Katika Taifa lolote lile lililo huru si ajabu kuona majukwaa mbalimbali yakishiriki katika mijadala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi.
Jamii Forums imekuwa mstari wa mbele katika kuibua hoja nzito na nyingi juu ya Taifa letu la Tanzania licha ya kwamba Kuna wakati inapigwa vita.
Kama ambayo...
Vyombo vya habari vimekuwepo kwa karne na karne tangu kuanza kugunduliwa kwa teknolojia ya habari na mawasiliano, vikiwa na kazi kubwa ya kuhabarisha umma, na kuimulika jamii kiujumla. hata hivyo kufikia sasa Vyombo vingi vya habari hasa katika nchi za kiafikra vinashindwa kutimiza majukumu...
Kuna baadhi ya viongozi badala kusimama kwenye nafasi zao kufanya kazi wamekalia kuwasema watu ndio maana mnaleta uzembe mpaka watu wanapoteza mali zao.
Rais amewaweka mmsaidie kufanya kazi na sio kuwasema watu. Hivi mkiwasema watu mnafaidika na nini.
Fanyeni kazi acheni maneno, kila mmoja...
Job Position Cashier At Coast Mart Supermarket
Coast Mart Supermarket is located in the heart of Kibaha, in a new modern building with its 1,200 square meters meets the different needs of customers with entire departments.
dedicated to fresh, healthy and all other products. A store that...
27 Job Vacancies at Utumishi ajira portal. On behalf of The Mining Commission (TMC) andTanzania Civil Aviation Authority (TCAA) Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 27 vacant posts as mentioned below.
TECHNICIAN II (MINING) – 9 POST
TECHNICIAN II (GEOLOGY)...
Nawasalimu kwa Jina la JMT.
Kwa Mujibu wa makadirio ya Nchi zenye Uchumi mkubwa yaliyofanywa na shirika la fedha Duniani IMF kwa mwaka 2021,Tanzania imeporomoka na kushika nafasi ya 11.
Kwa miaka zaidi ya 10 ,Tzn imekuwa miongoni mwa Nchi zenye Uchumi mkubwa barani Africa kwa GDP,lakini kwa...
Je, ungepata nafasi ya kumshauri Rais kuhusu kuleta wawekezaji ungemshauri alete wawekezaji wa viwanda gani.
Toa maoni yako, hapa.
Maoni yako ni muhimu.
Natafuta vijana 10 wenye uwezo wa kutengeneza sabuni za unga na kipande.
Wawe na umri wa kuanzia miaka 23-33. Wawe wanaishi Dar es Salaam.
Kama upo njoo PM.
DIAMOND ACHANA NA WASHAMBA/MALIMBUKENI. TAMBUA NAFASI YAKO.
Na, Robert Heriel
Kitu ambacho kinakwamisha Watanzania tuliowengi ni USHAMBA/ULIMBUKENI.
Ulimbukeni ni like kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na...
Katika kitu ambacho kiliniumiza nafsi ni mechi ya Mei 8 kuahirishwa. Lakini kutokana na msimamo wa ligi ulivyo sasa. Naamini katika ule msemo wa mabeberu "Everything happens for a reason". Hivi ni nani kati yetu alietambua kua furaha ambayo Wanasimba tungeipata Mei 8 si lolote kama furaha ambayo...
Ni Wazi sasa hawa Vijana wamechoka. Kenani Kihongosi DC wa Iramba ateuliwa kuwa Katibu Mkuu UVCCM. Yule Msanii aliyekua Arusha wananchi wakamlalamikia.
====
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Kenani Kihongosi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)...
Kwanza nianze kwa kunena kuwa kwa mujibu wa muundo wa uongozi kwa katiba tuliyo nayo kwa sasa ni sahihi kuwa na wakuu wa wilaya.
Kwa vile sasa tuko awamu mpya (ya awamu ya sita) ni sahihi pia kwa Raise mpya kusuka timu yake ya uongozi. Namna mojawapo ya kufanya hivi ni kuteua viongozi...
Habari za Jumapili!
Leo napenda kuwahusia TRA Dodoma na Tanzania nzima kwa ujumla!
Naomba msikae ofisini, chukueni mda wenu kutembelea maeneo ya biashara iwe Kwa kusema au kwa kutosema, ili muone na kufanya ufuatiliaji juu ya matumizi ya mashine za Efd.
Nimekuwa Dodoma tena kwa wiki nzima na...
Wale wazazi vijana wengine walipata watoto wakiwa vyuoni na kuingia katika soko la ajira wakiwa ni wazazi bila ndoa. Wenginge walitengana na wenza, wengine walifiwa hupelekwa.
Kama uwezo upo, hakuna asiyependa elimu nzuri kwa watoto wake. Wakina Junior wengi hupelekwa kusoma English Medium...
Nimeamua kuandika habari za mpira wa miguu kwa sababu nyingi lakini za msingi ni kuwa soka ni ajira,biashara,n.k lakini pia ina mipaka yake.mpira wa miguu (Football or soccer) ni biashara kubwa sana sio Kwetu bali duniani kote. Sasa timu zetu kubwa ni mbili tu yaani Yanga na Simba. Hakuna nchini...
CHUO - SEHEMU
MUST - Iyunga
MCHAS (tawi la udsm) - Mjini
TIA - Airport ya zamani
MZUMBE - Foresti
SAUT - Foresti
UTUMISHI (tpsc) - soko matola
ADEM - Foresti
UCC (tawi la udsm) - uzunguni
CBE – Mjini
TEKU - Block T
OPEN UNIVERSITY - Foresti
TUMAINI - uyole
KILIMO - Uyole
USTAWI WA JAMII - Uyole...