NAIBU Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amesema kiasi cha Sh. bilioni 43 kinachodaiwa na wakulima wa pamba kitalipwa mwisho wa mwezi huu.
Aidha, hadi sasa kiasi cha Sh. bilioni 437 kimelipwa kwa wakulima wa zao la pamba. Bashe alitoa kauli hiyo jana bungeni alipokuwa akijibu swali la nyongeza la...