mwigulu nchemba

Mwigulu Nchemba
Mwigulu Lameck Nchemba Madelu ni mwanasiasa na mwanachama wa chama cha kisiasa nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mwigulu alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango tangu 31 Machi 2021, mpaka July 2023 ambapo wizara hiyo ilivunjwa na kuwa wizara mbili yaani Wizara ya Fedha inayoongozwa na Mwigulu Nchemba na Wizara ya Mipango na Uwekezaji inayosimamiwa na Waziri Kitila Mkumbo.
  1. Carlos The Jackal

    Mwigulu una vyeti ila IQ yako ni ndogo. Ujinga na roho mbaya huenda pamoja na watanzania si wajinga tena

    Mwajijua, Uongozi wenu wa kiharamu ni matokeo ya matendo ya kishetani, na hatima yake Mmeondokewa na HEKIMA NA BUSARA ZA KIMUNGU Kwenu nyinyi, Uhai ni kakitu kadogo kasiko thamani Wala hakafai kuzungumziwa. Ila Uharibifu wa Mali zenu ulofanywa na Watanzania Waandamanaji Waloumizwa na Ufisadi...
  2. L

    Pole sana Mwigulu: Tunajua Kwamba unatetea ugali wako na watoto wako

    Hali ya utekaji nchini imekithiri na HUWEZI kufananisha utekaji Unaondelea na Yale yaliyo kuwepo Kibiti. Itoshe kusema ya kwamba kama rasilimali za nchi zitaendelea kuwanufaisha wachache na kuwaacha wasiokuwa nacho wakibaki maskini Basi tambua hakuna Mwananchi atakayepokea hizo hela kutoka kwa...
  3. K

    Kwa mara ya kwanza tuna Waziri Mkuu chawa na serikali

    Kwa mara ya kwanza tuna waziri mkuu Chawa na serikali fake! Mwigulu ndiye waziri mkuu ambaye kazi yake kubwa sio uendeshaji bali ni uchawa uongo uongo na kujipendekeza. Majaliwa alijitahidi sana kuwa kiongozi ambaye anajiepusha na utekaji, uongo, lakini alishidwa naye lakini hakuwa chawa!
  4. baz kaiza

    PostGE2025 Mwigulu Nchemba acha propaganda, hazina tija. Watu wanataka tume huru, katiba mpya, kukomesha utekaji, mauji na Ufisadi

    Mwingulu amekua kama katibu mwenezi wa chama yeye mda wote yuko propaganda ambazo kwa karne hii hazina tija Watu wanataka ukomeshwaji wa vitendo utekaji, mauaji, Tume huru ya Uchaguzi katiba mpya hizi propaganda unazoendelea sio zikikusandia tunajua umetumwa lakini wananchi wa karne hawawezi...
  5. The Burning Spear

    Sijajua vigezo vilivyotumika kumteua Mwigulu kuwa Waziri Mkuu, hafai

    GT, Hii ni maajabu huyu jamaa hana haiba ya Uwaziri Mkuu hata kidogo, anaonekana muhuni tu tofauti na wenzake waliopita. Wangetafuta figure nyingine lakini siyo huu jamaa maana hayuko mioyoni mwa watanzania. Mwigulu ana msururu wa kashfa, hiyo nafasi haimfai hata kidogo. Japo Kadogosa ni...
  6. R

    PostGE2025 Mwigulu Nchemba anatumika kama spinning machine!

    Naona kitengo Cha propaganda kimepata spinning machine inayocheza script ya kitengo Ili ku neutralize Hali iliyopo! Kiasi fulani wamejitahidi,hasa ufunguzi wa kanisa, kupinga tuhuma za askari kuua raia n.k,lakini ningependa kuona serikali na viongozi wanakua pro active zaidi kuliko kuacha mambo...
  7. R

    PostGE2025 Mwigulu atoa idadi ya Vitu na miundombinu iliyoharibiwa katika vurugu za Oktoba 29

    Akizungumza na Wahariri wa vyombo vya habari leo Novemba 25, 2025 Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ametaja tathmini ya awali ya miundombinu ya serikali na vitu vya wananchi binafsi vilivyoharibiwa wakati wa vurugu za Oktoba 29, Ameonyesha kusikitishwa na...
  8. W

    PostGE2025 Mwigulu: Aliyekamatwa na mabomu hajabisha, baada ya kuhojiwa alisema amebeba kwa ajili ya kujihami

    Akizungumza na waandishi wa habari leo Nov 25, Waziri Mkuu amesema kuwa raia mwenye uraia pacha aliyekamatwa naa mabomu baada ya kuhojiwa alisema kuwa amebeba mabomu hayo kwa ajili ya kujihami kwa kuwa lisisia Tanzania kuna matishio ya kiusalama. Pia soma PostGE2025 - Polisi: Tumemkamata...
  9. W

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu ahoji maandamano ya Oktoba. Maandamano gani watu walikuwa well armed?

