Du yaani ingekua ikifika anniversary mwenza akisema yuko tayari kuendelea na safari, unachinja kuku kushukuru.Walioko ndani wanatamani kutoka
Walioko nje wanatamani kuingia(huu msemo niliusikia siku nyingi sana tangu niko mdogo).
Walioko nje pamoja na kuambiwa, kusikia na kuona mauza uza ya ndani bado wanataka kuingia
Wakifika wanadhoofika, wanatahayari, wajasiri pekee wanatoka na kuendelea na maisha
Wengi hufa kihoro na Monkey Smile...
Life is full of mysteries.
Kama unavaa viatu size 8, unakuta kiatu cha Gucci kwenye mtumba lakini ni size 7. Kwasababu ya jina na uzuri wa kiatu unasema isiwe tabu. Kilazimishe mguuni, marafiki na wapambe wakusifie umependeza lakini maumivu unayo yapata yanakwenda moja kwa moja moyoni.Ndoa ni nzuri mkikutana watu waelewa juu ya maisha na asili yake! Ila ndoa ni ngumu sana endapo mmoja atakuwa perfectionist na hiki ndio kinaua furaha katika ndoa nyingi regardless ya changamoto za kimaisha😅
Du yaani ingekua ikifika anniversary mwenza akisema yuko tayari kuendelea na safari, unachinja kuku kushukuru.
Nilikua ninaongea na work mate mwanaume. Aliniambia wanaume ni wawindaji, mwanaume akikamata windo atalitunza. Matatizo wanawake wanapowinda mwanaume, unamfanya asiwe na zile amsha amsha.Yeah, watu wanabadilika kadri muda unavyoenda.
Uliyemkubali leo kesho unashangaa....!!
Ndo yeye au alikuwa mzimu wa ukoo wao.....!!😅😅
Nilikua ninaongea na work mate mwanaume. Aliniambia wanaume ni wawindaji, mwanaume akikamata windo atalitunza. Matatizo wanawake wanapowinda mwanaume, unamfanya asiwe na zile amsha amsha.
Ndoa ni tamu kama unapendwa. Kuna wanaoishi kwenye ndoa kwa mazoea hao ninawapa pole.all in all ndoa ni taamu
Nakumbuka enzi hizo nilipojilipua kuoa wengi walinitisha sana, mwaka wa sita huu naelekea kuwa legend
Kiapo hata Kila mwisho wa mwezi kwangu poa tu
Ndoa ni tamu kama unapendwa. Kuna wanaoishi kwenye ndoa kwa mazoea hao ninawapa pole.
Hii avatar huwa naipenda Sana vile ilivyo na bashashaWalioko ndani wanatamani kutoka
Walioko nje wanatamani kuingia(huu msemo niliusikia siku nyingi sana tangu niko mdogo).
Walioko nje pamoja na kuambiwa, kusikia na kuona mauza uza ya ndani bado wanataka kuingia
Wakifika wanadhoofika, wanatahayari, wajasiri pekee wanatoka na kuendelea na maisha
Wengi hufa kihoro na Monkey Smile...
Life is full of mysteries.
Wanaume wengi (si,wote) tunadhan sisi ndo tumehangaika kutongoza,kukubaliwa ,kuchumbia na kutoa mahari na hatimae ndoa bila kujua kwamba mwanamke ndo amekuseti na kupangilia kila kitu ili uingie mzima mzima...ukishaingia ndo sasa ana execute ile plan yake ya kukupata wewe na hapo,ndo mwanzo wa kuona ndoa chungu..Nilikua ninaongea na work mate mwanaume. Aliniambia wanaume ni wawindaji, mwanaume akikamata windo atalitunza. Matatizo wanawake wanapowinda mwanaume, unamfanya asiwe na zile amsha amsha.
Wajasiri pekee ndo wanatoka na kue delea na maisha....Walioko ndani wanatamani kutoka
Walioko nje wanatamani kuingia(huu msemo niliusikia siku nyingi sana tangu niko mdogo).
Walioko nje pamoja na kuambiwa, kusikia na kuona mauza uza ya ndani bado wanataka kuingia
Wakifika wanadhoofika, wanatahayari, wajasiri pekee wanatoka na kuendelea na maisha
Wengi hufa kihoro na Monkey Smile...
Life is full of mysteries.
Ndoa ni nzuri mkikutana watu waelewa juu ya maisha na asili yake! Ila ndoa ni ngumu sana endapo mmoja atakuwa perfectionist na hiki ndio kinaua furaha katika ndoa nyingi regardless ya changamoto za haswaaa