Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Hawa watu wa sudani kusini ambao walikuwa na njaa na kufukuzwa na waarabu wenzao wa Sudan mbona wamemugeuka kuwa maarufu ghafla sana
Wametoa wapi u special huo maana saiz kila ukingia mtandaon ni wao tu
Kwa wale wapenda madem ukitoa mimi...
Mnamo miaka kadhaa huko nyumba nilisoma sekondari nikiwa naishi Kwa ndgu. Sehemu ya makazi ya ndugu wale ninzaidi ya kilometa tatu. Nilivumilia mwaka mmoja mwaka wa pili nikahamia kwa Mzee ambaye tulikuwa na ukaribu upande wa mama.
Tumuite Mzee Hasan, Mzee wangu huyu alikuwa akiishi peke yake...
Hivi karibuni, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, amezua mjadala baada ya kudai kuwa ndani ya CCM kuna “mtandao” unaodhibiti mchakato wa uteuzi wa wagombea urais. Anasema mtandao huu umekuwa ukijitokeza mara kwa mara tangu mwaka 1995, na mara nyingine hufanikisha...
Kimsingi huwa nashindwa kuelewa kivipi msimamo wa Nelson Mandela baada ya kutoka gerezani ulibadilika?.
Wengine usema Mandela aliyeingia gerezani na Mandela aliyetoka gerezani ni wanaume wawili tofauti.
Baada ya kusoma historia yake unaweza kuona Mandela aliyefungwa jela alikua ni wamoto sana...
Mchakato wa kutafuta Mgombea Ubunge Pale Bukoba Mjini uligubikwa na hujuma kutoka kwa Byabato .
Pamoja na kwamba Byabato hakuwa sehemu ya wagombea Ila alikuwa akimwaga pesa ili kushinikiza Mbunge anayemtaka yeye na sio ambaye anakubalika na chama na wananchi.
Swali la kujiuliza hizi Pesa...
1. Maridhiano ya kweli au maigizo ya kisiasa?
Tumekuwa tukisikia kauli za “maridhiano” kati ya CCM na CHADEMA, lakini ukitazama Kwa makini vitendo vinavyoendelea, ni vigumu kuona dhamira safi ya hizo kauli za maridhiano.
Serikali hii hii inayosema inaleta amani na maridhiano, ndiyo hiyo hiyo...
Mwenye anajua jinsi ya kumsaidia kupunguza maumivu au kuondoa kabisa maumivu ya tumbo kwa mwanamke kipindi Cha period
Pisi yangu ikiwa period inateseka almost siku nzima anaumwa tumbo atari
Msaaada🙏🙏🙏
Mimi napenda muziki hata usiwe maarufu au hitsong. Watu wengi uwa wanashangaa nyimbo nazosikiliza wanasema ni nzuri sometimes wanakuwa hawajazisikia kabisa.
Nakupa list ya baaadhi ya nyimbo za hip-hop ambazo nazisikiliza sana.
1. Mercy Me - Jay Z
Blame game - Kanye West
Beware - Big Sean...
https://youtu.be/CR33rwJsPKg?si=q0zQsyQ7wFv3SY8h
Mnafahamu, Rais Samia anajenga mradi wa SGR kutoka Tabora hadi Kigoma kilometa 506 kwa TZS5.1Trilioni sawa na $2.2bn
Mtaku,buka mradi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka Tabora hadi Kigoma ni sehemu ya awamu ya sita ya ujenzi wa reli ya Standard Gauge...
Habari zenu Wakuu,
Naitwa Augustine na miaka 28 nimefanya kazi kwenye kampuni mbili tofauti ya civil engineer na Insurance broker yote hayo ndani ya miaka mitano.
Hivi sasa na miaka 28 na nilikuwa nataka kufungua kampuni yangu binafsi nilikuwa naomba mnishauri procedure nazo takiwa kuzifata...
Habari.
Msaada nawezaje kujiondoa kwenye smartphone niliyounganishwa na mwenza wangu??
Meseji, Voice note zote anazipata kwenye simu yake.Nitajiondoaje Ili asipate taarifa zangu kwenye smartphone yangu?
Msaada.
Aisee ndugu zangu ,hii sio masihara ni issue serious sana.
Ipo hivi, kila tatizo ninalopata nakimbilia kuuliza kwenye app ya chatGpt.Nimekuwa sijiamini Katika mawazo yangu binafsi.Pia nahisi IQ yangu inashuka .
Najihisi sina faida na najiona kuwa Bure kabisa.Sina motisha ya life.
Nataka niwe...
Acha kuvaa vipensi vifupi vinavyobana mapaja na makalio.
Acha kuwa motivated sana mambo ya kwenye tv.
Hakikisha kufuatilia majarida na story books anazosoma mtoto wako mdogo.
Mwanaume akimbilii kukaa na wadada kwenye hadhara.
Mwanaume hapendi vya bure bure na offer za kila mara
Mkutano ulikua wa kumteua Makamo!!.
Wahuni na Machawa wakiwa tayari wameshajipanga,
Anaibuka MTU ,kama vipi TUMPITISHE hapahapa? Makofi na kelele vikawa vingi.
Wakaibuka Machawa na Vilaza na wahuni wengi wengi kufanya Fujo za makofi na vigelegele.
Lini Samia alichukua Fomu? Licha ya...
👩❤️👨Achana na wake za watu. Hauwezi vumilia maumivu ya consquences zake.
🚗Ukinunua gari hakikisha una uhakika wa kurudisha hicho kiasi cha bei ya gari kirahisi.
🍑Kama demu ni mwenye matako makubwa hakikisha uwe na moyo mkubwa pia.
💵Kama ni bwana pesa nyingi hakikisha uwe na uvumilivu mwingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.