mwigulu nchemba

Mwigulu Nchemba
Mwigulu Lameck Nchemba Madelu ni mwanasiasa na mwanachama wa chama cha kisiasa nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mwigulu alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango tangu 31 Machi 2021, mpaka July 2023 ambapo wizara hiyo ilivunjwa na kuwa wizara mbili yaani Wizara ya Fedha inayoongozwa na Mwigulu Nchemba na Wizara ya Mipango na Uwekezaji inayosimamiwa na Waziri Kitila Mkumbo.
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Fedha zinakuja lakini kila mgonjwa akienda hospitali anaambiwa akanunue dawa, pale hamna, TAKUKURU chunguzeni

    Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba leo Machi 13, 2026 akizungumza na wananchi wa eneo la Majalila, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi ameagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi kufuatia Serikali kupeleka Fedha za dawa lakini kila mgonjwa akienda hospitali anaambiwa akanunue dawa, pale hazipo...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Tusinyang'anye watu ardhi kwa kisingizio cha miradi ya maendeleo

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 13, 2026 akizungumza na wananchi wa eneo la Majalila, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi amesema kuwa Rais ameshatoa maelekezo kuwa tusinyang'anye wananchi ardhi kwa kisingizio cha miradi ya maendeleo
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Mpanda mna Mbunge makini sana, msituletee Mbunge mpya ambaye hajui hata lilipo jengo la Utawala

    Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba leo Machi 13, 2026 akizungumza na wananchi wa eneo la Majalila, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi kuhusu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Selemani Kakoso ambaye ni Mbungu wa Mpanda.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba mkoa wa Katavi

    SASA NI KATAVI, ZIARA YA KIKAZI MHE. DKT. MWIGULU NCHEMBA, WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 📆 IJUMAA – MACHI 13, 2026 🕰️ KUANZIA SAA 5 ASUBUHI Lengo la Ziara: 1. Kuweka Jiwe la Msingi Mradi wa Maji wa Miji 28 – Shanwe. 2. Kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Barabara ya...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu amjulia hali Diwani wa Kata ya Kidaru, Ndugu Philipo Manguli wa Iramba, mkoani Singida

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 12, 2026 amemjulia hali Diwani wa Kata ya Kidaru, Ndugu Philipo Manguli wa Iramba, mkoani Singida, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma.
  6. BigTall

    JamiiForums Tanzania Mwananchi amwambia Mwigulu Nchemba "Diamond alituahidi Milioni 60 kuchangia ujenzi wa Shule, hajatekeleza"

    Mwananchi mmoja mkazi wa Mtaa wa Senti, uliopo katika Wilaya ya Sumbawanga Mjini mkoani Rukwa, ametoa malalamiko yake kwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, akieleza kuwa hadi sasa ahadi iliyotolewa na msanii maarufu wa muziki wa Bongo Flava, Diamond Platnumz, ya kuchangia kiasi cha...
  7. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Mpaka umauti unamfikia Magufuli Je Mwigulu alikua na cheo gani? Kama hakua na cheo chochote basi mshapata jibu

    Magufuli pamoja na mapungufu yake yote alipenda watu waadilifu wasio na makandokando ndo maana alivyomstukia kondakta alimweka pembeni na kweli kondakta alikua team mtandao. Je wakati Magufuli mpaka umauti unamfikia huyu Mwigulu alikua ana cheo gani katika serikali ya Magufuli? Kama alikua...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Mawaziri wekeni kwenye sheria watu anapolipwa mkandarasi, pesa zisizo zake ziende moja kwa moja kwa wale wanaofanya kazi

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 9, 2026 akizungumza na wananchi wa Namanyere, mkoani Rukwa ametoa maelekezo kwa Mawaziri kuweka kwenye sheria kwamba mkandarasi anapolipwa fedha zake, zile ambazo si zake ziende moja kwa moja kwa watu waliofanya kazi. Ametoa agizo hilo baada ya...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Vita ya Urais 2030, CCM imeshawasetu Mwigulu na Emmanuel Nchimbi wasiweze tena kugombea urais, January Makamba Out, ni options gani zimebaki?