    Akizungumza na waandishi wa habari amehoji ni maandamano gani hayo ambayo watu walikuwa wamejipanga na wana silaha kabisa huku wengine wakiwa hawaongei kiswahili. Amegusia pia kuhusu Mwanajeshi wa Marekani aliyekamatwa na mabomu. Anahoji ni utaratibu gani huu? === Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
  10. Waufukweni

    PostGE2025 Waziri Mkuu, Mwigulu: Kumwaga damu isiyo na hatia siyo baraka, tuiunge mkono Tume

    Akizungumza katika Mkutano na Wahariri wa Vyombo vya Habari, uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam, leo Novemba 25, 2025, Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema baada ya uchaguzi kulitokea msukosuko uliohusisha...
  11. DuaZaMama

    PostGE2025 Waziri Mkuu: Tanzania haitaendeshwa kwa 'Remote', Magari 1642, vituo vya mafuta 672, bodaboda 2268 vilichomwa moto

    Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, anazungumza na wahariri wa vyombo vya habari pamoja na waandishi wa habari, akihitaji nguvu kuunganishwa ili kufikia malengo ya Dira 2050. Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Nawashukuru Wahariri na vyombo vya habari Tanzania kwa...
  12. Sifi Leo

    PostGE2025 Ushauri kwa Mwigulu: Ungeanza na waliopoteza ndugu kabla ya mali maana si umeona fedha za sikukuu ya Uhuru zinarudisha vitu

    Fedha zilizotengwa kwa ajili ya sikukuu ya uhuru zinaweza kurejesha miundombinu iliyoharibika lakini haziwezi kurejesha uhai wa vijana wetu waliopoteza maisha. Mheshimiwa Mwigu shikamoo. Kama platinum member mwenzako kupitia jukwaa hili napenda kukupa ushauri wa kujenga. Sitawahi kukusema...
  13. The Palm Beach

    Ujumbe kwa Mwigulu Nchemba: Haiwezi kuwa kwa Kauli ya kisiasa tu jukwaani. Tunataka uwajibikaji wa kisheria na kisiasa kwa serikali yote!

    1. Imeandikwa humu jukwaani na kuona kupitia social media huyu anayeitwa PM wa serikali isiyo halali kisiasa na kimaadili, iliyoji - force kutawala Watanganyika, Mwigulu Nchemba akiagiza Waziri wa mambo ya ndani kulifungulia kanisa la GCTC - UFUFUO NA UZIMA linaloongozwa na Askofu Josephat...
  14. Mafyangula

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mwingulu: Wachochezi wote wanalipwa pesa ili kuharibu nchi, wengine juzijuzi tu walikuwa masikini wakiomba na vocha

    “Wanawaambia chomeni nchi yenu, chomeni barabara, chomeni na hospitali. Mkishamaliza kuchoma hospitali anaugua mtoto wako, hospitali ilishachomwa moto, -yeye na watoto wake wako na hospitali palepale pua na mdomo huko ughaibuni walipo, wamejipa haki wao ndio wapenda Tanzania, mpenda Tanzania...
  15. Doctor Mama Amon

    Swali kwa Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba: Kuna Tatizo Gani Serikalini Hadi Tunashindwa Kuiambia Dunia Taarifa za Vifo na Majeruhi wa Mwezi Moja Uliopita?

    Mheshimiwa Waziri Mkuu, Jana, tarehe 23 Novemba 2025, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, aliulizwa na waandishi wa habari kuhusu takwimu rasmi za matukio ya vifo na majeruhi vilivyotokea katika wiki ya uchaguzi mkuu 2025, na ambazo zimerekodiwa kwenye vituo vya serikali. Gerson Msigwa...
  16. DuaZaMama

    PostGE2025 Waziri Mkuu: Tume ya Uchunguzi ya matukio ya Oktoba 29 ni Tume ya Watanzania

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema uundwaji wa tume ya kuchunguza matukio yaliyotokea siku na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 ni hatua muhimu ya kitaifa, akisisitiza kuwa tume hiyo ni ya Watanzania na imeundwa kwa masilahi ya nchi, si kwa malengo ya kisiasa. Ametoa...
  17. DuaZaMama

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu: Vituo vya Polisi vilivyochomwa ni mali ya Watanzania wala si Polisi

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa uharibifu wa miundombinu iliyotokea siku na baada ya vurugu za Oktoba 29, 2025 unapaswa kuwa funzo kwa taifa, akibainisha kwamba miundombinu hiyo si mali ya serikali bali ni matokeo ya jasho, kodi na kujinyima kwa wananchi wote...
  18. Waufukweni

    PostGE2025 Mwigulu: Nchi zenye machafuko sio masikini

    Waziri mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba amesema kuwa Tanzania inachonganishwa kutokana na rasilimali zake. Ameyasema hayo wakati wa mkutano wake wa kufanya tathmini ya athari ya machafuko ya wiki ya uchaguzi nchini humo. Tanzania ilishuhudia maandamano na vurugu wiki ya uchaguzi mkuu oktoba 29.
  19. Wakusoma 12

    Mwigulu Nchemba kwenye hotuba zako punguza kufokafoka

    Jana nimekuona ulihutubia wananchi huko Singida badala ya kusema maneno ya maana na kuhutubia umoja, mshikamano na haki wewe ukaanza kutoa mapovu. Mara ooo mimi sina biashara, mara hoooo mama yangu Muislamu na blablaa kibao. Mwigulu Nchemba huko watanzania washatoka na huo utapeli wa kutufokea...
  20. Ojuolegbha

    Dondoo yaliyojiri wakati wa Mkutano wa hadhara wa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

    𝗗𝗢𝗡𝗗𝗢𝗢 𝗬𝗔 𝗬𝗔𝗟𝗜𝗬𝗢𝗝𝗜𝗥𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗔𝗧𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗞𝗨𝗧𝗔𝗡𝗢 𝗪𝗔 𝗛𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗠𝗞𝗨𝗨 𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨 𝗡𝗖𝗛𝗘𝗠𝗕𝗔, 𝗨𝗟𝗜𝗢𝗙𝗔𝗡𝗬𝗜𝗞𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗨𝗪𝗔𝗡𝗝𝗔 𝗪𝗔 𝗕𝗢𝗠𝗕𝗔𝗗𝗜𝗔, 𝗦𝗜𝗡𝗚𝗜𝗗𝗔 ▪️Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anawasalimia Wana Singida na anawapongeza kwa kazi kubwa ya ujenzi wa Taifa. ▪️Mradi wa SGR ni wa kimkakati una manufaa kwa...
Back
Top Bottom