Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Februari, 2026, fursa za ajira 625,273 zimezalishwa Tanzania ambapo kati ya ajira zilizozalishwa, ajira 242,656 za wazawa zilitokana na vibali 12,549 vilivyotolewa kwa wageni.
Mwigulu amesema hayo April 01, 2026 Bungeni Jijini Dodoma wakati...