi wa mita 14,000 kwa saa, na kimondo cha Didymos(Dimorphus) chenye ukubwa wa eneo la mita 160 , na kuweza kukiyumbisha na kibadilisha muelekeo kwa muda zaidi ya nusu saa, endapo kama kingekuwa kinaelekea kuangukia katika sayari ya Dunia.

Hii hatua kubwa katika ulinzi wa sayari ya dunia endapo kama kutakuwa na tishio la kimondo kinachoelekea kuangukia sayari yetu na kusababisha maafa.

Kwa maana hiyo, taarifa za kisayansi zilizokusanywa kutokana na mafanikio haya kitasaidia kutengeneza kombora lenye uwezo mkubwa wa kuweza kugongana na kimondo na kukitoa kwenye muelekeo wa kuangukia sayari ya dunia.....(NASA)

1665525436927.png

1665525482272.png


1665525558522.png

NASA-DART-Asteroid-Collision.gif
 
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
 
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
Hata kipindi icho wanasanyansi wanasema mtu na mtu watawasiliana kwa sauti wakiwa mbalimbali kuna vilaza kama wewe walisema ni uongo
 
Inawezekana ikawa kweli.
Ila najiuliza hayo matofali ambayo yapo huko juu siku Mungu akiamua kuyashusha wataweza kuyazuia?
Kama Hilo moja tu limewapa shida.
Angalia sayari zinaelea,jua linaelea,mwezi unaelea,nyota zinaelea .vipi siku hivi vitu vikigongana?
HAKIKA MUNGU YUPO
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
 
Inawezekana ikawa kweli.
Ila najiuliza hayo matofali ambayo yapo huko juu siku Mungu akiamua kuyashusha wataweza kuyazuia?
Kama Hilo moja tu limewapa shida.
Angalia sayari zinaelea,jua linaelea,mwezi unaelea,nyota zinaelea .vipi siku hivi vitu vikigongana?
HAKIKA MUNGU YUPO
Hamna ukweli wowote mkuu!! Mambo ya huko juu Mungu mwenyewe ndio anajua anavyocontrol!! Hawa wanasayansi wa duniani hawana lolote wanaloweza kufanya endapo mambo yataparanganyika
 
NASA(National Aeronautics and Space Administration) imefanikiwa katika jaribio la kungonganisha sattelite ya DART(Double Asteroid Redirection Test) ikiwa katika mwendokasi wa mita 14,000 kwa saa, na kimondo cha Didymos(Dimorphus) chenye ukubwa wa eneo la mita 160 , na kuweza kukiyumbisha na kibadilisha muelekeo kwa muda zaidi ya nusu saa, endapo kama kingekuwa kinaelekea kuangukia katika sayari ya Dunia.

Hii hatua kubwa katika ulinzi wa sayari ya dunia endapo kama kutakuwa na tishio la kimondo kinachoelekea kuangukia sayari yetu na kusababisha maafa.

Kwa maana hiyo, taarifa za kisayansi zilizokusanywa kutokana na mafanikio haya kitasaidia kutengeneza kombora lenye uwezo mkubwa wa kuweza kugongana na kimondo na kukitoa kwenye muelekeo wa kuangukia sayari ya dunia.....(NASA)

View attachment 2384214
View attachment 2384215

View attachment 2384216
View attachment 2384217
Uongo wa kwanza.
Mwendokasi hupimwa kwa namna hii
1. Kasi ya sauti
2. Kasi ya mwanga
3. Kph

Hicho kipimo kwa mita labda kisome per seconds.


Inabidi sasa NASA wajenge zimamoto anga za juu ili Mungu atakapoichoma dunia waweze kuuzima moto.


Wanadamu v/s Mungu
 
Nilidhani watakuja wapenda sayansi ya anga tujadili, lakini nimevamiwa na wafia dini....
Vichwa vemejazwa hadithi za kusadidikika....na wanaamini mazima...poleni sana

Uongo wa kwanza.
Mwendokasi hupimwa kwa namna hii
1. Kasi ya sauti
2. Kasi ya mwanga
3. Kph

Hicho kipimo kwa mita labda kisome per seconds
Hii ndio tatizo tunalosema tuache kukariri vitabu vya histiria ya sayansi na tuanze kuielewa sayansi yenyewe ni nini...
Metre per hour is a metric unit of both speed (scalar) and velocity (Vector (geometry)). Its symbol is m/h or m·h−1 (not to be confused with the imperial unit symbol mph. By definition, an object travelling at a speed of 1 m/h for an hour would move 1 metre.

Unaweza kutumia conversion unit ukapata m/s au km/hr au mph
 
 
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa

Usiwaamini sana hao watu ni waongo mno, hayo mapicha unayoyaona hata Will Smith hutengeneza kwenye muvi zake

sema nasa nao waongo waongo snaaaa

Uongo wa kwanza.
Mwendokasi hupimwa kwa namna hii
1. Kasi ya sauti
2. Kasi ya mwanga
3. Kph

Hicho kipimo kwa mita labda kisome per seconds.


Inabidi sasa NASA wajenge zimamoto anga za juu ili Mungu atakapoichoma dunia waweze kuuzima moto.


Wanadamu v/s Mungu

FB_IMG_1660365406173.jpg


Hata babu yako wa miaka hiyo alikuwa mbishi kama wewe.

#YNWA
 
Mh kwa nini wasingekielekezea Urusi??
🤓 🤓
Nadhani sio muda mrefu hio inaweza kuwa kama silaha ya maangamizi...
Walikuwa pia wanafikiria badala ya kuligonga ili libadilishe mweleko , Je ingekuwaje wapeleke chombo chenye uwezo wa kutua kikiwa na booster rocket engine za kutosha, ili wakiendeshe kimondo kwa mwelekeo wanaotaka....
 

Nadhani sio muda mrefu hio inaweza kuwa kama silaha ya maangamizi...
Walikuwa pia wanafikiria badala ya kuligonga ili libadilishe mweleko , Je ingekuwaje wapeleke chombo chenye uwezo wa kutua kikiwa na booster rocket engine za kutosha, ili wakiendeshe kimondo kwa mwelekeo wanaotaka....
Acha ujinga wewe, unakoelekea utawaamini hao wanasayansi wakikwambia ukiwakabidhi mkeo utakuwa unaishi mbinguni na kwa ulivyo poyoyo utawakabidhi kweli....kuwa na kiasi kumuamini Binadamu.

Hao wanasayansi si ndiyo wengine walidai kwa uchunguzi uliofanyika umebaini Ke wanene duniani huzaa Watoto wenye akili sana kuliko Ke wembamba? Hata kwa akili zako za kuvukia barabara tu unakubaliana na huo upumbavu?

Amka usingizini wewe
 
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
Aise!!!!

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Hata kipindi icho wanasanyansi wanasema mtu na mtu watawasiliana kwa sauti wakiwa mbalimbali kuna vilaza kama wewe walisema ni uongo
Mkuu acheni kuwafanya watu wajinga nyinyi,hvyo vimondo vinaanguka kila siku na Mungu mwenyewe alishaweka mifumo maalum ili hayo mawe yasidondokee dunia....Waambie hao jamaa zako hzo chai za mchana hatuzitaki,Yupo aliyeumba Mbingu na Dunia na yeye pekee ndiyo mlinzi wa hii Dunia.
 
Back
Top Bottom