mwigulu nchemba

Mwigulu Nchemba
Mwigulu Lameck Nchemba Madelu ni mwanasiasa na mwanachama wa chama cha kisiasa nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mwigulu alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango tangu 31 Machi 2021, mpaka July 2023 ambapo wizara hiyo ilivunjwa na kuwa wizara mbili yaani Wizara ya Fedha inayoongozwa na Mwigulu Nchemba na Wizara ya Mipango na Uwekezaji inayosimamiwa na Waziri Kitila Mkumbo.
  1. Waufukweni

    PostGE2025 Waziri Mkuu, Mwigulu umeishiwa hoja, ziara zako zote unaongea vitu vilevile, wananchi siyo wajinga

    Sioni haja ya Waziri Mkuu kuendelea na ziara zako ikiwa kila unapokwenda unarudia mambo yale yale uliyoyaongea sehemu nyingine, kana kwamba wananchi ni wajinga wasioyajua mambo; hali hii ni kuendelea kutumia vibaya kodi za wananchi. Ishu ya huyo mwanaharakati aliyelipwa tangu ukiwa Arusha...
  2. DuaZaMama

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu: Mpango wa Bima ya Afya kwa wote kuanza Januari. Hakuna kushikilia maiti

    waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa mpango wa bima ya afya kwa wote unatarajiwa kuzinduliwa kuanzia mwezi januari 2026, huku akizihimiza hospitali zote nchini kujiandaa kikamilifu kwa ajili ya utekelezaji wa mpango huo. Ameyasema hayo leo...
  3. DuaZaMama

    Waziri mkuu Nchemba: Kama mkandarasi ametumia fedha kwingine kamata Passport yake

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Lameck Nchemba amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed kumuita mkandarasi aliyekua anajenga barabara ya Kitai-Ruanda na kumtaka aendelee na ujenzi wa barabara hiyo kwa haraka kwani alishakabidhiwa malipo...
  4. H

    Dkt. Mwigulu: Jenista Mhagama alikuwa ni kiongozi anayehakikisha kazi anazofanya zinakuwa na matokeo

    Mheshimiwa Jenista Mhagama alikuwa ni kiongozi anayehakikisha kazi anazofanya zinakuwa na matokeo - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba. 📍Dodoma. 🗓️Desemba 11, 2025.
  5. Ojuolegbha

    PostGE2025 Waziri Mkuu: Watu wa majiji msichukue bidhaa za raia, Ndio Ofisi

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza Halmashauri zote Nchini Majiji kutochukuwa bidhaa halali za Wananchi ambao ni wafanyabiashara wadogo wanaojitafutia riziki zao Barabarani kulingana na mitaji yao hata kama wakikutwa na makosa ushughulikiwe utaratibu tu! na sio kuua mitaji yao midogo...
  6. McLaren

    PostGE2025 Prime Minister Mwigulu Nchemba: Citizens who will not have urgent matters on December 9, take the day off and stay at home

    The Prime Minister of the United Republic of Tanzania, Dr. Mwigulu Nchemba, has conveyed the greetings of the President of the United Republic of Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan, to the people of Tanzania, marking the commemoration of Tanzania Mainland's Independence Day, which is celebrated...
  7. Fbn

    Mwigulu Nchemba anapata wapi nguvu ya kusema watu walilipwa kuandamana wakati hayo yakifanyika yeye alikuwa ni Waziri wa Fedha?

    Hii nchi bwana ukisikia kesi ya mbuzi anashirikishwa mwizi wa mbuzi ndio sasa. MwiguLu alipokuwa waziri wa fedha kila pesa ilitaka ipitie kwake ila leo kawa waziri mkuu anasema walilipwa bilioni 5 vijana kabla ya maandamano na kijana mmoja ambaye tunga story. Tena waziri wa fedha mwenye sihihi...
  8. M

    PostGE2025 Wahadhiri wa Kiislam: Mwigulu Nchemba ameanza kupigwa fitina kwasababu siyo Mkatoliki

    Sheikh anasema kwasababu Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba siyo Mkatoliki zimeanza kuibuka fitina mbalimbali na kupigwa vita kutoka kwa Wakatoliki ili kumtoa kwenye reli
  9. Just Pray

    PostGE2025 Padri Kitima amkana Mwigulu, asema tulikuwa na mazungumzo binafsi si ya TEC

    Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, amesema kikao chake na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, kilichofanyika Novemba 20, 2025 katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni mkoani Dar es Salaam kilikuwa cha binafsi...
  10. Ponjoro wa Kinondoni

    Mwanachama wa JamiiForums Mwigulu Nchemba njoo hapa

    Ndugu mwigulu nchemba naomba dola lakimoja chap. Guys akiniwekea hiyo hela ndio aje sasa aseme ni nani aliyemchagua, guys huyu hana sifa ya kuwa hata diwani wa kata.
  11. Idugunde

