kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,185
- 24,565
Hiki kipande cha Barabara ya Sam Nujoma kutokea Mwenge hadi Mlimani hadi kule karibia na simu2000 why hakikamiliki?
Kipande cha Mwenge Tegeta jamaa sijui wanajenga vipi yaani nashindwa kuelewa watamaliza lini maana ni kero
Ule mradi ukikamilika utasababisha foleni kubwa sana
Sam Nujoma hakua na foleni kivile, ila baada ya huu mradi kibarabara kitabaki kuwa chembemba sana na tujiandae kwa foleni kubwa.Mtu unadrive hadi huoni raha ya kumiliki gari?
Barabara wameziminya sana.
Pale Mwenge sijui wanajenga nini maana hapakamiliki, halafu wanajenga wanaacha viraka then wanahamia pengine, kuna kituo nimeona hadi washapaua na mabati kabisa!! Sielewi jamaa wanajenga nini pale!! mwenge pamekua kama sehemu ya majaribio tu, kila mwaka fedha zinamwagwa lakini shida haiishi....Hii kero hadi lini?Wahusika wapo tu au ni kwakua viongozi wao wanapita na ving'ora?
Kipande cha Mwenge Tegeta jamaa sijui wanajenga vipi yaani nashindwa kuelewa watamaliza lini maana ni kero
Ule mradi ukikamilika utasababisha foleni kubwa sana
Sam Nujoma hakua na foleni kivile, ila baada ya huu mradi kibarabara kitabaki kuwa chembemba sana na tujiandae kwa foleni kubwa.Mtu unadrive hadi huoni raha ya kumiliki gari?
Barabara wameziminya sana.
Pale Mwenge sijui wanajenga nini maana hapakamiliki, halafu wanajenga wanaacha viraka then wanahamia pengine, kuna kituo nimeona hadi washapaua na mabati kabisa!! Sielewi jamaa wanajenga nini pale!! mwenge pamekua kama sehemu ya majaribio tu, kila mwaka fedha zinamwagwa lakini shida haiishi....Hii kero hadi lini?Wahusika wapo tu au ni kwakua viongozi wao wanapita na ving'ora?