Habari,
Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam.
Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi.
Asanteni.
Habari za leo wakuu.
Lengo la kuandika uzi huu ni kuomba nafasi ya kazi.
Nina uzoefu wa kazi katika Microfinances kama loan officer, Data clerk, pia katika NGO's kama social worker.
Pia nina uwezo wa kufanya kazi hata kwenye field nyingine.
Naomba mnisaidie connection katika kampuni au NGO's...
Peking Healthcare limited; a newly growing company located in Ilala -Dar es salaam which offers high level quality health services is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries located in Ilala -Dar es salaam. Currently there are two (02) vacancies to be filled...
View Vacancy - Senior Programme Manager (04/23 DAR)
The British Government is an inclusive and diversity-friendly employer. We value difference, promote equality and challenge discrimination, enhancing our organisational capability. We welcome and encourage applications from people of all...
Tunahitaji Mhazili - Secratarial awe mwanamke kati ya miaka 20-35, mwenye cheti cha uhazili na uzoefu wa kufanya kazi kwa kujitegemea. Awe na uwezo wa kufanya muda wa ziada walau mpaka saa 2 Usiku muda mwingine. Muda wa Kuingia Ofisini saa 2 asubuhi hadi saa 11 jioni.
Mshahara kwa mwezi...
HD Mechanic
Shinyanga, Tanzania, United Republic of
TRENDING
JOB DESCRIPTION
JOB ADVERT - HD MECHANICS (01 VACANCY)
Bulyanhulu Gold Mine is seeking to recruit HD Mechanics to join our team. The successful candidate for this position is expected to align with the Barrick DNA and drive a change...
NAFASI YA KAZI
Habari, mtu yoyote ambaye amesomea au anajua masuala ya kudispense madawa (Duka la Dawa) aje inbox ASAP.
Duka lipo Ubungo Kibangu.
Conditions
1. Awe wa kike na Awepo Dar es salaam ( preferably Ubungo)
2. Salary - 120,000/= kwa mwezi.
3. Conditions nyengine zitakuwa discussed...
Habari wana ndugu, natumaini mpo salama kabisa na Bwana anazidi kuwabariki katika shughuli zenu za maisha ya kila siku.
Kuna ndugu yangu ana magari mawili, moja ni Hiace na nyingine ni Tata (coaster) na anatafuta madereva wawili wa kuendesha hayo magari na yanapatikana Nairobi yote
Kuna nafasi...
Habari wanandugu,
Mimi ni graduate geologist kwa kipindi cha mwaka mmoja nimejaribu kuomba kazi kwenye migodi mbali mabali kakini nimeshindwa kabisa kuitwa hata sehenu moja
Nawaza huenda sina connection labda ndo maana
Nafasi ya kazi Konfa Enterprises limited 1. Online sales supervisor 2. Office respetionist 3. Shop manager 4. Assistant Shop Manager, Human Resources Manager etc
=========
KONFA ENTERPRISES LIMITED General Trading Company established in 2006, Konfa has vast network of professionals...
Kazi: Msimamizi wa Ofisi
Mahali: Moshi - Kilimanjaro
Majukumu
Kusimamia shughuli za ofisi
Kutunza hesabu za ofisi
Kufatilia mambo ya ofisi kwa wadau mbalimbali
Sifa
Elimu ya kidato cha sita na lazima awe na ufaulu wa somo la hesabu kuanzia alama 'B'
Akiwa na cheti cha masomo ya biashara au...
Habari Wananzonde jukwaani
Nimesajili shirika NGO mwaka 2020 ina usajili wa kufanya kazi mikoa yote Tanzania bara (Usajili wa kitaifa) lakini Hadi leo sijafanikiwa kupata fund Mahali popote .
Nimejifanyia tathmini nimegundua kwamba Sina watu wenye weledi kwenye hii NGO. Kwani 99% ya wanachama...
Anaitajika mwanamke mmoja tu
Eneo la kazi ni Kariakoo Mtaa wa aggrey na Ndanda dukani/kwenye kampuni sanga kariakoo
Kazi yake ni kutengeneza matangazo madogo madogo na kuendesha account za ofisi ikiwa na application za Sanga Kariakoo zilizo google play na apple store pamoja na website ivyo...
Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta
Vigezo
Awe mkazi wa Arusha Mjini.
Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta.
Awe anajua vizuri spea za kompyuta na desktop na jinsi ya kubadilisha.
Awe anajua kutoa kauli nzuri kwa wateja( high capable in customer care).
Awe anajua...
Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta
Vigezo
Awe mkazi wa Arusha Mjini.
Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta.
Awe anajua vizuri spea za kompyuta na desktop na jinsi ya kubadilisha.
Awe anajua kutoa kauli nzuri kwa wateja( high capable in customer care).
Awe anajua...
Habari wakuu
Tafadhali kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata fursa ya kazi iwe katika taasisi, kampuni au biashara yake au kwa mtu mwingine anayemfahamu nitashukuru sana.
Nina uzoefu katika kazi za IT, Sales and marketing,Project Management pia nipo tayari kujifunza na kufanya kazi yoyote ya...
AMOPRIC PHARMACY inatangaza nafasi ya kazi ya kuuza Pharmacy katika Pharmacy zake zilizopo maeneo ya Tandika, Vingunguti na Chanika.
Muombaji awe na sifa moja wapo kati ya hizi:
1) Addo
2) Pharmaceutical Dispenser
3) Pharmaceutical Assistant
Maombi yote yatumwe kwenda:
E-mail...
Wapendwa
Kuna dogo amemaliza Degree ya Ualimu ( Arts- Kiswahili & History)
Kama kuna mtu anaweza kumuunganishia kazi; karibu Inbox tuyajenge
Mwenyewe Yupo Dar ila anaweza kwenda mikoani kulingana na offer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.