    Maoni ya Idu: Ridhiwani Kikwete ana hoja kuliko Waziri mkuu Mwigulu Nchemba

    Simtetei kuwa hausiki na ufisadi na nepotism inayombeba kiasi cha kupewa wizara nyeti kama hii anayoisimamia. Lakini kitendo cha kukilri hadharani kuwa tuhuma za ufisadi dhidi ya viongozi wa CCM ndio zilisababisha wananchi kuichukia CCM na kuandamana Oktoba 29 ni dhahiri kuwa yupo makini kuliko...
  12. ChekoFagia

    PostGE2025 Waziri Mkuu awatembelea marafiki zake mtaani 'Nimewakumbuka masela'

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameshere video akiwa anawatembelea majirani zake na kusalimiana nao. Mwigulu ameandika ujumbe huu baada ya share video hiyo “Nikiwa naelekea kwenye shughuli za kiserikali, nilipata pia muda wa kusalimiana na majirani zangu. Ujirani mwema...
  13. McLaren

    PostGE2025 Amani Golugwa: Mwigulu anapotosha. Suala la Katiba halikuletwa ndani ya miezi 3

    Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Amani Golugwa, amemtaka Dkt. Mwigulu Nchemba kuacha kupotosha umma kuhusu madai ya msingi ya wananchi juu ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Amesema madai hayo hayakuibuka ndani ya miezi mitatu kuelekea uchaguzi mkuu, bali yalianza muda mrefu uliopita...
  14. Fbn

    PostGE2025 Dkt. Mwigulu huwezi kusema nchi sio mali ya Serikali wakati ulisema pesa za Mama ukiwa Waziri wa Fedha

    Sijui kama mada inaweza kuelezeka hapo juu. Yaani leo matatizo yote na madeni ni yetu ila wakifanya yao ni yao siyo ya wananchi. Nakumbuka kauli yake kuwa tuamie Burundi na leo umekuwa Waziri Mkuu unajifanya kuwa ni mali yetu sote halafu hutaki kujua waliokufa unataka kujua nchi ya vitu sio watu.
  15. Miss Natafuta

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu, tunaomba upambane na Wachina wamegoma kuondoka kwenye biashara za wazawa

    Wachina wanatudharau sana jamani Pamoja na kupitisha Sheria Kali Bado wanaendelea na biashara kama hakuna kitu Ni dharau sana
  16. Ojuolegbha

    PostGE2025 Dkt. Mwigulu: Tanzania ni mali yetu sote, si mali ya Serikali wala Chama cha Siasa

    𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨: 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗡𝗜 𝗠𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗘𝗧𝗨 𝗦𝗢𝗧𝗘, 𝗦𝗜 𝗠𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗦𝗘𝗥𝗜𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗪𝗔𝗟𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗠𝗔 𝗖𝗛𝗔 𝗦𝗜𝗔𝗦𝗔 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Tanzania ni mali ya Watanzania wote wala si ya Serikali au chama cha siasa na hivyo kila mmoja anapaswa kuilinda. “Tanzania si mali ya Serikali, Tanzania si mali ya...
  17. McLaren

    Based on Mwigulu's statement, yes it's possible for Tanzania to have a brand new consitution in less than 3 months

    So for a long time now, CCM has been repeating the same old line: “There isn’t enough time to make a new constitution.” And guess what? On November 26, during Mwigulu's press conference, the same talking point came up again, that drafting a constitution three months before an election is...
  18. Beira Boy

    Ndugu zangu, Waziri Mkuu hatuna hapa! Ni kichekesho na kasheshe

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Kwanza anaongea kama kakatwa kichwa Pili hajitambui Tatu hajielewi Nne anajaribu kwenda na beet za anko Magu lakin hiyo karama hana Tano ni mshamba na limbuken Waziri mkuu hatuna Full stop LONDON BOY
  19. Doctor Mama Amon

    PostGE2025 Tahakiki ya Tamko la Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, kwa Wahariri, 25 Novemba 2025: Mazingira, Maudhui, Mapengo, Tathmini na Mapendekezo

    Tahakiki ya Tamko la Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, kwa Wahariri, 25 Novemba 2025: Mazingira, Maudhui, Mapengo, Tathmini na Mapendekezo 1. UTANGULIZI KUHUSU TAMKO Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, ameongea na wahariri wa vyombo vya habari vya Tanzania mchana wa leo, tarehe 25...
  20. Genius Man

    Nchi ipo kwenye ukimya mzito Mwigulu ndio kila siku yeye anasikika kwenye vyombo vya habari yani nchi kama vile haina serikali ile iliyoshinda kwa 98%

    Nchi ipo kwenye ukimya mzito mwigulu ndio kila siku yeye anasikika kwenye vyombo vya habari yani nchi kama vile haina serikali ile iliyoshinda kwa 98%. Mwigulu naye akinyamaza ndio basi nchi nzima itakuwa kimya kama vile haina serikali, huyu jamaa anajitahidi sana kuongea ongea kila siku na...
Back
Top Bottom