    Kwa utamaduni wa ccm mtu akishahudumu kwenye nafasi kubwa kama waziri mkuu, spika, makamu wa rais, vyeo hivyo vitamtosha hadi atapostaafu. Pia kuna utanaduni wa kubadilisha marais kwa dini, akitoka Mkristo ataingia Muislam hasa wa Zanzibar hawa wote walikuwa wanaonekana kuwa marais 2030 lakini...
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    Ugomvi au Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi tatizo ni Urais. Mmoja anajitapa ni mtoto wa Masikini. Kwamba aliua fisi na Chui wakati analinda Ng'ombe hivyo hawezi kushindwa kuwalinda watanzania. Anazunguka Tanzania nzima kujijenga kisiasa na kutenegenza pesa za per diem.. Anaongea kwa kufoka...
  11. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Hii ndio Ballistic Missle airushe Pasco Mayalla kwenda JAB na Mwigulu Nchemba

    https://youtube.com/shorts/MEqA4gkHiEk?si=2gsyCugE6mSwPCdL Akirusha huu mtungi unaweza kumuokoa au ndio jamaa wamejipanga hata akileta ushahidi gani lazima wamtungue
  12. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba jiulize swali moja tu utendaji kazi wako unaweza kulingana na wa Kassim?

    Namna ya kutatua kero za wananchi. Kutoa maagizo na hata kushughulikia watendaji wa serikali? Waziri mkuu ndie msimamizi mkuu wa shughuli za serikali. Marehemu Sokoine alikuwa msimamizi mkuu wa shughuli za serikali. Maana hata maagizo yake yaliogopwa. Vivyo hivyo kwa Kasim mstaafu ambae juzi...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Paschal Mayalla: Mwigulu Nchemba hakufurahia Majaliwa, Warioba na Pinda kushangiliwa kwenye mazishi ya Kardinali Pengo

    "Na nikamsikia jana mheshimiwa Waziri Mkuu akisema mimi sibabaiki mambo ya kupendwa na kushangiliwa, mimi sifanyi vitu ili nishangiliwe...yaani hiyo maana yake kwa sisi wanasaikolojia ina maana aliumia, yaani mtu anashangiliwa, Waziri Mkuu mstaafu halafu mimi nipo sishangiliwi! yaani sasa ili...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri wakati Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba akifungua mkutano wa bodi za wakurugenzi za mamlaka za maji safi na usafi wa mazingira

    ▪️Mkutano huo unafanyika katika hoteli ya Ngurudoto-Arusha, Februari 24, 2026 📌 Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amekwamua miradi iliyoshindwa kutekeleza kwa muda mrefu na ameibua miradi mipya katika maeneo ambayo yalikosa maji kwa muda mrefu. 📌 Tunatakiwa tushinde ‘Site’, pale ambapo fedha ipo...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba akagua maendeleo mradi wa maji Sinya

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 23, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Majisafi wa Sinya–Namanga unaotekelezwa eneo la Sinya, Longido mkoani Arusha. Mradi huo unaotarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji hadi lita 4,100,000 kwa siku, unatekelezwa na mkandarasi M/s. Zongii Contractors...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba (PhD): Soma hapa

    Mh. Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania nakukaribisha Arusha. Tunachokuomba saa ya kusikiliza kero za wananchi, watu wako ndio wapange utaratibu bila kuingiliwa na oote katika mkoa huu Ili haki itendeke uambiwe ukweli. Mweshimiwa tunakusisitiza wasaidizi wako ndio wapange utaratibu...
  17. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Same: Mwigulu Nchemba aamuru aliyejenga matundu ya vyoo tokea 2020 alipwe pesa zake papo hapo na watendaji wa Halmashauri

    Waziri Mkuu akiwa ziara Wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro, ametatua kero ya mwanaume mmoja ambaye alijenga matundu ya vyoo 22 mwaka 2020 katika shule ya Sekondari Gonja, lakini mpaka leo 2026 alikuwa hajalipwa. Mwigulu Nchemba ameamuru watendaji wa Halmashauri wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya...
  18. H

    JamiiForums Tanzania Ndani ya wiki mbili vifaa viwe vimefungwa - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

    Ndani ya wiki mbili vifaa viwe vimefungwa - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ———————————- Amesema hayo leo Februari 13, 2026 alipokagua na kufungua jengo la wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Handeni mkoani Tanga ambalo ujenzi wake umegharimu sh. milioni 426.
  19. PAYE

    JamiiForums Tanzania Mwigulu ataka TAMISEMI 'wakate safari na Chai' kujenga madarasa

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa maagizo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), kwamba ifikapo mwisho wa Februari 2026 awe amefikisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika Shule ya Msingi Imani iliyopo Mkata Magharibi, kutokana...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Watumishi wa BoT, Serikali wapo kwenye 'Kausha Damu'

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewatahadharisha Watanzania juu ya ukopeshaji wa fedha usio rasmi, maarufu kama "Kausha Damu," akitaja kuwa ni mfumo wa kinyonyaji unaowadumaza wananchi kiuchumi. Akizungumza jijini Dodoma leo, Februari 5, 2026, wakati akizindua mitaji ya shilingi...
Back
Top Bottom