Habari wazee
Sikuwahi kufikiria kuwa siku moja ningeweza kumpata mrembo mzungu. Sio kwa ubaguzi, la hasha lakini kwa sababu maisha yangu Dar es Salaam yalikuwa ya kawaida tu. Nilikuwa kijana wa mtaa wa Kinondoni, na maisha yalikuwa ya harakati tu kazi, ndoto, na vuta subira.
Siku moja jioni...